ULINZI WA TEMBO KWA KUTUMIA SATELAITI WAANZA RUAHA
Shirika la Hifadhi za Taifa limezindua program maalum ambapo tembo 30 wanaoongoza makundi 30 katika mfumo wa Ikolojia wa Ruaha Rungwa watavalishwa kola malum shingoni zenye vifaa vinavyorekodi mienendo yao kwa kutumia satelaiti. Program hii inafadhiliwa kwa pamoja na taasisi za Global Environment Facility pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP).
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa program hiyo hivi karibuni, Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi alisema kuwa “ Lengo kuu la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Tembo Ruaha kufuatiliwa na kifaa maalumu
9 years ago
MichuziTANAPA YAIMARISHA ULINZI WA TEMBO KWA KUWAFUNGA VIFAA MAALUM.
9 years ago
StarTV04 Dec
Tembo 7,500 kati ya 12,000 waliotoweka warejea katika  hifadhi  ya Ruaha-Rungwa
Tembo 7,500 kati ya 12,000 walioripotiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha kwenye uwanda wa eneo la uhifadhi Ruaha-Rungwa Nyanda za Juu Kusini wamerejea tena kwenye eneo hilo.
Kurudi kwa wanyama hao waliodaiwa kupotea kwa wingi kutoka eneo hilo, ndani ya kipindi cha mwaka mmoja kumebainika katika matokeo ya sensa mpya ya wanyamapori iliyofanyika Ruaha-Rungwa wiki chache zilizopita.
Matokeo ya sensa mpya ya Septemba-Novemba mwaka huu yametangazwa rasmi jijini hapa na Katibu Mkuu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-35HviC9TAqM/Ux7du9KwXjI/AAAAAAAA73k/R27MSxuSLjs/s72-c/14.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MFUMO WA KULIPIA MATIBABU KWA KUTUMIA NJIA YA KIELEKRONIKI 'KCMC TEMBO CARD'
![](http://3.bp.blogspot.com/-35HviC9TAqM/Ux7du9KwXjI/AAAAAAAA73k/R27MSxuSLjs/s1600/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a6F4vLoWInQ/Ux7boYTm4vI/AAAAAAAA72U/GvV1-pPLQGE/s1600/20.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-06IEOzwZCuI/Ux7b0qOq_7I/AAAAAAAA72w/1q6YoyAzOpg/s1600/23.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s1yIy1k5xzo/Ux7bvkQ1dBI/AAAAAAAA72c/jAVaxtt-edc/s1600/21.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yjxr2uKvaiY/XtpD_Zgm50I/AAAAAAALstg/XtH2v0u9Msw5erAH8PlbClinEeKyRUWngCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200605-WA0013.jpg)
WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO BAGAMOYO WAANZA KUTUMIA BANDARI NDOGO BAADA YA KUSUSIA KWA MUDA
WAFANYABIASHARA ndogondogo Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani,wameanza rasmi kazi kwenye bandari ndogo wilayani hapa, baada ya kusimama kwa takribani miezi mitatu.
Hatua hiyo imetokana na Mkuu wa wilaya hiyo Zainab Kawawa kukaa nao pamoja na Maofisa wanaosimamia Bandari hiyo, kufanikiwa kumaliza tofauti hiyo, hatimae kuanza tena shughuli zao.
Akizunguma katika Bandari ndogo wilayani humo, Kawawa alisema kuwa kunyanyaswa kwa wafanyabiashara hao ni sawa na kumnyanyasa...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-a6F4vLoWInQ/Ux7boYTm4vI/AAAAAAAA72U/GvV1-pPLQGE/s1600/20.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MFUMO WA KULIPIA MATIBABU KWA KUTUMIA NJIA YA KIELEKRONIKI 'KCMC TEMBO CARD'
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QQsIr_NphUs/VBH9GZYzlOI/AAAAAAAGi_Q/xUgEGyuolyE/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
WANANCHI WAANZA KUTUMIA MV KIGAMBONI LEO
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Mussa Iyombe wakati akizindua kivuko hicho ambacho kilikuwa kikikarabatiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Wanamaji.
Mhandisi Iyombe amesema Kivuko hicho ambacho kinategemewa na wananchi walio wengi waishio Kigamboni na maeneo jirani kimeanza kutoa ...