Mwanasiasa maarufu akamatwa N. Ireland
Polisi huko Ireland Kazkazini wamemkamata mwanasiasa mashuhuri wa chama cha Sinn Fein,Gerry Adams kwa mauaji .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09WQJXWKZcHjE2z*hoi5eGA3lo9mwVBFBstZB8vcfbY6jm*ijhWBtIy8I0DSfv7jCi*72IjJqTmNITYuDNeD164J/1.jpg)
KIFO CHA MWANASIASA MAARUFU; KUMBE SIYO KOMBA
Stori:GLADNESS MALLYA NA CHANDE ABDALLAH/Risasi
HUKU maelfu ya Watanzania wakiamini kwamba, kifo cha aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM), Kapteni John Damiano Komba ndiyo kile kilichotabiriwa na mnajimu Maalim Hassan Hussein Yahya, mwenyewe ameibuka na kusema sicho! Marehemu Kapteni John Damiano Komba.…
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Mwanamuziki maarufu akamatwa Rwanda
Mwanamuziki mashuhuri nchini Rwanda pamoja na mwanahabari mmoja wamekamatwa kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na kundi la upinzani pamoja na kushirikiana na waasi.
9 years ago
Bongo509 Oct
Mwanamke wa Kichina maarufu kama ‘Malkia wa Pembe za Ndovu’ akamatwa nchini akisafirisha pembe zenye thamani ya £1.62m
Mwanamke wa China anayedaiwa kuongoza genge kubwa zaidi la usafirishaji pembe za ndovu barani Afrika amekamatwa nchini. Akipewa jina la utani “Ivory Queen”, Yang Feng Glan anadaiwa kusafirisha pembe za ndovu 706 kutoka nchini kwenda Mashariki ya mbali. Glan, 66, anadaiwa kuwa na ukaribu na majangili wa Afrika Mashariki na walanguzi wa China. Anadaiwa pia […]
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Kigwangalla, mwanasiasa aliyepikwa na mwanasiasa
Kwa kipindi cha miaka mitano, jina la Dk Hamis Kigwangalla limekuwa likivuma katika medani za siasa nchini, hasa baada ya mwaka 2010 kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nzega.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rJjCZJDV39s/VQcFQbM51fI/AAAAAAAHK0E/IwM_k1o7B3w/s72-c/12725.jpg)
President Kikwete has sent a congratulatory message to H.E. Michael D. Higgins, President of Ireland on the occasion of the National Day of Ireland
![](http://3.bp.blogspot.com/-rJjCZJDV39s/VQcFQbM51fI/AAAAAAAHK0E/IwM_k1o7B3w/s1600/12725.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Mimi si mwanasiasa — Nkya
MTETEZI wa Haki za Wanawake, Ananilea Nkya, amesema yeye si mwanachama wa chama chochote cha siasa bali amekuwa akizungumza ukweli kuhusiana na Taifa. Hatua hiyo imetokana na watu wengi kumhusisha...
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Mwanasiasa mashuhuri afariki,Tanzania
Mwanasiasa mashuhuri na Mwenyekiti wa Chama Cha Democratic Party (DP) nchini Tanzania , Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia.
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Mke wa mwanasiasa atekwa Cameroon
Mke wa naibu waziri mkuu wa Cameroon atekwa nyara na wapiganaji wa Nigeria kaskazini mwa nchi
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Mwanasiasa aliyeahidi kula saa yake
Mpinzani wa Rais wa Bolivia alihidi kula saa yake ikiwa kila wabolivia 'sita' kati ya 'kumi' wangempigia kura Rais Morales.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania