Ufisadi waanza mradi wa Kigamboni
MRADI wa mji mpya wa Kigamboni, jijini Dar es salaam, unadaiwa kuwa wa kifisadi baada ya watu wawili kati ya 228 waliofanyiwa tathmini kuandaliwa malipo ya sh bilioni 22 kati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Uchunguzi wa ufisadi waanza
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QQsIr_NphUs/VBH9GZYzlOI/AAAAAAAGi_Q/xUgEGyuolyE/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
WANANCHI WAANZA KUTUMIA MV KIGAMBONI LEO
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Mussa Iyombe wakati akizindua kivuko hicho ambacho kilikuwa kikikarabatiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Wanamaji.
Mhandisi Iyombe amesema Kivuko hicho ambacho kinategemewa na wananchi walio wengi waishio Kigamboni na maeneo jirani kimeanza kutoa ...
11 years ago
Habarileo11 Aug
Tibaijuka aeleza hisa mradi Kigamboni
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema hisa ya asilimia 10 kwa fidia watakayolipwa wananchi wa Kigamboni kupisha ujenzi wa mji wa kisasa ni hiari.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uhwQltyYXXE/VDQG37KR8pI/AAAAAAAGojE/ceY1KAQO0WI/s72-c/ns1.jpg)
JK ATEMBELEA DARAJA LA KIGAMBONI, MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI ZA NSSF KIJICHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-uhwQltyYXXE/VDQG37KR8pI/AAAAAAAGojE/ceY1KAQO0WI/s1600/ns1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IK-OR89wUzI/VDQG6cu-pyI/AAAAAAAGojg/dpQCJCgE9Zc/s1600/ns2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Prof. Maghembe: Hakuna ufisadi mradi wa maji Karatu
WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, amesema hakuna ufisadi wowote katika utekelezaji wa mradi wa maji wa Wilaya ya Karatu. Alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Mradi wa Dege Eco village waanza
KAMPUNI ya Hifadhi Builders inayotekeleza mradi wa Dege Eco Village imesema mradi huo utakua wa mafanikio kwa kuwa tayari wameshaanza kuuza nyumba hizo. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonyesho...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bfslzEWpXb0/VCCPRqGIesI/AAAAAAAGlMI/C65bn88_bBQ/s72-c/IMG_9549.jpg)
MRADI WA NYUMBA WA DEGE ECO-VILLAGE WAANZA
Wakati Meneja Masoko na Mauzo Bw. Azhar Malik wa Dege eco-Village akiongea alisema “Kwa sasa ujenzi unaendelea na karibu aina ya nyumba (apartment) 3000 zitakuwa tayari ifikapo Januari 2015. Aliongezea kusema kwamba kupitia mradi huu waTanzania watanufaika kwa kupata ajira na pia kuwa na huduma kama hospitali, shule na maduka...
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Pinda akagua ujenzi wa daraja la Kigamboni na mradi wa nyumba za mashirika ya NSSF na NHC
Waziri Mkuu, Mizewngo Pinda akikagua ujenzi wa daraja la kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba unaofanywa na Shirika la NSSF katika eno la Kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).