Wananchi washiriki ukarabati wa barabara Halmashauri ya Mji wa Tarime!!
Baadhi ya Wananchi wa Mtaa wa Chira Kata ya Kenyamanyoro katika Halmashauri ya Mji wa Tarime Mkoani Mara wakishiriki zoezi la ukarabati mdogo wa barabara ya Muturu (Remaghinga) iliyopo Mtaa wa Buguti Kata ya Rebu ambayo inayotegemewa na Wakazi Kata zote mbili za Kenyamanyori na Rebu hatika halmashauri hiyo.
Na:George Binagi-GB Pazzo @Binagi Media Group
Zoezi hilo limefanyika leo Januari 02,2016 ambapo wananchi hao walikuwa wakifanya ukarabati wa kujaza moramu katika maeneo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboHALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA YATOA UFAFANUZI WA SINTOFAHAMU UKARABATI WA BARABARA YA IGANZO- KABWE.
11 years ago
Mwananchi28 May
Ukarabati wa barabara Dar mbioni kuanza
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Muuaji Tarime azikwa na halmashauri
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hXlg-dhHCCs/UzFPcJj6u7I/AAAAAAAFWJ4/5b17AujZDfM/s72-c/unnamed+(19).jpg)
azindua ukarabati wa Barabara ya Korogwe hadi Mkumbara
![](http://2.bp.blogspot.com/-hXlg-dhHCCs/UzFPcJj6u7I/AAAAAAAFWJ4/5b17AujZDfM/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fN65yc6XEN4/UzFPcAA919I/AAAAAAAFWKA/8y3ozrLMOFg/s1600/unnamed+(20).jpg)
9 years ago
Habarileo18 Nov
Marekani yasaidia ukarabati wa barabara Kilombero Vijijini
SERIKALI ya Marekani kupitia Shirika lake la Maendeleo (USAID), imeidhinisha Sh bilioni 2.4 kwa halmashauri ya wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro kwa ajili ya kukarabati barabara za vijijini zenye urefu wa kilometa 37.3 kwa kiwango cha changarawe.
10 years ago
StarTV06 Feb
ACACIA yakabidhi Sh. Mil. 863 Halmashauri ya Tarime
Na Jumanne Ntono,
Mara.
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia inayofanya kazi zake katika mgodi wa North Mara Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara imesema itaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kuwasaidia wananchi kujiletea maendeleo kutokana na mabadiliko makubwa ya kiutendaji yaliyofanywa na kampuni hiyo hivi karibuni.
Akikabidhi hundi ya Shilingi milioni 863 kwa Halmashauri ya wilaya ya Tarime kama kodi ya tozo la huduma, Meneja mgodi wa Acacia North Mara, Gary Chapman amesema...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali
![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w6198B4Fq5k/VM-o3-3PWTI/AAAAAAAHBGs/MFW0ZFQmxRA/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYJdGbHwxko/VM-qJQxQWrI/AAAAAAAHBG4/ZKPH0ahWxMI/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
10 years ago
Michuzi20 Nov
Halmashauri ya Mji Handeni lawamani
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/awCMsI14-W-xSwrkTQtkIbVVUYCtHf3kgFGBeGu_-hPIkI81FUycf2JH3HmM6_v6E5GFuFSXNiGm-qv5l29muI1SuNip1y_ldKHpPLeVYdTkjAQQOzCn2wHIEi9nlgawyKjYqGVvYvGt0fQfitF5XOuSIxuUcFB4mY6rO_TV-GPZMPTNOcxk04J9Bd3rqNvq94ZbpEOfA4octF6p_dCByG321m7gDh1AzsnhVNfqvcD4sL7Ymi51vav9xlDgCPJSH1bnwr0Dw_ZLJTckPPbJ1gY1TRZQU9iCOMTzdRHkHR_VNqbLmlwIpVb_Jjuav9HYzQTfTDzBj-g_lqoA4R4=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-rmg05e1SoRM%2FVG20qKvOBWI%2FAAAAAAAAIWQ%2FKQaXVOwiEyc%2Fs1600%2FMisima.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SlfrdylNOE8/VaTjSlOKywI/AAAAAAAHpj0/pQmGvCshqp4/s72-c/unnamed%2B%252874%2529.jpg)
Halmashauri ya Mji Njombe yawezesha Vikundi vya WAVIU
Mratibu wa Ukimwi katika Halmashauri ya Mji Njombe Ndugu Daniel Mwasongwe alisema, fedha hizo zimetolewa kwa lengo la kuviwezesha vikundi hivyo kuongeza kipato ambacho kitawasaidia...