Hongera Dk Magufuli, yazingatie haya
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Jana Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ilimtangaza rasmi mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli kuwa rais mteule.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Hongera Rais Dk. Magufuli: Umeibukia huku, Sasa bado pale kwa akina Ngoswe!
Kaimu Balozi wa Zambia akiyakana Magogo hayo ya miti ya mninga kwa kile alichodai kuwa watu hao licha ya kueleza kuyatoa Zambia, hawana nyaraka muhimu za kuonyesha kama wameyatoa Zambia licha ya kuwa wametokea Zambia tukio lililotokea jana Novemba 27.
Na Andrew Chale,Modewjiblog
[TANZANIA] Miongoni mwa habari kubwa kwasasa Tanzania ni namna ya utendaji wa kasi ya ajabu ya Mheshimiwa Rais wetu Dk. John Pombe Magufuli pamoja na...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Magereza yazingatie afya za wafungwa
11 years ago
Dewji Blog02 May
Mataifa EAC yazingatie ulinzi wa Afrika — Uhuru Kenyatta
Wakuu wa Mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wakizindua kitabu rasmi cha Muongozo wa Majaji wa Jumuiya hiyo kwenye Mkutano wa 12 wa siku moja wa Jumuiya hiyo uliofanyika ukumbi wa Kimataifa wa Arusha { AICC }.
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Tumsaidie Dk Magufuli kutimiza malengo haya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0LbBzVeMmI0LuiEs5oEO2JeUn37IvzrcrY*ihbS*vnS3dJJYzYYg3nFgpdXwcR5LYR3Tv*vk8myRASSR5YBlatA/CJ42RToWwAAWefl.jpglarge.jpg?width=650)
MAMBO HAYA MAGUFULI ATAJIFUNZIA IKULU
5 years ago
Bongo514 Feb
Rais Magufuli na TUCTA wakubaliana haya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewahakikishia viongzoi wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi (TUCTA) kuwa serikali ya awamu ya tano itaendelea kuimarisha zaidi ushirikiano kati yake na wafanyakazi kwa manufaa ya Taifa.
Rais Magufuli amefanya mazungumzo hayo, Alhamisi hii Ikulu jijini Dar es salaam, sambamba na hilo amesema kuwa pamoja na kuimarisha ushirikiano huo serikali iko tayari kupokea ushauri na maoni yatakayotolewa na vyama vya wafanyakazi wenye...
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Haya ndiyo matamanio ya Watanzania kwa Dk Magufuli
10 years ago
Bongo Movies10 Aug
Wema Sepetu Afunguka Mengine Haya kuhusu Magufuli na Lowassa..
Wakati wagombea mbalimbali wa vyama vya Siasa nchini Tanzania wakiwa na wafuasi wao wakiendelea kuingia kwenye headlines mbalimbali Aug 10 nakukutanisha na hii post ya Mrembo Wema Sepetu.
Kama unamfatilia Wema Sepetu kwenye mitandao yake ya kijamii leo kupitia mtandao wa Instagram kapost picha inayomuonyesha Waziri wa ujenzi John Magufuli akisalimiana na Steve Nyerere pamoja na Rais Jakaya Kikwete.
Kwenye post yake ameipa maneno haya “Wamoja havai Mbili…. Alafu nina msg to Team Wema …...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Kasi ya Rais Magufuli ikahamia kwa waziri wa michezo Nape kafanya maamuzi haya kwa Stand United (+Audio)
Ikiwa ni siku 13 zimepita toka Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli atangaze baraza la mawaziri na kuanza, kwa siku 13 toka Nape Nnauye apata dhamana ya kuwa waziri wa michezo sanaa na utamaduni amemaliza mgogoro ambao huenda ungeiua Stand United na fedha za udhamini kupotea […]
The post Kasi ya Rais Magufuli ikahamia kwa waziri wa michezo Nape kafanya maamuzi haya kwa Stand United (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.