Samia aiahidi Sengerema halmashauri ya mji CCM ikichaguliwa
Mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan ameahidi kuufanya Mji wa Sengerema kuwa halmashauri, endapo wananchi watampa ridhaa ya kuingia Ikulu, Dk John Magufuli.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Chadema na CCM wagawana halmashauri Serengeti, Sengerema
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimenyakua Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti baada ya kuibwaga CCM, huku CCM ikishinda katika Halmashauri ya Sengerema kwenye nafasi za mwenyekiti na makamu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7Bg_vzY4aAI/Xtyxf3ZSCaI/AAAAAAALs5s/LC0nHAGHshYSV48fhI_7dKA4euPkjhAcwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200606-WA0008.jpg)
CCM BAGAMOYO KUKAA MEZA MOJA NA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA MJI MDOGO NA WILAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7Bg_vzY4aAI/Xtyxf3ZSCaI/AAAAAAALs5s/LC0nHAGHshYSV48fhI_7dKA4euPkjhAcwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200606-WA0008.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO .
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimejipanga ,kuwakutanisha viongozi wa Halmashauri ya Mji Mdogo na wa Halmashauri ya Wilaya, ili kuhakikisha wanashirikiana na kuondoa muingiliano wa mambo kwa maslahi ya wananchi.
Hatua hiyo inalenga kila Mamlaka kutimiza majukumu kulingana na mipaka yake, lengo kubwa ni kuondoa muingiliano wa kazi, hali inayoonekana kujitokeza ikichangia kukwama kwa baadhi ya shughuli za...
9 years ago
Habarileo12 Oct
Sengerema yaahidiwa Mji
MJI wa Sengerema umeahidiwa kutoka mamlaka ya mji mdogo kuwa halmashauri ya mji iwapo Chama Cha Mapinduzi kitaingia madarakani.
10 years ago
Michuzi20 Nov
Halmashauri ya Mji Handeni lawamani
MKUTANO wa kwanza wa taasisi ya Handeni Kwetu Foundation uliyofanyika juzi Novemba 19, katika kijiji cha Misima, wilayani Handeni, mkoani Tanga na kuwakutanisha wananchi wote umeibua kero nyingi za wananchi, ikiwamo ya kijiji chao kuingizwa kwenye Halmashauri ya Mji bila ridhaa yao.
Mmoja wa wakazi na wananchi wa kijiji cha Misima, akilalamikia eneo lao kuingia kwenye Halmashauri ya Mji kinyume cha sheria ya utawala bora, ikiwa ni pamoja na kutoshirikishwa kwa lolote na viongozi wa...
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/awCMsI14-W-xSwrkTQtkIbVVUYCtHf3kgFGBeGu_-hPIkI81FUycf2JH3HmM6_v6E5GFuFSXNiGm-qv5l29muI1SuNip1y_ldKHpPLeVYdTkjAQQOzCn2wHIEi9nlgawyKjYqGVvYvGt0fQfitF5XOuSIxuUcFB4mY6rO_TV-GPZMPTNOcxk04J9Bd3rqNvq94ZbpEOfA4octF6p_dCByG321m7gDh1AzsnhVNfqvcD4sL7Ymi51vav9xlDgCPJSH1bnwr0Dw_ZLJTckPPbJ1gY1TRZQU9iCOMTzdRHkHR_VNqbLmlwIpVb_Jjuav9HYzQTfTDzBj-g_lqoA4R4=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-rmg05e1SoRM%2FVG20qKvOBWI%2FAAAAAAAAIWQ%2FKQaXVOwiEyc%2Fs1600%2FMisima.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Wananchi washiriki ukarabati wa barabara Halmashauri ya Mji wa Tarime!!
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SlfrdylNOE8/VaTjSlOKywI/AAAAAAAHpj0/pQmGvCshqp4/s72-c/unnamed%2B%252874%2529.jpg)
Halmashauri ya Mji Njombe yawezesha Vikundi vya WAVIU
Halmashauri ya Mji Njombe imetoa msaada wa fedha wenye thamani ya shilingi Million tano (5,000,000/=) kwa vikundi vya Wajasiriamali vya Watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (WAVIU), ambapo fedha hizo zitatumika kuendeleza miradi mbalimbali iliyoanzishwa na iliyopendekezwa kuanzishwa na vikundi hivyo.
Mratibu wa Ukimwi katika Halmashauri ya Mji Njombe Ndugu Daniel Mwasongwe alisema, fedha hizo zimetolewa kwa lengo la kuviwezesha vikundi hivyo kuongeza kipato ambacho kitawasaidia...
Mratibu wa Ukimwi katika Halmashauri ya Mji Njombe Ndugu Daniel Mwasongwe alisema, fedha hizo zimetolewa kwa lengo la kuviwezesha vikundi hivyo kuongeza kipato ambacho kitawasaidia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wjbtdxVX4bg/XsVvcdsDh7I/AAAAAAALrA0/Yw09tRyYGzgcR41GYjSGSgsob8sXKZR2ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0036.jpg)
DC MSHAMA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
MKUU wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama ,amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kibaha na timu yake kufunga hoja 18 zilizokuwa hazijafungwa kwa mwaka 2017/2018 na kufanyia kazi maelekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG ),ndani ya wiki moja.
Aidha ametoa maagizo mengine makubwa manne kwa halmashauri hiyo ikiwemo kuepuka kuingia mikataba mibovu inayosababisha hasara baadae na kudhibiti vyanzo vya ndani vya mapato.
Akizungumza katika...
MKUU wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama ,amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kibaha na timu yake kufunga hoja 18 zilizokuwa hazijafungwa kwa mwaka 2017/2018 na kufanyia kazi maelekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG ),ndani ya wiki moja.
Aidha ametoa maagizo mengine makubwa manne kwa halmashauri hiyo ikiwemo kuepuka kuingia mikataba mibovu inayosababisha hasara baadae na kudhibiti vyanzo vya ndani vya mapato.
Akizungumza katika...
5 years ago
MichuziHALMASHAURI YA MJI KONDOA KUTOA CHANJO ZOTE KWA MIFUGO
Idara ya Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji Kondoa imejipankuendelea kutoa chanjo ya magonjwa ya Mifugo kulingana na kalenda ya chanjo inavyoonyesha kwa mwaka mzima.
Hayo yalibainishwa na Afisa Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Mji Bi. Monica Kimario wakati wa utoaji wa chanjo ya ugonjwa wa Kimeta na Chambavu kwa mifugo ya kata ya Kingale.
“Nawasihi sana wafugaji wa Kata ya Kingale washiriki katika zoezi hili kwa kuleta mifugo yao katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya utoaji wa chanjo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania