Waziri- Magereza zingatieni haki za wafungwa
LICHA ya magereza nchini kufurika wafungwa, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe amelitaka jeshi la Magereza nchini kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia maadili na haki za binadamu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f2SQy1S606g/VnY-mGpNf5I/AAAAAAAINbw/p1ij0jlwUeU/s72-c/097e0525-05e1-478b-8c00-02f672a850fb.jpg)
WAZIRI KITWANGA, DKT. MWAKYEMBE WATEMBELEA MAGEREZA MAKUU JIJINI DAR ES SALAAM, WAAHIDI KUBORESHA HUDUMA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU
![](http://3.bp.blogspot.com/-f2SQy1S606g/VnY-mGpNf5I/AAAAAAAINbw/p1ij0jlwUeU/s640/097e0525-05e1-478b-8c00-02f672a850fb.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oMX4SAEKjL0/VnY-mSPJAKI/AAAAAAAINbs/6Sat9yN0u10/s640/88b9a5e9-2bd0-455b-9776-6e6a62081bc3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s72-c/image_3.jpeg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AZINDUA "MAGEREZA DUTY FREE SHOP" PAMOJA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA MABAKULI YA WAFUNGWA GEREZA UKONGA, JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s1600/image_3.jpeg)
10 years ago
Habarileo10 Oct
'Wazazi zingatieni haki za mtoto'
WAZAZI na walezi wa watoto wamehimizwa kuzingatia haki za mtoto katika malezi yao kuanzia ngazi ya familia kwa kuwapa stahili zote muhimu zinazotajwa katika Katiba, sheria na mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania imeiridhia.
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Magereza yazingatie afya za wafungwa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Bavnh7DeEIc/U1u1T4pjaxI/AAAAAAAFdKU/CdwgjP5Meoc/s72-c/0L7C0642.jpg)
ASKARI MAGEREZA WAONESHA WANAVYOPAMBANA NA WAFUNGWA WAKOROFI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bavnh7DeEIc/U1u1T4pjaxI/AAAAAAAFdKU/CdwgjP5Meoc/s1600/0L7C0642.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gh5uhKbZ36Q/U1u1TdrfocI/AAAAAAAFdKI/CGYtxPa2s9Q/s1600/0L7C0643.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lx0WgF65cF8/U1u1TgsgO1I/AAAAAAAFdKM/OJON62a0ecY/s1600/0L7C0681.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-H984oj1Igic/U1u1pkfpZVI/AAAAAAAFdKg/5ZCueYN0bfo/s1600/0L7C0692.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--CukQvkF9As/U1u1qeeAFdI/AAAAAAAFdKk/KVEtYBEAvnk/s1600/0L7C0696.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UckLEPq6oGE/U1u1qVyDMMI/AAAAAAAFdKs/oglgncwNVpE/s1600/0L7C0698.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BwyFFvjzU2Y/U1u1xK6RTYI/AAAAAAAFdK4/I-Ned4K0t0Y/s1600/0L7C0711.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Jeshi la Magereza lajipanga kujitosheleza chakula cha wafungwa
Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Jeshi la Magereza nchini limejipanga kuanza kujisimamia lenyewe kwa kuwahudumia wafungwa chakula bila ya kuitegemea serikali kutokana na kuwepo na upungufu wa chakula cha kuwahudumia wafungwa hao.
Akizungumzia mpango huo wakati wa kikao cha kujadili rasimu ya mpango wa Jeshi hilo kujitosheleza kwa chakula, Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja amesema wameanzisha mpango huo ili kuipunguzia mzigo serikali kutokana na...
10 years ago
Habarileo18 Dec
Magereza kuanza kutoa vyeti kwa wafungwa wataalamu
JESHI la Magereza nchini liko mbioni kuanza kutoa vyeti vya ufundi stadi kwa wafungwa wanaomaliza muda wao wa kutumikia vifungo magerezani.
10 years ago
Habarileo21 Aug
Wafungwa wadaiwa kunyimwa haki
WAFUNGWA wengi hawapewi haki zao za msingi miongoni mwake, ikiwa ni kukaa muda mrefu magerezani na mahabusu bila kuonana na ndugu zao.
11 years ago
BBCSwahili22 May
Somalia inakiuka haki za wafungwa - HRW