Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkuu wa Idara ya Ulinzi Tanapa auawa, atelekezwa

Watu wasiojulikana wamemuua kwa kumchinja Mkuu wa Idara ya Ulinzi na Usalama  katika Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), Emily Kisamo kisha kumweka katika buti la gari lake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

TANAPA yaanzisha kamati za ulinzi vijijini

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), limeanzisha mpango wa kuunda kamati za ulinzi shirikishi kwenye vijiji vinavyozunguka hifadhi, ili kuongeza nguvu ya kupambana na ujangili.

 

10 years ago

Vijimambo

ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU AFRIKA

1Askari Daraja la Pili Malale Patrick Mwita wa Hifadhi ya Taifa Serengeti akiongea na Wanahabari jijini Arusha kuhusiana na Tuzo ya kuwa Askari Bora wa Ulinzi wa Faru Barani Afrika aliyotunukiwa hivi karibuni nchini Afrika ya Kusini. 2Askari Daraja la Pili Malale Patrick Mwita wa Hifadhi ya Taifa Serengeti akionyesha Tuzo hiyo mbele ya Wanahabari jijini Arusha.

Askari Daraja la Pili Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katika ulinzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Askari wa TANAPA ashinda tuzo ya Ulinzi wa Faru Bara la Afrika

2Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete  (wa tatu kutoka kushoto) akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo  ambao  wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.

Mwandishi wetu,Arusha

Askari Daraja la Pili ,Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katikaulinzi wa Faru kwa mwaka 2015 barani Afrika inayojulikana “2015 Rhino Conservation Awards”
Meneja Mawasiliano wa...

 

10 years ago

Michuzi

ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU BARANI AFRIKA

Askari wa Shirika la Hifadhi za Taifa(Tanapa)Daraja la Pili,Malale Patrick Mwita akiwa ameshika Tuzo na Cheti alivyokabidhiwa na Mwana wa Mfalme Albert wa Pili wa Monaco nchini Afrika Kusini wiki iliyopita katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya Tanapa jijini Arusha.Meneja Mawasiliano wa Tanapa,Pascal Shelutete akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo  ambao wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.Waandishi wa habari...

 

9 years ago

Michuzi

TANAPA YAIMARISHA ULINZI WA TEMBO KWA KUWAFUNGA VIFAA MAALUM.

 Wataalam wa Uhifadhi wakiongozwa na Dk. Alfred Kikoti (wa kwanza kulia) wakiendelea na zoezi la uwekaji kola maalum kwa tembo zinazosaidia kudhibiti mienendo ya tembo ndani nan je ya hifadhi ya Mfumo wa Ikolojia wa Ruaha Rungwa. Helikopta maalum inayotumiwa na madaktari kwa ajili ya kutambua na kupiga dawa ya usingizi kwa tembo kabla ya uvalishaji wa kola maalum. Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi (mwenye kofia) akishuhudia zoezi la uvalishaji kola maalum kwa tembo katika Hifadhi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Askari wa TANAPA ashinda tuzo ya Ulinzi wa Faru Baara la Afrika

2Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete  (wa tatu kutoka kushoto) akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo  ambao  wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.

Mwandishi wetu,Arusha

Askari Daraja la Pili ,Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katikaulinzi wa Faru kwa mwaka 2015 barani Afrika inayojulikana “2015 Rhino Conservation Awards”
Meneja Mawasiliano wa...

 

11 years ago

GPL

WASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI YAFANA ARUSHA

Meneja Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa,TANAPA Pascal Shelutete akikaribisha mijadala kwa washiriki katika warsha ya mashirikiano kati ya TANAPA na Vyombo vya Ulinzi na Usalama
Baadhi ya Washiriki katika Warsha hiyo wakifuatilia kwa makini majadiliano.…

 

11 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AFUNGA WARSHA YA MASHIRIKIANO BAINA YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahamoud Mgimwa (wa pili toka kushoto) akiwa na Mkurugenzi Mkuu Hifadhi za Taifa,Allan Kijazi (mwanzo kushoto),wengine ni Kaimu Mkuu wa Idara ya Wanyamapori, Paul Sarakikya na mwisho kabisa kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Elias Tarimo wakati wa kufunga Warsha ya Mashirikiano baina ya Hifadhi za
Taifa,(TANAPA)  na Vyombo vya Ulinzi na Usalama.
Meneja Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa ,TANAPA,Pascal Shelutete akifanya utamburisho kwa washiriki wa Warsha hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani