Mfanyabiashara achinjwa Maswa
MFANYABIASHARA mmoja, Robert Dwese (43), mkazi wa Biafra Maswa Mjini ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni na usoni na kufa papo hapo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3UelzWjD6V9VyVAreM1haznii2c*GChPmUIVF8I*tQQVPDL3ufvRv9MvMMZvPq2Hfv0NVKcpIvnwM-hyQov9iYD/DENTI.gif?width=650)
DENTI ACHINJWA, ATOLEWA UTUMBO!
11 years ago
Habarileo03 Jan
Achinjwa kwa imani za kishirikina
MKAZI wa Kijiji cha Kakese-Mkwajuni, wilayani Mpanda, Shoma Salum (78) ameuawa kwa kuchinjwa kwa kile kinachodaiwa ni kutokana na imani za kishirikina.
9 years ago
Habarileo21 Dec
Mkuu wa Upelelezi TANAPA achinjwa
POLISI mkoani Arusha imewatia mbaroni watu wawili wanaohusishwa na tukio la kuuawa kinyama kwa kuchinjwa shingo kwa Mkuu wa Idara ya Upelelezi ya Ulinzi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Stephen Kisamo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCvP*XrT78bUVUEnDTAoOggAgy2ZKbC4ElJ*kEyhVqi9Sp8Z900lVgc170uwYzizlCDfSnvQmdn*diMXvZeqO4Cb/FRONTUWAZI.jpg)
MWALIMU ACHINJWA KAMA KUKU
11 years ago
Habarileo13 Jul
Binti achinjwa kama kuku
WATU wasiojulikana wilayani Manyoni wamemchinja mithili ya kuku binti mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 16.
11 years ago
GPLBODABODA ACHINJWA-KISARAWE II KIGAMBONI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DNRCvs-5-8Glti1VxF9sctcNp10MfDBTDVBeveQs31ArDQXt2g1wHgv3fEPexEEdSPvvG9cx2Ixo4UoH-maM2amNx0k3dxdR/madai.jpg?width=650)
BODABODA ACHINJWA KWENYE FUMANIZI
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Bajeti Maswa hatihati kutekelezwa
BAJETI ya Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu ya 2014/2015 iliyopitishwa na baraza la madiwani wa halmashauri hiyo huenda isifikie malengo kutokana na wakulima wa pamba kudai kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Maswa wakataa viongozi wao
WANANCHI WA wa Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, wamemkataa Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Hilda Lauwo na Mwenyekiti wa Halmashauri, Stephen Dwese kwa madai ya kukwamisha maendeleo. Tukio hilo lilitokea...