Lukuvi awataka maafisa aridhi kuwapa wananchi hati
![](https://1.bp.blogspot.com/-qrjhBB4EZH4/XvNbOuJb0bI/AAAAAAALvRo/B1X9BrqKkxMVBnxoxBNZmxGtoK4IpwCrgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_130030_7.jpg)
Na Woinde Shizza , michuzi Tv Arusha.
Waziri wa Ardhi nyumba na makazi William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa ajili ya kuondoa migogoro.
Aidha aliwataka watu wote walio mjini kuanzia kuchukuwa hati za nyumba zao ili kuondokana na ulofa ambapo watambue kuwa hakuna makazi holela hivyo hati hizo kuwasaidia kupata mikopo kwenye taasisi za kifedha.
Aliyasema hayo wakati akizindua ofisi ya Ardhi mkoa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WASIOTAKA KUCHUKUA HATI ZA ARDHI
5 years ago
CCM BlogWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WALIOTELEKEZA HATI ZAO ZA ARDHI AMBAZO ZIPO TAYARI
Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Maafisa Ardhi nchini kuhakikisha wanawafuatilia wamiliki wa ardhi ambao hati zao zimekamilika lakini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMc_c4zvVU/XvXmY1n6a4I/AAAAAAALviM/w_sQcjQijx42DP4M7qi1ne95z7e-ck6DQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-51.jpg)
WAZIRI LUKUVI AAGIZA WASAJILI WASAIDIZI WA HATI OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMc_c4zvVU/XvXmY1n6a4I/AAAAAAALviM/w_sQcjQijx42DP4M7qi1ne95z7e-ck6DQCLcBGAsYHQ/s640/1-51.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe kuzindua rasmi ofisi ya ardhi ya mkoa wa Singida jana. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa mkoa wa Singida ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi Muragili wa pili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Mary Makondo na wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Alhaji Juma Kilimba.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-36.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza wakati wa uzinduzi ofisi ya ardhi mkoa wa Singida jana....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_122816.jpg)
LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI
![IMG_20200624_122816 IMG_20200624_122816](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200624_122816.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Lukuvi aombwa kufuta hati ya shamba
5 years ago
MichuziLUKUVI AMALIZA RASMI ULAJI WA MAAFISA ARDHI
Waziri Lukuvi amesema hayo mkoani Arusha tarehe 8/3/2020 wakati wa ziara yake ya kuanzisha rasmi ofisi za ardhi za mikoa na kuvunja ofisi za kanda ambazo zilikuwa zinahudumia zaidi ya mkoa mmoja, hali iliyokuwa inawasababishia wananchi usumbufu.
Akizungumza na viongozi wa mkoa huo wakati akianzisha rasmi ofisi mpya ya kanda ya mkoa wa Arusha amesema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K8G6SP7mC_k/XvGGtuofJ5I/AAAAAAALu_8/1Oq-UpvIGjIGGFPsiMWCqTg4y7uFt0mYwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-42.jpg)
WAZIRI LUKUVI AAGIZA HATI ZA ARDHI KUTOLEWA NDANI YA WIKI MOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K8G6SP7mC_k/XvGGtuofJ5I/AAAAAAALu_8/1Oq-UpvIGjIGGFPsiMWCqTg4y7uFt0mYwCLcBGAsYHQ/s640/1-42.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-29.jpg)
Muonekano wa Ofisi mpya ya Ardhi mkoa wa Tanga ambayo imezinduliwa rasmi jana na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-30.jpg)
Baadhi ya Wananchi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DZExlY4rM5w/VoUmxTXmBWI/AAAAAAAIPlc/IuB85wFEkmM/s72-c/MMG_2894.jpg)
SERIKALI HAIJENGI NYUMBA ZA KUWAPA WANANCHI BURE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-DZExlY4rM5w/VoUmxTXmBWI/AAAAAAAIPlc/IuB85wFEkmM/s640/MMG_2894.jpg)
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angeline Mabula
wakati alipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa(NHC).
Angeline amesema kuwa shirika la nyumba la Taifa linajenga nyumba kwaajili ya kuuzwa pamoja na kupangisha na si kuwapa wanchi bure.
Amesema kuwa gharama ya kujenga nyumba hizo inakuja katika maandalizi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CEX8wvsDfRo/XlZTSqZL7AI/AAAAAAALfh8/xmjBv_UGSTghnTraYPYV1DxpoTHHsv1XACLcBGAsYHQ/s72-c/Klein_Namutomi_Waterhole%252C_Namibia.jpg)
DAS NAMTUMBO AWATAKA MAAFISA WANYAMAPORI KUFANYAKAZI WALIZOSOMEA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEX8wvsDfRo/XlZTSqZL7AI/AAAAAAALfh8/xmjBv_UGSTghnTraYPYV1DxpoTHHsv1XACLcBGAsYHQ/s640/Klein_Namutomi_Waterhole%252C_Namibia.jpg)
NA YEREMIAS NGERANGERA….NAMTUMBOAKIZUNGUMZA kwenye mkutanao wa uzinduzi wa zoezi la kulipakifuta jasho na machozi kwa wananchi wa kijiji cha Nambecha wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma katibu tawala bwana Aden Nchimbi aliwaagiza maafisa wanyamapori wilayani humo kufanya kazi walizosomea na sio vinginevyo.
Aden alisema serikali inatumia fedha nyingi kulipa kifuta jasho na machozi kwa wananchi walioathirika na wanyama waharibifu kila mwaka huku maafisa wanyamapori akiwaona wakiwa maofisini...