SERIKALI HAIJENGI NYUMBA ZA KUWAPA WANANCHI BURE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-DZExlY4rM5w/VoUmxTXmBWI/AAAAAAAIPlc/IuB85wFEkmM/s72-c/MMG_2894.jpg)
SERIKALI imesema kuwa haina mpango wakujenga nyumba za kuwapa Wananchi bure kutokana na gharama ambazo Serikali inagharamia katika ujenzi nyumba hizo.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angeline Mabula
wakati alipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa(NHC).
Angeline amesema kuwa shirika la nyumba la Taifa linajenga nyumba kwaajili ya kuuzwa pamoja na kupangisha na si kuwapa wanchi bure.
Amesema kuwa gharama ya kujenga nyumba hizo inakuja katika maandalizi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qrjhBB4EZH4/XvNbOuJb0bI/AAAAAAALvRo/B1X9BrqKkxMVBnxoxBNZmxGtoK4IpwCrgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_130030_7.jpg)
Lukuvi awataka maafisa aridhi kuwapa wananchi hati
Waziri wa Ardhi nyumba na makazi William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa ajili ya kuondoa migogoro.
Aidha aliwataka watu wote walio mjini kuanzia kuchukuwa hati za nyumba zao ili kuondokana na ulofa ambapo watambue kuwa hakuna makazi holela hivyo hati hizo kuwasaidia kupata mikopo kwenye taasisi za kifedha.
Aliyasema hayo wakati akizindua ofisi ya Ardhi mkoa wa...
11 years ago
Mwananchi22 Apr
‘Ukomavu wa kisiasa’ kuwapa wananchi #Katiba Mpya [VIDEO]
10 years ago
MichuziMwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai atembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kigamboni
10 years ago
Vijimambo07 Feb
SERIKALI KUWAPA WAFUNGWA HAKI YA KUPIGA KURA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/mhaga.jpg)
9 years ago
StarTV12 Nov
Serikali yajipanga kuwapa elimu walemavu wasioona
Serikali imepanga kuwapa elimu walemavu wasioona nchini ili waweze kuendesha maisha yao kwa kumiliki miradi na kuondokana na dhana ya ombaomba.
Katika kuwapatia elimu hiyo Serikali imeandaa kongamano la kuwaelimisha mipango yake kuhusu umuhimu wao na namna inavyowajali.
Watu wasioona wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali katika maisha yao ikiwemo ugumu wa maisha lakini sasa matumaini makubwa yapo mbele yao mara baada ya serikali kupanga kuwapa elimu ili kupata ujuzi wa kumiliki...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RGKUO9VU1_E/VIKmAht9tzI/AAAAAAAG1gw/jol8eTR4M1k/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
WAZIRI CHIKAWE ASHIRIKIANA NA WAGOMBEA SERIKALI ZA MITAA KUPIGA KAMPENI YA NYUMBA KWA NYUMBA JIMBONI NACHINGWEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RGKUO9VU1_E/VIKmAht9tzI/AAAAAAAG1gw/jol8eTR4M1k/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
9 years ago
StarTV30 Dec
Serikali yatakiwa kuwapa maeneo, masoko wachimbaji wadogo
Wachimbaji wadogo wadogo katika machimbo ya bati ya Nyaruzumbula wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameilalamikia Serikali kwa kuwanyima maeneo ya kuchimbia na kutoa leseni kwa wachimbaji wakubwa.
Aidha wachimbaji hao wamesema wanaathirika na bei ndogo inayotumika kununulia madini hayo kutoka kwa madalali ambao hunufaika baada ya kuuza madini hayo kwa bei kubwa kwa wateja wakubwa.
Machimbo ya madini ya bati yaliyopo katika kijiji cha Nyaruzumbula wilayani Kyerwa Mkoani Kagera ,ambayo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fGS1rujof6U/XmNFuy83TKI/AAAAAAACIQU/VHYpQ9_L5DM0lCsbmI9ujXQ-rQQM_sqTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_093907_752.jpg)
DC UBUNGO ATEMBELEA KATA ZA KIMARA NA SARANGA KUONA ATHARI NA KUWAPA POLE WANANCHI KWA MAAFA YA MVUA YALIYOWAPATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fGS1rujof6U/XmNFuy83TKI/AAAAAAACIQU/VHYpQ9_L5DM0lCsbmI9ujXQ-rQQM_sqTACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200307_093907_752.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori ametembelea Kata za Kimara na Saranga ili kuona athari na kuwapa pole wananchi kutokana maafa yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo ya Wilaya ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, juzi.
Mkuu wa Wilaya aliongozana na viongozi mbalimbali akiwemo Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Diana Nkarage.
DC Makori aliwaambia wananchi wa Mtaa wa Golani Kata ya Kimara kuwa amefika kwao ili kujuliana hali na kuwapa pole wale wote...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7txqijP0MEk/U7lXjRHMmHI/AAAAAAAFvTY/stTXk8zX9o0/s72-c/IMG_20130814_130834_0.jpg)
WANANCHI WILAYANI KIBAHA WAPATIWA MAJI BURE
![](http://4.bp.blogspot.com/-7txqijP0MEk/U7lXjRHMmHI/AAAAAAAFvTY/stTXk8zX9o0/s1600/IMG_20130814_130834_0.jpg)
WAKAZI wa Mitaa ya Vikawe, Vikawe Shuleni, Vikawe Bondeni na Vikawe wilayani Kibaha mkoani Pwani wamepatiwa ofa ya kutumia maji bure kwa miezi mitatu baada ya huduma hiyo kuanza kupatikana ambapo mitaa hiyo haikuwa na maji ya bomba tangu kuanzishwa kwake.
Maji hayo tayari yameshaanza kutoka yanatokana na chanzo cha maji cha Ruvu Juu baada ya mitaa hiyo kutokuwa na maji kabisa ambapo awali walikuwa wakitumia maji ya visima na mto .
Akizungumza na mabalozi, makatibu na...