TANAPA YAIMARISHA ULINZI WA TEMBO KWA KUWAFUNGA VIFAA MAALUM.
Wataalam wa Uhifadhi wakiongozwa na Dk. Alfred Kikoti (wa kwanza kulia) wakiendelea na zoezi la uwekaji kola maalum kwa tembo zinazosaidia kudhibiti mienendo ya tembo ndani nan je ya hifadhi ya Mfumo wa Ikolojia wa Ruaha Rungwa.
Helikopta maalum inayotumiwa na madaktari kwa ajili ya kutambua na kupiga dawa ya usingizi kwa tembo kabla ya uvalishaji wa kola maalum.
Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi (mwenye kofia) akishuhudia zoezi la uvalishaji kola maalum kwa tembo katika Hifadhi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziULINZI WA TEMBO KWA KUTUMIA SATELAITI WAANZA RUAHA
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa program hiyo hivi karibuni, Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi alisema kuwa “ Lengo kuu la...
9 years ago
MichuziDODOMA YAIMARISHA ULINZI KATIKA MKESHA WA X- MASS
Jeshi hilo limesema litaimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali ya biashara na mikusanyiko ya watu kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola ili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h__7x6oczWY/XosNOkuRCNI/AAAAAAAAJCI/rif8s6uvodYwweNZxeWRC8OrHW5EXRDiACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200406_112732_963.jpg)
SERIKALI MKOA WA ARUSHA YAIMARISHA ULINZI NA USALAMA ZOEZI LA WAMACHINGA SAMUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-h__7x6oczWY/XosNOkuRCNI/AAAAAAAAJCI/rif8s6uvodYwweNZxeWRC8OrHW5EXRDiACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112732_963.jpg)
Wamachinga wakiwa kwenye eneo la Soko la Samunge wakijiandaa kuanza Ujenzi wa vibanda vyao Mara baada ya zoezi la kugawa maeneo lilipoanza picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-aBmHNYUKFfc/XosNPxj5fcI/AAAAAAAAJCQ/635nkyp57a048uHodCyRVJHgdz8Uz_1AgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112734_674.jpg)
Michoro ya mgao wa maeneo ya vibanda vya soko la Samunge kama vinavyoonekana Leo Mara baada ya zoezi hilo la ugawaji kuanza Jana na Leo huku wengine wakianza kama walivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-q7gC0RuUlNs/XosNPUfqrMI/AAAAAAAAJCM/AlX6Bu1Byg8MmhrPEprpH3x9HBWpPrBzQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112814_696.jpg)
Ujenzi ukiendelea kama unavyoonekana pichani leo ndani ya eneo la soko la Samunge hilo ni eneo la Mashariki...
10 years ago
Michuzi24 Sep
11 years ago
Habarileo21 Jun
TANAPA yaanzisha kamati za ulinzi vijijini
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), limeanzisha mpango wa kuunda kamati za ulinzi shirikishi kwenye vijiji vinavyozunguka hifadhi, ili kuongeza nguvu ya kupambana na ujangili.
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Mkuu wa Idara ya Ulinzi Tanapa auawa, atelekezwa
10 years ago
Vijimambo31 Jul
ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU AFRIKA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/1104.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/296.jpg)
Askari Daraja la Pili Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katika ulinzi...
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Askari wa TANAPA ashinda tuzo ya Ulinzi wa Faru Bara la Afrika
Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete (wa tatu kutoka kushoto) akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo ambao wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.
Mwandishi wetu,Arusha
Askari Daraja la Pili ,Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katikaulinzi wa Faru kwa mwaka 2015 barani Afrika inayojulikana “2015 Rhino Conservation Awards”Meneja Mawasiliano wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p_QMEZSqIso/VbtjZ2FVpmI/AAAAAAAAEiA/UvaWKjxXpqo/s72-c/1.jpg)
ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU BARANI AFRIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p_QMEZSqIso/VbtjZ2FVpmI/AAAAAAAAEiA/UvaWKjxXpqo/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wqkAs__75zQ/VbtjjpE5G8I/AAAAAAAAEiI/as391ebncz4/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lV0ogl-mdws/Vbtjs7Px_aI/AAAAAAAAEiQ/0pSGH5xrqIw/s640/3.jpg)