Magereza yazingatie afya za wafungwa
Hebu tafakari! Umefanya kosa, unahukumiwa ukiwa na afya tele lakini hata baada ya kifungo chako kumalizika, unatoka ukiwa na maradhi lukuki. Unabahatika kukaa uraiani kwa kipindi kifupi tu, kabla ya uhai wako kutwaliwa na maradhi hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M4fbdxsgeow/XnMgs0ZXNiI/AAAAAAALkZI/51Z7-xaeHlgsfq7QU3Iu8AAEDa1Y6g3AQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B10.22.02%2BAM.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
11 years ago
Habarileo25 Jan
Waziri- Magereza zingatieni haki za wafungwa
LICHA ya magereza nchini kufurika wafungwa, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe amelitaka jeshi la Magereza nchini kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia maadili na haki za binadamu.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Bavnh7DeEIc/U1u1T4pjaxI/AAAAAAAFdKU/CdwgjP5Meoc/s72-c/0L7C0642.jpg)
ASKARI MAGEREZA WAONESHA WANAVYOPAMBANA NA WAFUNGWA WAKOROFI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bavnh7DeEIc/U1u1T4pjaxI/AAAAAAAFdKU/CdwgjP5Meoc/s1600/0L7C0642.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gh5uhKbZ36Q/U1u1TdrfocI/AAAAAAAFdKI/CGYtxPa2s9Q/s1600/0L7C0643.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lx0WgF65cF8/U1u1TgsgO1I/AAAAAAAFdKM/OJON62a0ecY/s1600/0L7C0681.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-H984oj1Igic/U1u1pkfpZVI/AAAAAAAFdKg/5ZCueYN0bfo/s1600/0L7C0692.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--CukQvkF9As/U1u1qeeAFdI/AAAAAAAFdKk/KVEtYBEAvnk/s1600/0L7C0696.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UckLEPq6oGE/U1u1qVyDMMI/AAAAAAAFdKs/oglgncwNVpE/s1600/0L7C0698.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BwyFFvjzU2Y/U1u1xK6RTYI/AAAAAAAFdK4/I-Ned4K0t0Y/s1600/0L7C0711.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Jeshi la Magereza lajipanga kujitosheleza chakula cha wafungwa
Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Jeshi la Magereza nchini limejipanga kuanza kujisimamia lenyewe kwa kuwahudumia wafungwa chakula bila ya kuitegemea serikali kutokana na kuwepo na upungufu wa chakula cha kuwahudumia wafungwa hao.
Akizungumzia mpango huo wakati wa kikao cha kujadili rasimu ya mpango wa Jeshi hilo kujitosheleza kwa chakula, Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja amesema wameanzisha mpango huo ili kuipunguzia mzigo serikali kutokana na...
10 years ago
Habarileo18 Dec
Magereza kuanza kutoa vyeti kwa wafungwa wataalamu
JESHI la Magereza nchini liko mbioni kuanza kutoa vyeti vya ufundi stadi kwa wafungwa wanaomaliza muda wao wa kutumikia vifungo magerezani.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f2SQy1S606g/VnY-mGpNf5I/AAAAAAAINbw/p1ij0jlwUeU/s72-c/097e0525-05e1-478b-8c00-02f672a850fb.jpg)
WAZIRI KITWANGA, DKT. MWAKYEMBE WATEMBELEA MAGEREZA MAKUU JIJINI DAR ES SALAAM, WAAHIDI KUBORESHA HUDUMA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU
![](http://3.bp.blogspot.com/-f2SQy1S606g/VnY-mGpNf5I/AAAAAAAINbw/p1ij0jlwUeU/s640/097e0525-05e1-478b-8c00-02f672a850fb.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oMX4SAEKjL0/VnY-mSPJAKI/AAAAAAAINbs/6Sat9yN0u10/s640/88b9a5e9-2bd0-455b-9776-6e6a62081bc3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s72-c/image_3.jpeg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AZINDUA "MAGEREZA DUTY FREE SHOP" PAMOJA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA MABAKULI YA WAFUNGWA GEREZA UKONGA, JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s1600/image_3.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-768x529.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, SULEIMAN MZEE AWAFUNDA WAKUU WA MAGEREZA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA AGENDA YA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA MAGEREZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-768x529.jpg)
Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akitoa maelekezo maalum leo Mei 04, 2020 katika kikao kazi cha Maafisa wa Jeshi la Magereza walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi hilo wakiwemo wakuu wa magereza, Boharia Mkuu wa Jeshi ambapo Jenerali Mzee amewataka kuhakikisha kuwa wanasimamia ipasavyo Agenda ya mabadiliko ndani ya Jeshi la Magereza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2AA-1024x506.jpg)
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Hongera Dk Magufuli, yazingatie haya