Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanazuoni: Wanaomwandama Warioba wana lao jambo

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Emmanuel Kilatu, ametaka wanaomshambulia kwa maneno Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba kuacha tabia hiyo mara moja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DK KEBWE STEVEN WANAOSEMA SIJAFANYA MAKUBWA SERENGETI WANA LAO JAMBO

HARAKATI za wabunge wa majimbo mbalimbali kujipanga kwa ajili ya mchuano wa muhula ujao wa 2015 umeanza kwa chini chini kwani miongozo ya vyama vya siasa kuna muda  maalum wa wanachama kuanza kampeni. Dk. Kebwe Steven Kebwe. Kitu pekee kitakachowabeba wabunge wengi ni jinsi gani waliweza kutekeleza ahadi zao, sanjari na kuwajibika kusimamia na kutekeleza sera za vyama vyao vilivyonadi wakati wakiomba ridhaa kwa wananchi...

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba; Viongozi watoa matusi wana matatizo ya maadili

“Katika hali ya kawaida kiongozi anatarajiwa kuwa mfano kwa kutenda sawa kimila, kidesturi na kisheria lakini ninashangaa kushuhudia kiongozi akitoa lugha zisizofaa na hata matusi, ni ishara ya mmomonyoko wa maadili kwa kiwango kisichomithilika.”

 

10 years ago

Vijimambo

JAMBO CONCEPTS (T) LTD, WACHAPISHAJI WA GAZETI LA JAMBO LEO WAPATA MSIBA TENA



Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ni msiba tena Jambo Concepts (T) Ltd, wachapishaji wa Gazeti la Jambo Leo

IMG_8831

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.

Marehemu...

 

9 years ago

Raia Mwema

Mwalimu, mwanazuoni mkanushi

MWANDISHI mmoja alimtumia Mwalimu kitabu chake mwaka 1981, akimuomba maoni, kwa vile aliamini kuw

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanazuoni akerwa na wanasiasa

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Profesa Benadetha Kilian amekerwa na tabia ya wanasiasa ya kuteka mjadala wa katiba akisema kitendo hicho kitazaa Katiba mbovu.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Jambo Squad Ft Young Omega — Jambo Squad Cafe

Vijana wa Jambo Squad kutoka Arusha wameachia wimbo mpya unaitwa “Jambo Squad Cafe” wamemshirikisha Young Omega Producer: DX (Mix.Noiz) Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Michuzi

tunamlilia mwanazuoni na mwanasiasa mkongwe Marehemu Dkt Alec Che-Mponda

Marehemu Dkt. Alec Chemponda enzi za uhai wake
Mwenyekiti Mtendaji wa Michuzi Media Group anaungana na familia, ndugu, jamaa, jirani na marafiki wa  Chemponda katika kuomboleza kifo cha Dkt Alec Che Mponda kilichotokea juzi Machi 30, 2015 katika hospitali ya Massana jijini Dar es salaam kutokana na saratani (cancer) ya mifupa iliyokuwa ikimsumbua kwa muda mrefu. Alikuwa na umri wa miaka 80.
Tunatoa mkono wa pole kwa binti mkubwa wa marehemu na blogger na mwanahabari mwenzetu, Bi Chemi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani