Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema na CCM wagawana halmashauri Serengeti, Sengerema

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimenyakua Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti baada ya kuibwaga CCM, huku CCM ikishinda katika Halmashauri ya Sengerema kwenye nafasi za mwenyekiti na makamu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Samia aiahidi Sengerema halmashauri ya mji CCM ikichaguliwa

Mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan ameahidi kuufanya Mji wa Sengerema kuwa halmashauri, endapo wananchi watampa ridhaa ya kuingia Ikulu, Dk John Magufuli.

 

10 years ago

Vijimambo

CHADEMA WAUNGURUMA SENGEREMA

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, Salim Mwalim, akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Sengerema mjini humo mkoani Mwanza hivi karibuni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, Salim Mwalim (kushoto) akimsikiliza kada wa Chadema Wilaya ya Sengerema, Hamis Tabasamu (kulia) akieleza nia yake ya kugombea Ubunge Jimbo la Sengerema katika Uchaguzi Mkuu 2015 K-VIS Blog

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI : CCM ina kazi majimbo ya Buchosa, Sengerema na Ukerewe

Wilaya ya Sengerema ni eneo lote la majimbo ya Sengerema na Buchosa yenye jumla ya kata 47, vijiji 153 na vitongoji 837. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, Sengerema ina jumla ya wakazi 663,034, wanaume wakiwa 330,018, wanawake 333,016 na kuna wastani wa watu 6 katika kika kaya.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Kikwete aongoza Kikao cha Halmashauri kuu ya CCM Jijini leo

IMGL0111

Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri kuu ya CCM jijini Dar es salaam ambacho kimehudhuriwa kwa mara ya kwanza na Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli.(PICHA NA ISSA MICHUZI WA IKULU).

 

9 years ago

TheCitizen

Police clash with Chadema supporters in Serengeti

Police used force to disperse supporters of Mr Marwa Ryoba, who won the Serengeti parliamentary seat.

 

9 years ago

TheCitizen

Chadema takes Serengeti with 18 ward win

Former deputy Minister in Prime Minister’s office (Regional Administration and Local Government) Mr Deogratius Mwita was defeated in his bid to clinch Ring’wani civic seat.

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa wagawana Majimbo 211

ukawaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KAMATI maalumu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), imekamilisha kazi ya ugawaji wa majimbo 211 ambayo ni sawa na asilimia 88 kati ya majimbo yote 239, imefahamika.
Wakati hayo yakiendelea, kamati hiyo imeshindwa kuafikiana katika majimbo 28 ambayo yanasubiri uamuzi wa wenyeviti wa vyama vinavyounda Ukawa, ambao watamaliza kiporo hicho mwezi huu.
Hatua hiyo imekuja baada ya viongozi wa juu wa umoja huo, kutangaza mkakati wa kusimamisha mgombea mmoja wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanakijiji wavamia shamba Morogoro, wagawana

WAKAZI wa Kijiji cha Lubungo A, Kata ya Mikese, wilayani Morogoro, wamevamia shamba linalodaiwa kupewa mwekezaji kinyemela na uongozi wa kijiji wakishirikiana na wilaya na kugawiana kisha kukesha wakifyeka msitu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani