Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtuhumiwa wa ujangili akamatwa Tanzania

Feisal Mohamed Ally
Polisi wa kimataifa , interpol tawi la Tanzania wamemkamata mfanya biashara maarufu raia wa Kenya kwa tuhuma za kujihusisha na ujangili na uhalifu uliovuka mipaka ,hususan mauaji ya tembo .

mtuhumiwa huyo Mohamed Ally Feisal Amekamatwa mjini Dar-Es-Salaam baada ya kusakwa kwa kipindi kirefu kwa makosa hayo ya kimataifa kutoka Dar Regina Mziwanda anaarifu zaidi.

Akithibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo Bwana Diwani Athumani kutoka kamisheni ya Kurugenzi ya makosa ya jinai...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Mtuhumiwa wa ujangili wa pembe za Ndovu akamatwa.

Polisi wa kimataifa , interpol tawi la Tanzania wamemkamata mfanya biashara maarufu raia wa Kenya kwa tuhuma za kujihusisha na ujangili na uhalifu uliovuka mipaka ,hususan mauaji ya tembo .

mtuhumiwa huyo Mohamed Ally Feisal Amekamatwa mjini Dar-Es-Salaam baada ya kusakwa kwa kipindi kirefu kwa makosa hayo ya kimataifa kutoka Dar Regina Mziwanda anaarifu zaidi.

Akitbibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo Bwana Diwani Athumani kutoka kamisheni ya Kurugenzi ya makos aya jinai amesema mtuhumiwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtuhumiwa wa ugaidi akamatwa Uingereza

Mtuhumiwa wa ugaidi Moazzam Begg amekamatwa nchini Uingereza pamoja na wenzake watatu

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtuhumiwa wa mauaji ya Rwanda akamatwa

Marekani inasema kuwa mtu mmoja anayetuhumiwa kuhusika pakubwa katika mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994, amekamatwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtuhumiwa wa mauaji ya askari akamatwa

Ernest-Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu.

Na Mwandishi wetu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu amesema usiku wa kuamkia jana wamempata mtuhumiwa mmoja Wa ujambazi aliyedaiwa kuua askari Polisi wawili,kujeruhi 2 na kupora silaha mbalimbali katika kituo cha Polisi Bukombe.

Hayo aliyasema leo kwenye mkutano wa wadau wa sekta ya mifugo uliofanyika katika mkoa huu mwanza.

IGP Mangu amesema wamefanikiwa kumpata mtuhumiwa mmoja ambaye...

 

9 years ago

Michuzi

MTUHUMIWA WA MAUAJI YA KUTISHA YALIYOTOKEA MKOANI ARUSHA AKAMATWA

Na Woinde Shizza, wa libeneke la kaskazini blogMtuhumiwa mauaji ya kutisha ya kumkata viungo vya mwili marehemu zikiwemo sehemu za siri, viganja vya mikono na matiti mauaji yaliotokea kwenye hoteli ya A Square Belmot amekamatwa na jeshi la polisi mkoani Arusha.
Akiongea na vyombo vya habari ofisini kwake kamanda wa polisi, Naibu kamishna wa jeshi la polisi mkoani hapa Liberatus Sabas alisema kuwa mtuhumiwa alikamatwa juzi majira ya asubuhi katika eneo la TRA House jijini Arusha.
Sabas ...

 

11 years ago

Michuzi

Mtuhumiwa aliyesakwa na Polisi kwa mauaji ya watu wanane Tarime akamatwa Tanga


Jambazi kuu anayetuhumiwa kujihusisha na matukio ya mauaji na unyanganyi wa kutumia silaha yaliyo tokea Wilayani Tarime kuanzia 26 hadi 28.01.2014 amekamatwa na jeshi la polisi jioni ya Tarehe 06.02.2014 mkoani Tanga. 
Akisimulia kukamatwa kwa jambazi huyo Kamanda wa mkoa wa kipolisi Tarime/Rorya Justus Kamugisha amesema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa jioni ya Tarehe 06.02.2014 majira ya saa 1.30 na katika mahojiano ya awali ya jeshi la polisi mtuhumiwa huyo alikiri kuhusika na matukio ya...

 

10 years ago

Michuzi

Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa

Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfanyabiashara akamatwa Tanzania

Interpol tawi la Tanzania wamemkamata mfanya biashara raia wa Kenya, Mohammed Ally Feisal kwa tuhuma za kujihusisha na ujangili na uhalifu uliovuka mipaka .

 

11 years ago

Dewji Blog

Ujangili wazidi kuitesa Tanzania

msigwa1

Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa.

Na Mwandishi wetu

Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa, amemwaga ushahidi namna ujangili unavyofanyika na kushamiri nchini kwa kufanywa na watu waliogawiwa vitalu halali lakini hawafuati sheria za nchi, hivyo kufanya uwindaji haramu huku serikali ikiwa inalifumbia macho suala hilo.

Akiongea na waandishi wa habari, Jijini Dar es Salaam, Msigwa alionyesha video ya kampuni ya uwindaji ya green miles safaris limited, inayoonekana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani