Mwanasiasa mkongwe haoni mantiki ‘vurugu’ bungeni
MWANASIASA wa siku nyingi hapa nchini, Pancras Ndejembi amesema haoni mantiki ya wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususa vikao vya bunge la katiba na kutaka kukimbilia kwa wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogMWANASHERIA NA MWANASIASA MKONGWE DKT. MASUMBUKO LAMWAI AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzitunamlilia mwanazuoni na mwanasiasa mkongwe Marehemu Dkt Alec Che-Mponda
Mwenyekiti Mtendaji wa Michuzi Media Group anaungana na familia, ndugu, jamaa, jirani na marafiki wa Chemponda katika kuomboleza kifo cha Dkt Alec Che Mponda kilichotokea juzi Machi 30, 2015 katika hospitali ya Massana jijini Dar es salaam kutokana na saratani (cancer) ya mifupa iliyokuwa ikimsumbua kwa muda mrefu. Alikuwa na umri wa miaka 80.
Tunatoa mkono wa pole kwa binti mkubwa wa marehemu na blogger na mwanahabari mwenzetu, Bi Chemi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CZZXoEhz9G8/Xl4o9qYUoWI/AAAAAAALgo4/PLtcfpNSISQnSulGp-ua9RcKSe1THvaZgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWANASIASA MKONGWE MAALIM SEIF SHARIF HAMAD IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-CZZXoEhz9G8/Xl4o9qYUoWI/AAAAAAALgo4/PLtcfpNSISQnSulGp-ua9RcKSe1THvaZgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ISonxCXB0P0/Xl4o_nXPn2I/AAAAAAALgpA/7EmgQnYa8mAjQs2byb_54H4zPTraWwCWwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t9PF3XPue-E/Xl4o-qM69GI/AAAAAAALgo8/kkxWCa4YJBExnkVSGsvnu0jAUV8_aCrCgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
9 years ago
Habarileo27 Oct
Polisi wazima vurugu za CUF Mji Mkongwe
WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Vurugu kura ya maoni bungeni
NA WAANDISHI WETU, DODOMA NA DAR
WABUNGE wa upinzani jana walisababisha kikao cha asubuhi cha Bunge kivunjike, baada ya kusimama na kutaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda atoe kauli juu ya mustakabali wa uandikishaji wapigakura na hatima ya kura ya maoni.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, alilazimika kuahirisha kikao hicho baada ya wabunge hao kusimama wote na kuwasha vipaza sauti wakimtaka Pinda atoe kauli, kwani kwa muda mrefu Serikali imekuwa haitoi majibu ya suala hilo.
CHANZO CHA VURUGU
Dalili za...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Vurugu bungeni ‘kifungo’ siku 10
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba atakayevunja, kujaribu kuvunja utaratibu, amani na utulivu au kuonesha tabia za vurugu kwa kutumia nguvu na mabavu ndani ya ukumbi wa mikutano, atakabiliwa na adhabu ya kuzuiwa vikao kwa siku 10.
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Vurugu bungeni zawakera wasomi
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Kigwangalla, mwanasiasa aliyepikwa na mwanasiasa
10 years ago
CloudsFM13 Feb
VURUGU ZA ZUKA BUNGENI AFRIKA KUSINI
Sakata hilo lilizuka wakati Rais wa nchi hio Jacob Zuma alipokuwa akilihutubia taifa na kuulizwa maswali na wabunge wa chama cha EFF...