Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufisadi waanza mradi wa Kigamboni

MRADI wa mji mpya wa Kigamboni, jijini Dar es salaam, unadaiwa kuwa wa kifisadi baada ya watu wawili kati ya 228 waliofanyiwa tathmini kuandaliwa malipo ya sh bilioni 22 kati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Uchunguzi wa ufisadi waanza

Timu ya kuchunguza ubadhirifu wa fedha kwa vyama vya ushirika vya tumbaku mkoani Tabora imesema haihusiki na kuwashtaki watuhumiwa, bali kazi yake ni kutoa mapendekezo serikalini.

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WAANZA KUTUMIA MV KIGAMBONI LEO

Hatimaye Serikali imetimiza ahadi yake mapema leo mara baada ya Kivuko cha Mv. Kigamboni kuanza rasmi safari zake za usafirishaji.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Mussa Iyombe wakati akizindua kivuko hicho ambacho kilikuwa kikikarabatiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Wanamaji.
Mhandisi Iyombe amesema Kivuko hicho ambacho kinategemewa na wananchi walio wengi waishio Kigamboni na maeneo jirani kimeanza kutoa ...

 

11 years ago

Habarileo

Tibaijuka aeleza hisa mradi Kigamboni

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema hisa ya asilimia 10 kwa fidia watakayolipwa wananchi wa Kigamboni kupisha ujenzi wa mji wa kisasa ni hiari.

 

10 years ago

Michuzi

JK ATEMBELEA DARAJA LA KIGAMBONI, MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI ZA NSSF KIJICHI

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akizungumza na Uongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakati alipotembelea ujenzi wa Daraja la Kigamboni,jijini Dar es Salaam leo.Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akipokea kadi maalum ya pongezi ya siku yake ya kuzaliwa leo Oktoba 07,2014 kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dkt. Ramadhan Dau.Rais Kikwete anasherehekea siku yake ya kuzaliwa leo,akiwa ametimiza miaka 64 toka kuzaliwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Maghembe: Hakuna ufisadi mradi wa maji Karatu

WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, amesema hakuna ufisadi wowote katika utekelezaji wa mradi wa maji wa Wilaya ya Karatu. Alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa Dege Eco village waanza

KAMPUNI ya Hifadhi Builders inayotekeleza mradi wa Dege Eco Village imesema mradi huo utakua wa mafanikio kwa kuwa tayari wameshaanza kuuza nyumba hizo. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonyesho...

 

10 years ago

Michuzi

MRADI WA NYUMBA WA DEGE ECO-VILLAGE WAANZA

Mradi wa nyumba unaosimamiwa na kampuni ya Hifadhi inayoitwa Dege Eco-Village umeshiriki maonyesho ya nyumba yaliyoanza kufanyika jijini Dar es Salaam jana.
Wakati Meneja Masoko na Mauzo Bw. Azhar Malik wa Dege eco-Village akiongea alisema “Kwa sasa ujenzi unaendelea na karibu aina ya nyumba (apartment) 3000 zitakuwa tayari ifikapo Januari 2015. Aliongezea kusema kwamba kupitia mradi huu waTanzania watanufaika kwa kupata ajira na pia kuwa na huduma kama hospitali, shule na maduka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akagua ujenzi wa daraja la Kigamboni na mradi wa nyumba za mashirika ya NSSF na NHC

PG4A1322

Waziri  Mkuu, Mizewngo Pinda akikagua ujenzi wa daraja la kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1354

PG4A1494

PG4A1537

Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba unaofanywa na Shirika la NSSF katika eno la Kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1743

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na  Bibi Doreene Mkandara na Mwanae Adastus  Aporinary ambao ni miongoni mwa wateja waliouziwa nyumba  na Shirika la Nyumba la Taifa la NHC...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani