Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigwangalla, mwanasiasa aliyepikwa na mwanasiasa

Kwa kipindi cha miaka mitano, jina la Dk Hamis Kigwangalla limekuwa likivuma katika medani za siasa nchini, hasa baada ya mwaka 2010 kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nzega.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mimi si mwanasiasa — Nkya

MTETEZI wa Haki za Wanawake, Ananilea Nkya, amesema yeye si mwanachama wa chama chochote cha siasa bali amekuwa akizungumza ukweli kuhusiana na Taifa. Hatua hiyo imetokana na watu wengi kumhusisha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanasiasa mashuhuri afariki,Tanzania

Mwanasiasa mashuhuri na Mwenyekiti wa Chama Cha Democratic Party (DP) nchini Tanzania , Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mke wa mwanasiasa atekwa Cameroon

Mke wa naibu waziri mkuu wa Cameroon atekwa nyara na wapiganaji wa Nigeria kaskazini mwa nchi

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanasiasa maarufu akamatwa N. Ireland

Polisi huko Ireland Kazkazini wamemkamata mwanasiasa mashuhuri wa chama cha Sinn Fein,Gerry Adams kwa mauaji .

 

10 years ago

Vijimambo

JUSSA MWANASIASA MWENYE KUONA MBALI

Na Swahilivilla. Blog Washington  Waziri Majivuno wa Kusadikika alisema: "Hekima ni kitu adimu kupatikana kwa mtu asiye na mvi...". Pia Waswahili wanasema: "Akili ni nywele"Mshitakiwa Karama aliipinga hoja ya Waziri Majivuno kwa kusema: "....Elimu ilipokuwa haijulikani hapa duniani, mvi zilizingatiwa kuwa ni ishara ya hekima..."Nimekuwa nikiyatafakari mafungu hayo matatu ya maneno ili kuona kama yana uhalisia wowote katika maisha yetu ya leo.Pichani Ndugu  Saidi Mwamende akimuliza swali  ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanasiasa aliyeahidi kula saa yake

Mpinzani wa Rais wa Bolivia alihidi kula saa yake ikiwa kila wabolivia 'sita' kati ya 'kumi' wangempigia kura Rais Morales.

 

10 years ago

Mtanzania

Makamba atangazwa mwanasiasa bora kijana

makambaNa Elias Msuya, Dar es Salaam
NAIBU Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Mawasiliano, Januari Makamba ametajwa kuwa mwanasiasa bora kijana na taasisi ya Tanzania Awards International, jijini Dar es Salaam juzi.
Makamba ameshika nafasi hiyo akiwapita wanasiasa wengine vijana ambao ni pamoja na Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Wabunge Vick Kamata,...

 

10 years ago

Mwananchi

Je, Yesu Kristo wa Nazareti alikuwa mwanasiasa?

Baada ya tafakuri ya Pasaka, watu wengi wameniandikia maoni na kutaka niendeleze makala ile. Nimeamua kuindeleza kwa namna nyingine kwa tafakuri zaidi. Juu ya mada hii: Je, Yesu Kristo wa Nazareti alikuwa mwanasiasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanasiasa ashtakiwa kwa kulangua watoto

Mwanasiasa mashuhuri,wanajeshi pamoja na wafanyibiashara wamefikishwa mahakamani nchini Niger kwa kuhusika na ulanguzi wa watoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani