Mimi si mwanasiasa — Nkya
MTETEZI wa Haki za Wanawake, Ananilea Nkya, amesema yeye si mwanachama wa chama chochote cha siasa bali amekuwa akizungumza ukweli kuhusiana na Taifa. Hatua hiyo imetokana na watu wengi kumhusisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Kigwangalla, mwanasiasa aliyepikwa na mwanasiasa
Kwa kipindi cha miaka mitano, jina la Dk Hamis Kigwangalla limekuwa likivuma katika medani za siasa nchini, hasa baada ya mwaka 2010 kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nzega.
10 years ago
AllAfrica.Com20 Oct
Be Fair to Your Fellow Women Ms Ananilea Nkya
AllAfrica.com
I STILL remember that beautiful day on March 2, 2010, when the then US Ambassador to Tanzania Mr Alfonso Lenhardt presented the 2010 Tanzanian Woman of Courage Award to Ananilea Nkya, for her efforts to promote equality, opportunity, and justice for ...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Nkya: Hawa ni kikwazo cha Katiba mpya
TUMESHUHUDIA kuvurugika kwa Bunge Maaalum la Katiba, hali iliyofanya wajumbe wengine kususia. Lakini kauli nyingi zimetolewa kuhusiana na Bunge hilo, mwenendo wake na wengine kushauri livunjwe. Makala haya yanamuangazia Mtetezi...
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Risasi zarindima ofisini kwa mbunge Nkya, Morogoro
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Lucy Nkya amesema kuwa milio ya risasi iliyosikika ofisini kwake, ilitokana na mtoto wake Jonas Nkya, kuangusha bastola kwa bahati mbaya.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H-TDpRBJz8Q/VR0cfDcIZII/AAAAAAAHO5c/AnGzjqI6Zrw/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
AutoSueco Tanzania (VOLVO) appoints Alen Nkya as Head of CE
![](http://1.bp.blogspot.com/-H-TDpRBJz8Q/VR0cfDcIZII/AAAAAAAHO5c/AnGzjqI6Zrw/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
In a statement released today states that Mr. Nkya has over 10 years' experience in the industry. Formerly a Sales Manager CE at Hyundai, he has an outstanding track record of achievements in Marketing, Business Development and Customer Relations.“I'm looking...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-i6vlbzZ0RXA/UujL05tX7UI/AAAAAAAAAr4/TEjK1oUHM-U/s72-c/jonas+1.jpg)
MTOTO WA NAIBU WAZIRI WA ZAMANI WA AFYA JONAS NKYA AKANA TUHUMA ZA KURUSHIANA RISASI NA MAMA YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-i6vlbzZ0RXA/UujL05tX7UI/AAAAAAAAAr4/TEjK1oUHM-U/s640/jonas+1.jpg)
Jonas Nkya mtoto wa Naibu Waziri wa zamani wa Afya na Mbunge wa Morogoro kusini masgariki Lucy Nkya amewaambia waandishi wa habari kwamba habari zilizozagaa kwenye mitandao ya kijami kwamba amerushiana risasi za moto na mama yake mzazi ofisini kwao leo mkoani Morogoro.
Jonas Nkya amesema kilichotokea alipokwenda ofisini hapo kuchukua gari alielekee shamba bastola ilidondoka chini na ikajifyatua risasi moja na kuzua taharuki kwa watu. Kwanza...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2zExn--dW5g/default.jpg)
11 years ago
BBCSwahili01 May
Mwanasiasa maarufu akamatwa N. Ireland
Polisi huko Ireland Kazkazini wamemkamata mwanasiasa mashuhuri wa chama cha Sinn Fein,Gerry Adams kwa mauaji .
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Mwanasiasa mashuhuri afariki,Tanzania
Mwanasiasa mashuhuri na Mwenyekiti wa Chama Cha Democratic Party (DP) nchini Tanzania , Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania