Tibaijuka aeleza hisa mradi Kigamboni
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema hisa ya asilimia 10 kwa fidia watakayolipwa wananchi wa Kigamboni kupisha ujenzi wa mji wa kisasa ni hiari.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Kigamboni wamkaba koo Waziri Tibaijuka
11 years ago
KwanzaJamii11 Aug
TIBAIJUKA, NDUNGULILE WATOFAUTIANA KUHUSU KIGAMBONI
11 years ago
Mwananchi30 May
Prof Tibaijuka asalimu amri Kigamboni
10 years ago
TheCitizen30 Mar
Lukuvi now overturns Prof Tibaijuka’s decisions on Kigamboni new city
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Ufisadi waanza mradi wa Kigamboni
MRADI wa mji mpya wa Kigamboni, jijini Dar es salaam, unadaiwa kuwa wa kifisadi baada ya watu wawili kati ya 228 waliofanyiwa tathmini kuandaliwa malipo ya sh bilioni 22 kati...
11 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI PROFESA ANNA TIBAIJUKA AKUTANA NA WADAU WA MJI MPYA WA KIGAMBONI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uhwQltyYXXE/VDQG37KR8pI/AAAAAAAGojE/ceY1KAQO0WI/s72-c/ns1.jpg)
JK ATEMBELEA DARAJA LA KIGAMBONI, MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI ZA NSSF KIJICHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-uhwQltyYXXE/VDQG37KR8pI/AAAAAAAGojE/ceY1KAQO0WI/s1600/ns1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IK-OR89wUzI/VDQG6cu-pyI/AAAAAAAGojg/dpQCJCgE9Zc/s1600/ns2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Mradi wa Mwanamke Mwezeshe wa WAMA wakopesha wanachama wa vikundi vya Hisa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.9
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo , Nachingwea
Jumla ya mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.9 zimetolewa kwa wanachama wa vikundi vya kukopa na kuweka akiba vilivyopo chini ya mradi wa Mwanamke Mwezeshe unaosimamiwa na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA).
Hayo yamesemwa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe za kuadhimisha mwaka mmoja wa kuanzishwa kwa vikundi vya mradi wa Mwanamke...