Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI WAANZA KUTUMIA MV KIGAMBONI LEO

Hatimaye Serikali imetimiza ahadi yake mapema leo mara baada ya Kivuko cha Mv. Kigamboni kuanza rasmi safari zake za usafirishaji.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Mussa Iyombe wakati akizindua kivuko hicho ambacho kilikuwa kikikarabatiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Wanamaji.
Mhandisi Iyombe amesema Kivuko hicho ambacho kinategemewa na wananchi walio wengi waishio Kigamboni na maeneo jirani kimeanza kutoa ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

kakakuona aonekana kigamboni leo, wananchi watabiri ni ishara ya mvua nyingi msimu huu

 Wananchi wakiwa wamemzunguka Kakakuona aliyeonekana asubuhi majira ya saa moja maeneo ya Kigamboni Kisiwani Mtaa wa Chaboko ambapo kwa mujibu wa ripota na mpiga picha wetu Salma Bob Kassim, mnyama huyo aliwekewa Unga, ndizi, maji pamoja na pesa. 
Lakini akaishia kunywa maji tu kabla ya kukimbilia vichakani. Wananchi kwa mamia waliofurika kumuona Kakakuona huyo walisikika wakisema kuwa huenda huo ni utabiri kwamba huenda mvua zikawa nyingi msimu huu. 
Polisi walifika eneo la tukio na baada ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ufisadi waanza mradi wa Kigamboni

MRADI wa mji mpya wa Kigamboni, jijini Dar es salaam, unadaiwa kuwa wa kifisadi baada ya watu wawili kati ya 228 waliofanyiwa tathmini kuandaliwa malipo ya sh bilioni 22 kati...

 

10 years ago

Habarileo

JK avuka Kigamboni kutumia daraja la muda

RAIS Jakaya Kikwete amekuwa Mtanzania wa kwanza kuvuka rasmi Bahari ya Hindi kwa gari kwenda Kigamboni akitokea mjini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Waanza kutumia MaxMalipo kulipia ankara za maji

WAKAZI wa Manispaa ya Iringa na vitongoji vyake wameanza kutumia mashine za Maxmalipo kulipa bili zao za maji. Meneja Usambazaji wa Kampuni ya Maxcom Africa, Athanas Leonce alisema mashine hizo zinaendelea kusambazwa kwa mawakala wao katika maeneo mbalimbali mjini Iringa.

 

9 years ago

Michuzi

ULINZI WA TEMBO KWA KUTUMIA SATELAITI WAANZA RUAHA

Shirika la Hifadhi za Taifa limezindua program maalum ambapo tembo 30 wanaoongoza makundi 30 katika mfumo wa Ikolojia wa Ruaha Rungwa watavalishwa kola malum shingoni zenye vifaa vinavyorekodi mienendo yao kwa kutumia satelaiti. Program hii inafadhiliwa kwa pamoja na taasisi za Global Environment Facility pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP).
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa program hiyo hivi karibuni, Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi alisema kuwa “ Lengo kuu la...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO BAGAMOYO WAANZA KUTUMIA BANDARI NDOGO BAADA YA KUSUSIA KWA MUDA

NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO

WAFANYABIASHARA ndogondogo Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani,wameanza rasmi kazi kwenye bandari ndogo wilayani hapa, baada ya kusimama kwa takribani miezi mitatu.

Hatua hiyo imetokana na Mkuu wa wilaya hiyo Zainab Kawawa kukaa nao pamoja na Maofisa wanaosimamia Bandari hiyo, kufanikiwa kumaliza tofauti hiyo, hatimae kuanza tena shughuli zao.

Akizunguma katika Bandari ndogo wilayani humo, Kawawa alisema kuwa kunyanyaswa kwa wafanyabiashara hao ni sawa na kumnyanyasa...

 

10 years ago

Habarileo

Kigamboni sasa kuendelezwa na wananchi wenyewe-Lukuvi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviMJI mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam sasa utaendelezwa kwa sehemu kubwa na wakazi wa Kigamboni wenyewe, Bunge la Jamhuri linaloketi mjini Dodoma limeelezwa.

 

11 years ago

GPL

KIGAMBONI MCHAKATO WA MJI MPYA ULIVYOGEUKA MSIBA KWA WANANCHI

Na Hashim Aziz
Mwaka 2008, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ilitangaza kubuni mradi wa ujenzi wa mji mpya wa kisasa wa Kigamboni ambao kwa mujibu wa taarifa hiyo, ungeanza kutekelezwa miaka mitano baadaye, yaani 2013 na kuendelea kwa miaka kadhaa hadi 2032 ukitarajiwa kugharimu zaidi ya Sh. Trilioni 11. Taarifa hizo zilipokelewa kwa shangwe na wananchi wa jimbo hilo kwani pia waliahidiwa kulipwa fidia nono....

 

11 years ago

Michuzi

SIKILIZA WAWAKILISHI WA WANANCHI WAKIONGELEA KUHUSIANA NA SAKATA LA UJENZI WA MJI MPYA KIGAMBONI.

 Mchungaji Boniface Frank Mwenegoha akizungumza kuhusiana na sakata la ujenzi wa mji mpya Kigamboni
Mwenyekiti wa Kamati ya Wananchi inayowakilisha malalamiko yao kuhusiana na ujenzi mpya wa mji wa Kigamboni,Bwa.Kassim Abdallah.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani