SERIKALI KUWAPA WAFUNGWA HAKI YA KUPIGA KURA
Na Lorietha Laurence-Maelezo,DodomaSerikali imeweka mikakati ya kuhakikisha kuwa wafungwa wote wanaotumikia kifungo chini ya miezi sita na mahabusu wanawapatia haki yao ya msingi ya kupiga kura.Akijibu swali la Mbunge wa Nyamagana, Ezekia Wenje aliyehoji kuhusu wafungwa kutoruhusiwa kupiga kura,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Uratibu na Bunge, Jenister Mhagama alisema kwa mujibu wa ibara ya 5(2) ya Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wafungwa wote wenye vifungo chini ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Sheria kuwanyima haki ya kupiga kura wafungwa
10 years ago
Mwananchi25 Jun
BVR isiwe sababu ya kukosa haki ya kupiga kura
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_T-LVPPWdDE/Vdcn34DmQOI/AAAAAAAHy4s/ymux7sGXp1g/s72-c/download.jpg)
WAZIRI MKUU: SERIKALI INATAFUTA SULUHISHO LA DIASPORA KUPIGA KURA
![](http://4.bp.blogspot.com/-_T-LVPPWdDE/Vdcn34DmQOI/AAAAAAAHy4s/ymux7sGXp1g/s1600/download.jpg)
Ametoa kauli hiyo juzi usiku (Jumatano, Agosti 19, 2015), wakati akijibu maswali ya Watanzania waishio Uganda katika kikao kilichofanyika hoteli ya Serena jijini Kampala.
“Serikali tulitamani sana mchakato huu umekamilika mwaka huu ili Watanzania waishio nje ya nchi waweze pia kushiriki uchaguzi mkuu lakini...
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Mtaalamu anadi haki za kuwapa nondo jina
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura
10 years ago
Habarileo21 Aug
Wafungwa wadaiwa kunyimwa haki
WAFUNGWA wengi hawapewi haki zao za msingi miongoni mwake, ikiwa ni kukaa muda mrefu magerezani na mahabusu bila kuonana na ndugu zao.
10 years ago
Habarileo27 Sep
Wataka marekebisho ya sheria kuwapa haki abiria wa mabasi kudai fidia
SERIKALI imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria za usalama barabarani ziwezeshe kutoa haki kwa mtumiaji wa mabasi anapopata ajali, alipwe bima kama ilivyo kwa watumiaji wa ndege na meli.
11 years ago
Habarileo25 Jan
Waziri- Magereza zingatieni haki za wafungwa
LICHA ya magereza nchini kufurika wafungwa, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe amelitaka jeshi la Magereza nchini kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia maadili na haki za binadamu.
11 years ago
BBCSwahili22 May
Somalia inakiuka haki za wafungwa - HRW