Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


tunamlilia mwanazuoni na mwanasiasa mkongwe Marehemu Dkt Alec Che-Mponda

Marehemu Dkt. Alec Chemponda enzi za uhai wake
Mwenyekiti Mtendaji wa Michuzi Media Group anaungana na familia, ndugu, jamaa, jirani na marafiki wa  Chemponda katika kuomboleza kifo cha Dkt Alec Che Mponda kilichotokea juzi Machi 30, 2015 katika hospitali ya Massana jijini Dar es salaam kutokana na saratani (cancer) ya mifupa iliyokuwa ikimsumbua kwa muda mrefu. Alikuwa na umri wa miaka 80.
Tunatoa mkono wa pole kwa binti mkubwa wa marehemu na blogger na mwanahabari mwenzetu, Bi Chemi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MWANASHERIA NA MWANASIASA MKONGWE DKT. MASUMBUKO LAMWAI AFARIKI DUNIA

   Mwanasheria na mwanasiasa mkongwe Dkt. Masumbuko Lamwai afariki dunia majira ya saa sita usikuwa kuamkia leo. Dkt Masumbuko aliwahi kuwa Mbunge wa jimbo la Ubungo , pia aliwahi kuwa mbunge wa kuteuliwa na Rais.

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Che-Mponda afariki dunia

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MWASISI wa Chama cha Tanzania Peoples (TPP) aliyeandika chapisho la mgogoro wa mpaka wa Tanzania na Malawi, Dk. Aleck Che-Mponda, amefariki dunia.
Mtoto wa marehemu, Chemi Che-Mponda, alisema jana kwamba baba yake alifariki dunia jana katika Hospitali ya Massana iliyoko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Enzi za uhai wake, Dk. Che-Mponda alifanya utafiti kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania kuhusu Ziwa Nyasa mwaka 1971 alipokuwa akisomea shahada ya uzamivu...

 

10 years ago

Habarileo

Che Mponda afariki dunia

Dk Aleck Che-Mponda enzi za uhai wakeMWASISI wa chama cha siasa, Tanzania People’s Party (TPP), Dk Aleck Che-Mponda (80) amefariki dunia katika hospitali ya Massana iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na maradhi ya saratani ya mifupa.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWANASIASA MKONGWE MAALIM SEIF SHARIF HAMAD IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwanasiasa Mkongwe ambaye ni Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad kwa kutokugusana mikono, Ikulu Jijini Dar es Salaam. Salamu hiyo ya kutokugusana mikono ni kutekeleza ushauri ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wenye lengo kujihadhari dhidi ya virusi vya ugonjwa wa Corona. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt....

 

10 years ago

Habarileo

Che-Mponda kuzikwa Ludewa J4 ijayo

Dk Aleck Che-Mponda enzi za uhai wakeMAZIKO ya mwasisi wa Tanzania People’s Party (TPP), Dk Aleck Che-Mponda (80), aliyefariki dunia Machi 30, mwaka huu katika Hospitali ya Massana jijini Dar es Salaam, yatafanyika Aprili 7, mwaka huu kijijini kwao Manda wilayani Ludewa, Njombe.

 

5 years ago

Michuzi

SHUKURANI ZA MPIGANAJI EMMANUEL KIHAULE KWA MAMA YAKE MLEZI RITA CHE-MPONDA


Na Emmanuel KihauleKuna watu ni malaika waliotumwa na Mungu kuja hapa duniani kusaidia wengine wenye uhitaji.(Ndefu kidogo lakini naamini na wewe utaguswa sana).
Naona watu kadhaa akiwemo rafiki yangu George Kalimah wamenitaka niandike leo hii hii kuhusu namna huyu Mama Rita Che-Mponda (pichani juu na mumewe) alivyogusa maisha yangu anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa leo. Mama huyu ni Mke wa Marehemu Dkt. Aleck Humphrey Che-Mponda aliyekuwa mwalimu wa vyuo vikuu kadhaa hapa nchini na...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanasiasa mkongwe haoni mantiki ‘vurugu’ bungeni

MWANASIASA wa siku nyingi hapa nchini, Pancras Ndejembi amesema haoni mantiki ya wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususa vikao vya bunge la katiba na kutaka kukimbilia kwa wananchi.

 

10 years ago

Michuzi

JK AOMBOLEZA KIFO CHA MTANGAZAJI MKONGWE WA TBC MAREHEMU FLORENCE DYAULI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Bw. Clement Mshana, wafanyakazi wake na waandishi wote kwa ujumla kufuatia kifo cha mtangazaji na mwandishi mwandamizi wa TBC Bi. Florence Dyauli (pichani enzi za uhai wake).

“Pokea rambirambi zangu za dhati kwa kuondokewa na mwandishi mwandamizi na mahiri Bi. Florence” Rais amesema

“Mbali na uandishi na utangazaji wake mahiri, Bi. Florence alikua mzalendo wa kweli aliyetumikia...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGWA MWILI WA MAREHEMU DKT. KIGODA KARIMJEE DAR.

Maafisa wa Bunge wakibebea Jeneza lenye mwili wa marehemu Dkt. Abdallah Kigoda, wakati ulipowasili kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuagwa.
Baadhi ya Wanafamilia wa marehemu Dkt. Kigoda.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Marehemu Dkt. Abdallah Kigoda, wakati wa shughuli ya kuagwa mwili huo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Okt. 15, 2015....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani