Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigamboni sasa kuendelezwa na wananchi wenyewe-Lukuvi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviMJI mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam sasa utaendelezwa kwa sehemu kubwa na wakazi wa Kigamboni wenyewe, Bunge la Jamhuri linaloketi mjini Dodoma limeelezwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lukuvi sasa awapanga Kigamboni kiuwekezaji

Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameagiza maofisa wake kuanza kuwapatia wakazi wa Kigamboni hati za umiliki wa viwanja ili ziwasaidie katika maandalizi ya uwekezaji wa mji mpya.

 

10 years ago

Mtanzania

Lukuvi asimamisha ujenzi mji mpya Kigamboni

lukuviNa Grace Shitundu, Dar es Salaam
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, amesitisha kuanza kwa mradi wa mji mpya Kigamboni hadi pale mikataba itakapopitiwa upya.
Pamoja na hali hiyo Lukuvi, amewataka wananchi wa maeneo hayo kutouza ardhi yao kwa sasa.
Ahadi ya hiyo aliitoa jana katika mkutano na wananchi wa Kigamboni baada ya kutokea kutoelewa baina ya aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Profesa Anna Tibaijuka na wananchi kuhusu ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni.
Kutokana na hali...

 

10 years ago

Mtanzania

Lukuvi amaliza mgogoro mji mpya Kigamboni

lukuviiiiNa Jonas Mushi, Dar es Salaam

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, ametegua kitendawili kuhusu hatima ya madai ya wananchi katika mradi wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni.

Lukuvi amesema kutokana na hali hiyo kuanzia sasa kila mwananchi mwenye kiwanja au nyumba yake atalazimika kuuza kiwanja chake kwa bei anayoitaka au kujenga nyumba kwa mujibu wa ramani ya mji mpya

Akizungumza na wananchi hao juzi katika mkutano uliofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Kumbukumbu ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Lukuvi now overturns Prof Tibaijuka’s decisions on Kigamboni new city

>Residents of six wards in Kigamboni area who have been in a dispute with the government over a plan to repossess their land to pave the way for a modern city were relieved after they were told that the plan has been shelved.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Lukuvi azindua mpango kabambe wa mji mpya wa Kigamboni

11

Picha za Mji Mpya wa Kigamboni.

1

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (Mb), akihutubia wananchi wa Kigamboni katika Uzinduzi wa Mpango Kabambe wa Mji Mpya wa Kigamboni Katika Uwanja wa Tangamano – Mnadani Vijibweni.

2

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mipango Miji, Bibi Immaculata Senje akitoa taarifa fupi ya Mpango Kabambe wa Mji Mpya wa Kigamboni wakati wa Uzinduzi wa Mpango huo.

4

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bibi Sophia Mjema akizungumza na wananchi wa Kigamboni...

 

11 years ago

KwanzaJamii

TULIIFUNZA SOKA MSUMBIJI, SASA INATUADHIBU WENYEWE!

Na Daniel Mbega, Iringa TANZANIA imetolewa na Msumbiji kwa mara nyingine katika kinyang’anyiro cha kushiriki fainali za 30 za Kombe la Mataifa ya Afrika zilizopangwa kufanyika nchini Morocco kuanzia Januari 2015. Safari hii katika hatua za awali kabisa kabla haijaingia kwenye makundi. Timu hiyo ilishindwa kabisa kuutumia uwanja wa nyumbani baada ya kukubali kutoka sare ya mabao 2-2 kwenye Uwanja wa Taifa Jumapili, Julai 20, 2014, na sasa ziliporudiana mjini Maputo, Jumapili, Agosti 3,...

 

11 years ago

Vijimambo

Mzindakaya: Waacheni wananchi waamue wenyewe Katiba mpya

Mwanasiasa mkongwe nchini, Dk. Chrisant Mzindakaya
Mwanasiasa mkongwe nchini, Dk. Chrisant Mzindakaya, amewashauri wanaokusudia kuandamana nchi nzima kutopoteza nguvu na muda kwa kuwa uamuzi wote kuhusu Katiba mpya, utaamuliwa na wananchi kupitia kura ya maoni.

Dk. Mzindakaya, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), alikuwa akizungumzia maamuzi ya Bunge Maalum la Katiba lililohitimisha shughuli zake mjini Dodoma wiki iliyopita.

"Waliosema Katiba itokane na...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Lukuvi anajenga hofu kwa wananchi’

Siku chache baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu wa Bunge), William Lukuvi kudai kuwa iwapo mfumo wa serikali tatu utapita, jeshi litachukua nchi, wanazuoni wametafsiri kauli hiyo kuwa ni ya kuwajengea hofu wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani