Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfanyabiashara achinjwa Maswa

MFANYABIASHARA mmoja, Robert Dwese (43), mkazi wa Biafra Maswa Mjini ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni na usoni na kufa papo hapo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

DENTI ACHINJWA, ATOLEWA UTUMBO!

Inatisha! Kijana anayedaiwa ni denti wa sekondari aliyetajwa kwa jina la Manka Omari (19), mkazi wa Golani-Kimara jijini Dar, anadaiwa kuuawa kikatili kwa kuchinjwa na kutolewa utumbo na watu wenye hasira kali akituhumiwa kupora simu kutoka kwa mtu. Marehemu Manka Omari enzi za uhai wake. Tukio hilo lililozizima maeneo hayo lilitokea usiku wa manane wa kuamkia Agosti 31, mwaka huu ambapo awali inaelezwa kuwa Manka alipoteza simu...

 

11 years ago

Habarileo

Achinjwa kwa imani za kishirikina

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariMKAZI wa Kijiji cha Kakese-Mkwajuni, wilayani Mpanda, Shoma Salum (78) ameuawa kwa kuchinjwa kwa kile kinachodaiwa ni kutokana na imani za kishirikina.

 

9 years ago

Habarileo

Mkuu wa Upelelezi TANAPA achinjwa

POLISI mkoani Arusha imewatia mbaroni watu wawili wanaohusishwa na tukio la kuuawa kinyama kwa kuchinjwa shingo kwa Mkuu wa Idara ya Upelelezi ya Ulinzi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Stephen Kisamo.

 

10 years ago

GPL

MWALIMU ACHINJWA KAMA KUKU

Stori  stori: Mwandishi Wetu MARA
HUZUNI, vilio, majonzi vilitawala kwa wakazi wa Kiabakari na vitongoji vyake kufuatia Mwalimu Alfred Ghozi (26) (pichani) wa Shule ya Sekondari ya Kukirango iliyopo Kata ya Kukirango, Halmashauri ya Butiama mkoani Mara kukutwa amechinjwa kama kuku kwa kutumia panga, Uwazi lina mkasa wote. Mama wa marehemu Alfred Ghozi (26) akihuzunika kumpoteza mwanaye. Tukio hilo la kutisha lilijiri...

 

11 years ago

Habarileo

Binti achinjwa kama kuku

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Geofrey KamwelaWATU wasiojulikana wilayani Manyoni wamemchinja mithili ya kuku binti mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 16.

 

11 years ago

GPL

BODABODA ACHINJWA-KISARAWE II KIGAMBONI

Bi. Sakina, ambaye ni mama mzazi wa John Thobias akiweka shada la maua kwa uchungu. Katekista Millinga akiweka msalaba. Jeneza likiwa ndani ya…

 

10 years ago

GPL

BODABODA ACHINJWA KWENYE FUMANIZI

HATARI! Wimbi la mauaji yanayohusishwa na matukio ya mafumanizi yanazidi kushika kasi mkoani hapa ambapo mwishoni mwa wiki iliyopita dereva mwingine wa bodaboda aliyetajwa kwa jina moja la Kambi (33), anadaiwa kuchinjwa na kufa papohapo huku kifo chake kikihusishwa na matukio hayo. Marehemu Kambi enzi za uhai wake. Tukio hilo lilitokea juzikati majira ya saa 11:00 alfajiri ambapo mwili wa bodaboda huyo uliokotwa maeneo ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti Maswa hatihati kutekelezwa

BAJETI ya Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu ya 2014/2015 iliyopitishwa na baraza la madiwani wa halmashauri hiyo huenda isifikie malengo kutokana na wakulima wa pamba kudai kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maswa wakataa viongozi wao

WANANCHI WA wa Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, wamemkataa Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Hilda Lauwo na Mwenyekiti wa Halmashauri, Stephen Dwese kwa madai ya kukwamisha maendeleo. Tukio hilo lilitokea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani