Mtuhumiwa wa ujangili wa pembe za Ndovu akamatwa.
Polisi wa kimataifa , interpol tawi la Tanzania wamemkamata mfanya biashara maarufu raia wa Kenya kwa tuhuma za kujihusisha na ujangili na uhalifu uliovuka mipaka ,hususan mauaji ya tembo .
mtuhumiwa huyo Mohamed Ally Feisal Amekamatwa mjini Dar-Es-Salaam baada ya kusakwa kwa kipindi kirefu kwa makosa hayo ya kimataifa kutoka Dar Regina Mziwanda anaarifu zaidi.
Akitbibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo Bwana Diwani Athumani kutoka kamisheni ya Kurugenzi ya makos aya jinai amesema mtuhumiwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Oct
Mwanamke wa Kichina maarufu kama ‘Malkia wa Pembe za Ndovu’ akamatwa nchini akisafirisha pembe zenye thamani ya £1.62m
10 years ago
Vijimambo24 Dec
Mtuhumiwa wa ujangili akamatwa Tanzania
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/23/141223142023_feisal_512x288_bb_nocredit.jpg)
Polisi wa kimataifa , interpol tawi la Tanzania wamemkamata mfanya biashara maarufu raia wa Kenya kwa tuhuma za kujihusisha na ujangili na uhalifu uliovuka mipaka ,hususan mauaji ya tembo .
mtuhumiwa huyo Mohamed Ally Feisal Amekamatwa mjini Dar-Es-Salaam baada ya kusakwa kwa kipindi kirefu kwa makosa hayo ya kimataifa kutoka Dar Regina Mziwanda anaarifu zaidi.
Akithibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo Bwana Diwani Athumani kutoka kamisheni ya Kurugenzi ya makosa ya jinai...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ni meno ya tembo au pembe za ndovu?
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Wakamatwa na pembe za Ndovu Togo
9 years ago
Mtanzania01 Oct
JK: Fungeni masoko ya pembe za ndovu
Na Mwandishi Maalumu, New York
RAIS Jakaya Kikwete, ametoa changamoto kwa wabunge wa Bunge la Marekani kufunga masoko ya pembe za ndovu na faru duniani, kama njia ya kukomesha ujangili dhidi ya wanyamapori katika nchi za Afrika.
Rais Kikwete, amewataka wabunge hao kuzisaidia nchi za Afrika kifedha ili kukomesha ujangili huo, kwa sababu wabunge hao tayari wameitangazia dunia kuwa wanazo fedha za kutosha kwa ajili ya kukabiliana na ujangili.
Rais Kikwete alitoa changamoto hiyo juzi usiku,...
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ufaransa kuteketeza pembe za Ndovu
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Pembe za Ndovu zanaswa Thailand
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
TZ yakanusha biashara ya pembe za ndovu
11 years ago
BBCSwahili05 Jun