Mfanyabiashara akamatwa Tanzania
Interpol tawi la Tanzania wamemkamata mfanya biashara raia wa Kenya, Mohammed Ally Feisal kwa tuhuma za kujihusisha na ujangili na uhalifu uliovuka mipaka .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Daktari feki akamatwa Tanzania
10 years ago
Vijimambo24 Dec
Mtuhumiwa wa ujangili akamatwa Tanzania
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/23/141223142023_feisal_512x288_bb_nocredit.jpg)
Polisi wa kimataifa , interpol tawi la Tanzania wamemkamata mfanya biashara maarufu raia wa Kenya kwa tuhuma za kujihusisha na ujangili na uhalifu uliovuka mipaka ,hususan mauaji ya tembo .
mtuhumiwa huyo Mohamed Ally Feisal Amekamatwa mjini Dar-Es-Salaam baada ya kusakwa kwa kipindi kirefu kwa makosa hayo ya kimataifa kutoka Dar Regina Mziwanda anaarifu zaidi.
Akithibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo Bwana Diwani Athumani kutoka kamisheni ya Kurugenzi ya makosa ya jinai...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cnqcCNboyiY/VOngUPfJ7rI/AAAAAAADaMc/k58T9tRV8Ls/s72-c/20150222_121159.jpg)
MFANYABIASHARA KUTOKA TANZANIA BWA. HASHIMU LEMA AMTEMBELEA MHE. OMAR MJENGA OFISINI KWAKE DUBAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-cnqcCNboyiY/VOngUPfJ7rI/AAAAAAADaMc/k58T9tRV8Ls/s1600/20150222_121159.jpg)
Mhe. Mjenga amemfahamisha fursa nyingi zilizopo Dubai na Ukanda wa Ghuba kwenye sekta hii ya ujenzi, ambako kampuni kutoka Tanzania wanaweza kuwa ni mikataba ya ushirikiano nazo katika utekelezaji wa miradi mbali mbali Tanzania. Njia hii pia itasaidia kuwajengea uwezo na kupata mbinu za teknolojia mpya ( technological Transfer).
10 years ago
Habarileo26 Aug
Mfanyabiashara ajiua
MFANYABIASHARA maarufu wa madini ya dhahabu amejiua kwa kujipiga risasi kichwani. Amefanya hivyo wakati akiwakimbia wananchi wenye hasira na wachimbaji wadogo kwenye machimbo ya Kalole Kata ya Bugarama wilaya ya Kahama, baada ya kumjeruhi mguuni kwa kumpiga risasi mchimbaji mdogo wa machimbo hayo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2aUaVnD6JyBapjkCSArL5LDa-83rfpXN9jqW*xmlTvcSgLsVseoNgSt9BMidHPswXSO45vj*NsMPTh1H-1jaBgl/T.jpg)
MFANYABIASHARA APIGWA...
11 years ago
Habarileo10 Jun
Mfanyabiashara adaiwa kubaka
MFANYABIASHARA Edward Kohe (35) mkazi wa Kitunda-Kizuiani, Ilala mkoani Dar es Salaam amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya kubaka.
9 years ago
Habarileo05 Dec
Mfanyabiashara achinjwa Maswa
MFANYABIASHARA mmoja, Robert Dwese (43), mkazi wa Biafra Maswa Mjini ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni na usoni na kufa papo hapo.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mfanyabiashara atahadharisha Polisi
JESHI la Polisi nchini limetakiwa kuacha kuvifananisha vikundi vya uhalifu na makundi ya kigaidi kama vile Al Sbabab, El Quaeda na Boko Haram, kwani kwa kufanya hivyo kunaweza kuvuruga uchumi...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Mfanyabiashara auawa Moshi
KUNDI la watu wanaodhaniwa kuwa majambazi wakiwa na silaha, wamevamia duka la jumla la kuuza bia na bidhaa mbalimbali na kisha kumuua kwa kumpiga risasi mmiliki wa duka hilo, Respiki...