Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE CCM ASIMULIA ALIVYOPOFUKA MACHO!

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
Ni stori ya kusikitisha sana! Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kaskazini mkoani Lindi kwa ‘leseni’ ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kati ya mwaka 2005 hadi 2010, Dk. Samson Mpanda, amesimulia jinsi alivyopata upofu akiwa kwenye nafasi yake ya ubunge, tatizo ambalo lilimuanza mwaka mmoja tu baada ya kuchaguliwa na kuanza kuhudhuria vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

KADA CCM ASIMULIA ALIVYONUSA KIFO!

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni mjumbe wa UVCCM-Mkoa wa Morogoro, Hery Francis Hoza akiugulia. Makongoro Oging’ na Issa Mnaly AJALI! Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni mjumbe wa UVCCM-Mkoa wa Morogoro, Hery Francis Hoza ,32, (pichani) amepata ajali mbaya katikati ya wiki iliyopita na kunusurika kifo. Ajali hiyo ilitokea maeneo ya Kibaha mkoani Pwani ambapo kada huyo alikuwa akitoka Morogoro kuelekea Dar es...

 

10 years ago

Mtanzania

CCM watoana macho urais

Fredy Azzah na Debora Sanja, Dodoma
JOTO la Uchaguzi wa Rais ndani ya CCM linazidi kupanda huku makada na viongozi wa chama hicho wakipigana vijembe hadharani.
Hali hiyo inatokana na kile kinachojitokeza sasa, kuibuka kwa makundi ya jamii, wakiwamo wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu, kuwashawishi makada kadhaa wa CCM wawanie nafasi hiyo ya uongozi wa nchi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba.
Makada ambao wamekuwa wakishawishiwa kuwania nafasi hiyo ni Mbunge wa Monduli, Edward...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Malalamiko CCM Serengeti yasifumbiwe macho

 

GAZETI hili limefikiwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Serengeti, mkoani Mara, kwamba ‘mzimu’ wa ubaguzi wa kikabila umeanza kupenya ndani ya chama hicho.

Kwamba, uongozi wa CCM wilayani humo umewapendelea wanachama wa upande wa kabila la Wangoreme kwa kuelekeza huko kadi nyingi za chama hicho na kuwanyima wengi wa upande wa kabila la Wakurya.

Inadaiwa uongozi huo umefikia hatua hiyo kutokana na msukumo wa baadhi ya makada wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Macho yote CCM kwa Warioba leo 

MACHO na masikio ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yatakuwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji mstaafu Joseph Warioba, kuona kama mapendekezo yao ya kupinga muundo wa muungano...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar

Daktari wa Shirika la Spacsaver Ingrid Stenersen akimfanyia uchunguzi mmoja ya wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki waliofika Skuli ya Sekondari ya eneo hilo kupatiwa huduma ya macho.Daktari wa macho kutoka Shirika la Spacsaver Petter Daniesin akimfanyia vipimo mtoto Sabrina Abdalla Salum katika zoezi linalofanyika Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiwa katika mistari wakisubiri huduma ya kupima macho inayotolewa kwa ushirikiano na madaktari kutoka...

 

10 years ago

Mwananchi

Makada CCM waanza kukitolea macho ‘kiti’ cha Ndesamburo

>Makada wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ‘wamegongana’ kutangaza nia ya kumrithi Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema).

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wambwaga mbunge CCM

MAHAKAMA ya Wilaya ya Njombe imetupia mbali kesi iliyokuwa ikiwakabili viongozi wa CHADEMA mkoani hapa, ya kutishia kummwagia tindikali Mbunge wa Njombe Kaskazini, Deo Sanga (CCM) maarufu kama Jah People....

 

10 years ago

Mtanzania

CUF wamkimbiza mbunge wa CCM

kwwNa Ally Badi, Lindi
MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zainab Kawawa, juzi alifukuzwa na vijana wa Kijiji cha Makinda waliokuwa na mawe na magongo wakati akijiandaa kufanya mkutano wa hadhara.

Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Makinda kilichopo Kata ya Kipule Wilaya ya Liwale, Salum Salum Kachwele, amelithibitishia MTANZANIA Jumamosi kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa Mbunge Kawawa alikutana na zahama hiyo wakati akijiandaa kutangaza nia ya kugombea ubunge wa...

 

11 years ago

Habarileo

Chadema wamfagilia Mbunge CCM

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), kimepongeza kazi zinazofanywa na Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani katika kutatua kero za wananchi sanjari na utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani