DK KEBWE STEVEN WANAOSEMA SIJAFANYA MAKUBWA SERENGETI WANA LAO JAMBO
![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*rRVS5LBosBDgECVN4UoC5jYHm4XXpjCo09fd5HtjxdJYl9bkDqn*hBchRdG76Jy9vmYCYEzFfvO-TFBOnhd1Hl/STEVEN5.jpg)
HARAKATI za wabunge wa majimbo mbalimbali kujipanga kwa ajili ya mchuano wa muhula ujao wa 2015 umeanza kwa chini chini kwani miongozo ya vyama vya siasa kuna muda maalum wa wanachama kuanza kampeni. Dk. Kebwe Steven Kebwe. Kitu pekee kitakachowabeba wabunge wengi ni jinsi gani waliweza kutekeleza ahadi zao, sanjari na kuwajibika kusimamia na kutekeleza sera za vyama vyao vilivyonadi wakati wakiomba ridhaa kwa wananchi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Mwanazuoni: Wanaomwandama Warioba wana lao jambo
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Dk. Kebwe afurahia Ukawa kutoelewana Serengeti
NA BENJAMIN MASESE
MGOMBEA ubunge Serengeti kwa tiketi ya CCM, Dk. Steven Kebwe amesema anafurahia kuona Ukawa ukishindwa kuelewana na chama kinachosimamisha mgombea Serengeti.
Amesema hadi sasa vyama hivyo vipo katika mvutano mkubwa kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha NCCR Mageuzi na Chama cha Wananchi (CUF), kitendo ambacho kimesababisha kuwapo makundi.
Akizungumza na MTANZANIA jana kwa simu kuhusu siku anayotarajia kuzindua kampeni jimboni humo, Dk....
9 years ago
TheCitizen27 Oct
CCM's Kebwe losses Serengeti Parliamentary seat
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Wana CCM Serengeti watua kwa Lowassa
Na Mwandishi Wetu, Monduli
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wamemwomba Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), kuchukua fomu ya kuwania urais muda utakapofika kwani wanaamini ni kiongozi anayefaa kuwania nafasi hiyo kupitia chama hicho.
Wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo, Vicent Nyamasagi, viongozi hao walitoa kauli hiyo jana Monduli baada ya kufika nyumbani kwa Lowassa kuwasilisha ombi hilo.
Lakini...
11 years ago
Habarileo21 Mar
Tufanye kazi, Watanzania wana matarajio makubwa—Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameeleza kuwa Watanzania wana matarajio makubwa kutokana na kugunduliwa kwa hazina kubwa ya gesi katika maeneo ya kina kirefu cha bahari.
10 years ago
VijimamboJAMBO CONCEPTS (T) LTD, WACHAPISHAJI WA GAZETI LA JAMBO LEO WAPATA MSIBA TENA
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Ni msiba tena Jambo Concepts (T) Ltd, wachapishaji wa Gazeti la Jambo Leo
![IMG_8831](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_8831.jpg)
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0nMfYfkUNC2JXfveXaQNpemxePX8bMraLnP2gPJPRyjk7TxrY6b0vp5wPKFpBTse8SgBpsfYZ6yt5PH8Dj4HE0x/saramvungi.jpg)
SARA MVUNGI: NINA MIAKA KUMI SIJAFANYA ZINAA