‘Lukuvi anajenga hofu kwa wananchi’
Siku chache baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu wa Bunge), William Lukuvi kudai kuwa iwapo mfumo wa serikali tatu utapita, jeshi litachukua nchi, wanazuoni wametafsiri kauli hiyo kuwa ni ya kuwajengea hofu wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMc_c4zvVU/XvXmY1n6a4I/AAAAAAALviM/w_sQcjQijx42DP4M7qi1ne95z7e-ck6DQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-51.jpg)
WAZIRI LUKUVI AAGIZA WASAJILI WASAIDIZI WA HATI OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMc_c4zvVU/XvXmY1n6a4I/AAAAAAALviM/w_sQcjQijx42DP4M7qi1ne95z7e-ck6DQCLcBGAsYHQ/s640/1-51.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe kuzindua rasmi ofisi ya ardhi ya mkoa wa Singida jana. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa mkoa wa Singida ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi Muragili wa pili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Mary Makondo na wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Alhaji Juma Kilimba.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-36.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza wakati wa uzinduzi ofisi ya ardhi mkoa wa Singida jana....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gfa1i2RBsI8/XnUmMz9QX_I/AAAAAAALkkI/nztb-uDMLiQnKAq7GoF3zH21-NA8EwbFwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0045.jpg)
NDIKILO AWATOA HOFU WANANCHI PWANI KWA CORONA NA KUSEMA MKOA UPO SALAMA,WAJITAHADHARI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gfa1i2RBsI8/XnUmMz9QX_I/AAAAAAALkkI/nztb-uDMLiQnKAq7GoF3zH21-NA8EwbFwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200320-WA0045.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MKOA wa Pwani, umepata washukiwa wanne wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu,(COVID- 19) ,ambao tayari wamechukuliwa sampuli na majibu yameonyesha hawana ugonjwa huo ,hivyo hadi sasa mkoa huo upo salama.
Aidha serikali mkoani hapo ,imeiomba wizara ya afya kuona umuhimu wa kupeleka vifaa vinavyotumika kupima joto kwa wageni wanaoshuka katika kiwanja cha ndege cha Mafia ,ambacho kinapokea watalii na wageni kutoka nje ya nchi kama ilivyo uwanja wa ndege wa Mwl.Nyerere....
10 years ago
Habarileo09 Jun
Kigamboni sasa kuendelezwa na wananchi wenyewe-Lukuvi
MJI mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam sasa utaendelezwa kwa sehemu kubwa na wakazi wa Kigamboni wenyewe, Bunge la Jamhuri linaloketi mjini Dodoma limeelezwa.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Lukuvi- Bajeti imelenga kusaidia miradi, wananchi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qrjhBB4EZH4/XvNbOuJb0bI/AAAAAAALvRo/B1X9BrqKkxMVBnxoxBNZmxGtoK4IpwCrgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_130030_7.jpg)
Lukuvi awataka maafisa aridhi kuwapa wananchi hati
Waziri wa Ardhi nyumba na makazi William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa ajili ya kuondoa migogoro.
Aidha aliwataka watu wote walio mjini kuanzia kuchukuwa hati za nyumba zao ili kuondokana na ulofa ambapo watambue kuwa hakuna makazi holela hivyo hati hizo kuwasaidia kupata mikopo kwenye taasisi za kifedha.
Aliyasema hayo wakati akizindua ofisi ya Ardhi mkoa wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Serikali yawatoa hofu wananchi
SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo....
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kGktSnZWeTQ/VoyCP2HrXTI/AAAAAAAIQto/u6QDYzNJx9o/s72-c/2e26795c-77eb-4009-ac90-67248807991b.jpg)
Lukuvi awarejeshea wananchi Shamba lililokuwa na mgogoro wa zaidi ya miaka kumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-kGktSnZWeTQ/VoyCP2HrXTI/AAAAAAAIQto/u6QDYzNJx9o/s640/2e26795c-77eb-4009-ac90-67248807991b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ByZFa29UNMY/VoyCQD_AzrI/AAAAAAAIQt0/Rwv2vS91WcU/s640/7b4c40f9-891c-4581-9f79-ef45514af89f.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GLEr8u4uYAM/VoyCPnC0c6I/AAAAAAAIQtk/hvJ8x6ayLg4/s640/e2f3b1da-2074-4b35-bb8c-2c4579a3e7d5.jpg)
10 years ago
StarTV04 May
Wananchi Kyela wakumbwa na hofu ya mafuriko.
Na Mkombe Zanda,
Mbeya.
Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imeanza kukumbwa na mafuriko yanayohatarisha usalama wa wananchi na mali zao kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwenye maeneo mbalimbali ya mkoa huo.
Kutokana na hali hiyo Serikali wilayani Kyela imewatahadharisha wananchi kuchukua tahadhari za kujiepusha na mafuriko hayo ikiwemo kuhama kutoka kwenye maeneo yaliyo kando ya mito na maziwa.
Aprili 12 mwaka jana watu Saba walifariki dunia wilayani Kyela mkoani Mbeya wakati kaya...
10 years ago
Vijimambo17 Oct
Serikali yawaondoa wananchi hofu ya Marburg
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/11(2).jpg)
Serikali imewatoa hofu wa wananchi kuhusu ugonjwa mpya wa Marburg ambao umelipuka nchini Uganda huku dalili z\ake zikifanana na za Ebola.
Aidha Wizara imewataka wananchi kupuuzia taarifa zinazosambazwa na watu wachache kuwa ugonjwa wa ebola umeingia nchini wakati siyo kweli kwa kuwa Wizara ndio inatakiwa kutoa taarifa hizo.
Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam jana na Kaimu Katibu Mkuu...