Wana CCM Serengeti watua kwa Lowassa
Na Mwandishi Wetu, Monduli
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wamemwomba Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), kuchukua fomu ya kuwania urais muda utakapofika kwani wanaamini ni kiongozi anayefaa kuwania nafasi hiyo kupitia chama hicho.
Wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo, Vicent Nyamasagi, viongozi hao walitoa kauli hiyo jana Monduli baada ya kufika nyumbani kwa Lowassa kuwasilisha ombi hilo.
Lakini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s72-c/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s640/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6kqjKzFjGsI/VXYCYGsX69I/AAAAAAAHdLg/nL7SirAIlUw/s72-c/unnamedl1.jpg)
Lowassa awasili Geita kwa Kishindo, adhaminiwa na wana CCM 3,000
![](http://4.bp.blogspot.com/-6kqjKzFjGsI/VXYCYGsX69I/AAAAAAAHdLg/nL7SirAIlUw/s640/unnamedl1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dhOfVblQPzU/VXYCYDZBXfI/AAAAAAAHdLo/Fd6wbs7mALo/s640/unnamedl3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s72-c/g4.jpg)
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s640/g4.jpg)
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Lowassa achangiwa fedha za kuchukua fomu na Wana CCM mkoa wa Tabora
![](http://2.bp.blogspot.com/-a0GUCWr_POg/VXAZojFBHEI/AAAAAAAAUcw/gHNljl9h6R4/s640/Lowassa_Mchango.jpg)
Mzee wa CCM wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Yusuf Bundala Kasubi, (kulia) akimkabidhi Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, zaidi ya shilingi milioni moja, zilizochangwa na wanachama wa CCM mkoani Tabora, ili kumuwezesha mtangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, ili azitumia kulipia ada ya kuchukua fomu za kuwani urais kupitia chama hicho.
Hafla ya kukabidhi fedha hizo ilifanyika nyumbani kwa Mtangaza nia huyo, mjini Dodoma...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-N2LxV9X4kPw/VRHLV0HZ6PI/AAAAAAAAAts/mWlBiAxNcqA/s72-c/lowaasa.jpg)
AKATI WAGOMBEA WENGINE NDANI YA CCM WANA MLALAMIKIA LOWASSA HEBU TUJIULIZE HAYA MASWALI....
![](http://3.bp.blogspot.com/-N2LxV9X4kPw/VRHLV0HZ6PI/AAAAAAAAAts/mWlBiAxNcqA/s640/lowaasa.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
Katibu UWT Serengeti ‘ajilipua’ asema ni bora CCM ikamuacha Lowassa agombee Urais
Diwani wa kata ya Ikoma wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Sebastian Sabasaba Banagi akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jana juu ya ujio wao kwa Mh.Lowassa, kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu hivyo kitendo cha kuzuiwa wananchi kueleza hisia zao sio jambo la kidemokrasia bali linakandamiza uhuru wa kusema wanachokiamini huku akisisitiza kuwa Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa ni chaguo la walio wengi na hawatasita kumtafuta popote kumueleza hisia...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Wapinzani wa Serengeti Boys watua DarÂ
TIMU ya soka ya vijana wa chini ya umri wa miaka 17 ya Afrika Kusini ‘Amajimbos’, imewasili nchini kwa mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLf6J4PykmA/XunPEaNmcOI/AAAAAAALuL4/BnCny-4bfyITdCFNDMbcOv9n3zsdhWRcACLcBGAsYHQ/s72-c/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
9 years ago
Michuzi01 Oct
MCHAKAMCHAKA WA MWIGULU NCHEMBA WATUA SIMANJIRO,KONDOA NA KITETO,CCM YAENDELEA KUUNGWA MKONO KWA KISHINDO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/GCcvaTolaqIgrW6QBasUokum2FiXVM3tFDLpPFjyqpqpmPWXTYJmoqv_1xzgCeuoN-4mJuJuj5wutefzkUjbuhMyGmak5c_pWVDvW4J-2kYBH-iWZ8eq6Rx1nQXR-rzNnmZP6l0DlmSfd2aGK4YtXc7QeWKbuH53oUjV1UCppA_tKLp_26fO8cfoHLrqnnqRoV4pztN39nOSYbrzIWc0sD1KhfLM0yiCsP5U3XO9qe_nerBE=s0-d-e1-ft#https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xft1/v/t1.0-9/12036905_430927110442856_6921933778456533235_n.jpg?oh=680c0b5019224d69291c98acd21f1707&oe=5690F77A)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/bRuoHVWpKePw3GSE7bIE80rUm-che47mr6XL2BYXpobeUNLpJopxUix8ui-4va4umQhnFg9Dh-07qYyEK_X9G2ZnJDgNRW6q7S0XepuJrSIMwyuU4IdS9V6SRePzWACHbheoD2qEhIbHiUiJWjCCmKfCGdkpJH5juC8xaDl5j9fqJkRZRg6c66pPeqUmUh7hRAjwUc3C7tWvaV3-ACY4l0sEDlCtX9tq8L-SHMC7f5l7uChe=s0-d-e1-ft#https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/11059903_430927090442858_6669654298054949432_n.jpg?oh=4a5c0f7f536b69af1107c0f3fb9a26c7&oe=56A609E0)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/CTLJ88GQ9AluC1_pidvphHF5KbQepah8mhPXT0-Oar3ExQNixwGJD0wPV9OERTxZ2L9je0T3j7Ea0ouLwG3eZ2sg8OS6YtiRcF7nSrSZqXSBgnjUY0JHp-yMM5Hu9hFnpbOHd7XL9bBxQ2zDuyMoo64nc9krfTQQLiPz3Iyz4cwkkB-ZMO-8gIIA4ClCUMpJYSrPE6XEsD62fVRRg1rUk4IZQMERe0SAOqxEZZwVm98jbgc3=s0-d-e1-ft#https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12074830_430927220442845_5827432687429168397_n.jpg?oh=8502241df820530365c813950e7c50f6&oe=56A004C4)