Mwanamke wa Kichina maarufu kama ‘Malkia wa Pembe za Ndovu’ akamatwa nchini akisafirisha pembe zenye thamani ya £1.62m
Mwanamke wa China anayedaiwa kuongoza genge kubwa zaidi la usafirishaji pembe za ndovu barani Afrika amekamatwa nchini. Akipewa jina la utani “Ivory Queen”, Yang Feng Glan anadaiwa kusafirisha pembe za ndovu 706 kutoka nchini kwenda Mashariki ya mbali. Glan, 66, anadaiwa kuwa na ukaribu na majangili wa Afrika Mashariki na walanguzi wa China. Anadaiwa pia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Malkia wa pembe za ndovu kusalia korokoroni TZ
10 years ago
StarTV23 Dec
Mtuhumiwa wa ujangili wa pembe za Ndovu akamatwa.
Polisi wa kimataifa , interpol tawi la Tanzania wamemkamata mfanya biashara maarufu raia wa Kenya kwa tuhuma za kujihusisha na ujangili na uhalifu uliovuka mipaka ,hususan mauaji ya tembo .
mtuhumiwa huyo Mohamed Ally Feisal Amekamatwa mjini Dar-Es-Salaam baada ya kusakwa kwa kipindi kirefu kwa makosa hayo ya kimataifa kutoka Dar Regina Mziwanda anaarifu zaidi.
Akitbibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo Bwana Diwani Athumani kutoka kamisheni ya Kurugenzi ya makos aya jinai amesema mtuhumiwa...
10 years ago
MichuziBALOZI WA CHINA NCHINI APONGEZA MSIMAMO WA TANZANIA DHIDI YA BIASHARA HARAMU YA PEMBE ZA NDOVU
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Pembe za ndovu: TZ yaishtaki Malawi
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kortini kwa pembe za ndovu
WAKAZI wawili wa Tabata, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa makosa ya kukutwa na meno ya tembo ya sh. milioni 275.5 bila kibali. Mbele...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ni meno ya tembo au pembe za ndovu?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bQfOv76fsJd9w3C1Zd0w1gd-byvnAkboPRX1nbGzdKe*YRG47q8PiUUyqY9GT01D5f-5bMfeyGwmS0npQQKRm-ZXP2xZUP24/breakingnews.gif)
WATUHUMIWA PEMBE ZA NDOVU KIZIMBANI
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ufaransa kuteketeza pembe za Ndovu
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
TZ yakanusha biashara ya pembe za ndovu