Mkuu wa Upelelezi TANAPA achinjwa
POLISI mkoani Arusha imewatia mbaroni watu wawili wanaohusishwa na tukio la kuuawa kinyama kwa kuchinjwa shingo kwa Mkuu wa Idara ya Upelelezi ya Ulinzi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Stephen Kisamo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Mkuu wa Upelelezi TANAPA achinjwa shingo, mwili watelekezwa!
![liberatusi-sa](http://cdn2.yatosha.com/wp-content/uploads/2015/12/liberatusi-sa.jpg)
11 years ago
Michuzi25 Jul
11 years ago
Habarileo29 Apr
Mkuu wa Upelelezi auawa kwa kisu
MKUU wa Upelelezi, Kituo cha Polisi Isebania Wilaya ya Kurya West, Kenya kilicho mpakani na Tanzania, John Kaduri ameuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na mtuhumiwa wa vitendo vya uhalifu.
10 years ago
GPLWILAYA KIPOLISI UKONGA YAMUAGA ALIYEKUWA MKUU WA UPELELEZI.
Aliyekuwa mkuu wa upelelezi Wilaya ya Ukonga SSP Idd Kiyomo akiwa na mke wake wakiinga ndani ya ukumbi wa Stakishari Polisi kwa ajili ya kuagwa rasmi. Mkuu huyo ambaye kwa sasa anahamia mkoani Tabora kwenda kutimiza majukumu aliyokuwa akiyatekeleza Ukonga akiteta jambo na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa ... Mh Tambalizeni… ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s72-c/unnamed.jpg)
ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI KWA MKUU WA UPELELEZI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s1600/unnamed.jpg)
Askofu Gwajima alifika kituo kikuu cha Polisi saa nane na dakika kumi na tano mchana wa tarehe 27/03/2015. Mara baada ya kufika kituoni hapo alielekezwa kwenda kumuona Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Constantine Masawe ambaye alikuwa akisubiri kufika...
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Mkuu wa Idara ya Ulinzi Tanapa auawa, atelekezwa
Watu wasiojulikana wamemuua kwa kumchinja Mkuu wa Idara ya Ulinzi na Usalama katika Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), Emily Kisamo kisha kumweka katika buti la gari lake.
10 years ago
Michuzi18 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dstpZLHTlg4/VW_T48ZL_EI/AAAAAAAAQW8/y-fMdNDSaAY/s72-c/E86A9178%2B%2528800x533%2529.jpg)
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO LEONIDAS GAMA AKABIDHIWA MRADI WA UJENZI WA UKUMBI WA CHAKULA ULIOFADHILIWA NA TANAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dstpZLHTlg4/VW_T48ZL_EI/AAAAAAAAQW8/y-fMdNDSaAY/s640/E86A9178%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2bFU8A5oYfQ/VW_T43eFOLI/AAAAAAAAQW0/xJyE1A_tyC0/s640/E86A9182%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-88xmnCjl42I/VZGnkJyiC5I/AAAAAAAC75k/FtSi_R81hXU/s72-c/15.jpg)
MKUU WA MAJESHI MSTAAFU JENERALI MRISHO SARAKIKYA APEWA TUZO YA HESHIMA NA TANAPA KWA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO MARA 38
![](http://3.bp.blogspot.com/-88xmnCjl42I/VZGnkJyiC5I/AAAAAAAC75k/FtSi_R81hXU/s640/15.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania