WILAYA KIPOLISI UKONGA YAMUAGA ALIYEKUWA MKUU WA UPELELEZI.
Aliyekuwa mkuu wa upelelezi Wilaya ya Ukonga SSP Idd Kiyomo akiwa na mke wake wakiinga ndani ya ukumbi wa Stakishari Polisi kwa ajili ya kuagwa rasmi. Mkuu huyo ambaye kwa sasa anahamia mkoani Tabora kwenda kutimiza majukumu aliyokuwa akiyatekeleza Ukonga akiteta jambo na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa ... Mh Tambalizeni… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R0sNfTmw3dI/Ve-4BsHZyoI/AAAAAAAH3dw/Y_d5PPQR1GU/s72-c/20150908_132305.jpg)
MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA ND.JABU KHAMIS MTWANA YALIYOFANYIKA JANA KIJINI KWAO WILAYA YA MICHEWENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-R0sNfTmw3dI/Ve-4BsHZyoI/AAAAAAAH3dw/Y_d5PPQR1GU/s640/20150908_132305.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5b0YyqV1U-E/Ve-4CCnDPTI/AAAAAAAH3d0/oDTE1ESmB3c/s640/20150908_132856.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bHCdW_79u5I/VTkHqqDB0VI/AAAAAAAHSzw/F5BJite4vFg/s72-c/unnamedL.jpg)
AMIRI JESHI MKUU RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA KYERWA LUTENI KANALI BENEDICT KITENGA (MSTAAFU) LEO MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-bHCdW_79u5I/VTkHqqDB0VI/AAAAAAAHSzw/F5BJite4vFg/s1600/unnamedL.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5Duhvag7-MY/U1kk6RJjjDI/AAAAAAAAFW8/XPSNJJiNRTY/s72-c/IMG_1226.jpg)
mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa Hayati Moshi Mussa Chang'a
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Duhvag7-MY/U1kk6RJjjDI/AAAAAAAAFW8/XPSNJJiNRTY/s1600/IMG_1226.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bemeXA6ACDM/U1kmR0Hqi0I/AAAAAAAAFXI/5SbejmvfXo8/s1600/IMG_1118.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/SDzLbl0Vzks/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NfpAOI_Yquc/Ve532akFIHI/AAAAAAAB8WI/oRjP7MueGU8/s72-c/11949458_1521671391457684_6381338667055860994_n.jpg)
ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA NDG JABU KHAMIS MBWANA AFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NfpAOI_Yquc/Ve532akFIHI/AAAAAAAB8WI/oRjP7MueGU8/s640/11949458_1521671391457684_6381338667055860994_n.jpg)
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi Raaji'un
Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Nd. Jabu Khamis Mbwana amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Kijiji kwake Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu Jabu alikuwa akisumbuliwa na homa kwa takriban wiki moja sasa na maziko yatafanyika huko Kiuyu saa nne za asubuhi leo hii.
Mkuu huyo wa Wilaya ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/SDzLbl0Vzks/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
10 years ago
GPLTASWIRA NYUMBANI KWA ALIYEKUWA MBUNGE WA UKONGA DAR
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Shughuli ya kuaga mwili wa Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa Mbunge wa Ukonga
Mwili wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga ukiwasili kwenye viwanja vya bunge leo mjini Dodoma kwa ajili ya kuagwa.
Wabunge Mhe. Anna Abdalla (kushoto) na Mhe. Ester Bulaya wakiaga mwili wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwenye viwanja vya bunge leo mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Wanawake Mhe. Anna Abdallah akimfariji mume wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa mbunge wa Ukonga aliyefariki usiku wa kuamkia Juni 2 nyumbani kwake...