DENTI ACHINJWA, ATOLEWA UTUMBO!
![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3UelzWjD6V9VyVAreM1haznii2c*GChPmUIVF8I*tQQVPDL3ufvRv9MvMMZvPq2Hfv0NVKcpIvnwM-hyQov9iYD/DENTI.gif?width=650)
Inatisha! Kijana anayedaiwa ni denti wa sekondari aliyetajwa kwa jina la Manka Omari (19), mkazi wa Golani-Kimara jijini Dar, anadaiwa kuuawa kikatili kwa kuchinjwa na kutolewa utumbo na watu wenye hasira kali akituhumiwa kupora simu kutoka kwa mtu. Marehemu Manka Omari enzi za uhai wake. Tukio hilo lililozizima maeneo hayo lilitokea usiku wa manane wa kuamkia Agosti 31, mwaka huu ambapo awali inaelezwa kuwa Manka alipoteza simu...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo05 Dec
Mfanyabiashara achinjwa Maswa
MFANYABIASHARA mmoja, Robert Dwese (43), mkazi wa Biafra Maswa Mjini ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni na usoni na kufa papo hapo.
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Sakata la pacha aliyetoka utumbo
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Vijana kuathirika na saratani ya utumbo
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2ieU-5jqghzokC1QbnkdnZAhI2ZniqdvrVxTw82AScC3-KdUGWSuQzK0W0pQ0Rh46JkAMr*IKRPd9o2XgW4zvKi/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
KALETE UTUMBO WA MBU MJAMZITO!
11 years ago
Habarileo13 Jul
Binti achinjwa kama kuku
WATU wasiojulikana wilayani Manyoni wamemchinja mithili ya kuku binti mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 16.
11 years ago
GPLBODABODA ACHINJWA-KISARAWE II KIGAMBONI
9 years ago
Habarileo21 Dec
Mkuu wa Upelelezi TANAPA achinjwa
POLISI mkoani Arusha imewatia mbaroni watu wawili wanaohusishwa na tukio la kuuawa kinyama kwa kuchinjwa shingo kwa Mkuu wa Idara ya Upelelezi ya Ulinzi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Stephen Kisamo.
11 years ago
Habarileo03 Jan
Achinjwa kwa imani za kishirikina
MKAZI wa Kijiji cha Kakese-Mkwajuni, wilayani Mpanda, Shoma Salum (78) ameuawa kwa kuchinjwa kwa kile kinachodaiwa ni kutokana na imani za kishirikina.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCvP*XrT78bUVUEnDTAoOggAgy2ZKbC4ElJ*kEyhVqi9Sp8Z900lVgc170uwYzizlCDfSnvQmdn*diMXvZeqO4Cb/FRONTUWAZI.jpg)
MWALIMU ACHINJWA KAMA KUKU