Haya ndiyo matamanio ya Watanzania kwa Dk Magufuli
Siku moja baada ya Rais Mteule wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk John Magufuli kukabidhiwa cheti chake kuwa ndiye mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, wananchi wakiwamo wa kada mbalimbali wameelezea hisia zao na matanio yao kuona atatekeleza ahadi alizotoa kwenye mikutano yake ya kampeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies17 Dec
Haya Ndiyo Maneno ya Diamond kwenda Kwa Dr. Mwaka
Staa wa Bongo Fleva anayetamba hivi sasa na kibao cha Je Utanipenda, Diamond Platinum amemtakia kheri na Baraka mtaalamu wa dawa za tiba mbadala kwa magonjwa ya kinamama, Dr J J Mwaka wa kituo cha Foreplan Herbal Clinic kutokana na mchango wake kwenye kusaidia mziki wa kibongo.
![Diamond Akiwa na Dr.Mwaka](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/DIAMND56.png)
Diamond Akiwa na Dr.Mwaka
Mbali na Dokta huyo kukabiliwa na changamoto kubwa kuhusu huduma zake kwa sasa, Diamond ambaye ametumika kwenye matangazo ya Dokta huyo ameandika haya leo mtandaoni mara baada ya kuweka picha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbad2VRXD9ZcfmZzhD6vSeXde*vBiNXxqP8JKH89K3nBDxLRHV0tvPlY8wtnGb-xcc0EYIqGEMxntgsOvX3YcZBcS/magari.jpg)
HAYA NDIYO MAGARI VINARA KWA KUVUNJA SHERIA!
9 years ago
StarTV25 Aug
Haya ndiyo yaliyojiri kwa Arsenal VS livepool jana
Katika mchezo huo mikwaju miwili ya Philippe Coutinho ililenga mwamba huku kiungo wa Arsenal Aaron Ramsey akikataliwa goli alilofunga kipindi cha kwanza kutokana na kuwa katika mstari wa kuotea.
Cech aliokoa kwa mara nyingine mkwaju wa karibu wa Christian Benteke na kuucheza tena kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWcai-4ApDDfDt8G3RQmnY04TPdMEcrXS2sT9zPqzI9Bu793A8AU029NG*gGBZ0VIQmVbRzFG-JNoDACwytnp1c/Maajabu.jpg?width=650)
HAYA NDIYO MAAJABU YAKE MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0SAH-2uCt0I/VinV9zLIGvI/AAAAAAABnwg/PjPkwe0ZSLM/s72-c/IMG_8010.jpg)
UBUNGO WAMPOKEA DK. MAGUFULI KWA FURAHA TELE, WASEMA DK. MAGUFULI NDIYO MKOMBOZI WAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-0SAH-2uCt0I/VinV9zLIGvI/AAAAAAABnwg/PjPkwe0ZSLM/s640/IMG_8010.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y3LRKoNkkJk/VinV9pn74MI/AAAAAAABnwc/dgAoongBkD0/s640/IMG_8070.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Jul
UCHAMBUZI: Tusiwakomaze Watanzania kwa mabomu haya
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Macmillan Lyimo: TLP ndiyo chama sahihi kwa Watanzania
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Kasi ya Rais Magufuli ikahamia kwa waziri wa michezo Nape kafanya maamuzi haya kwa Stand United (+Audio)
Ikiwa ni siku 13 zimepita toka Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli atangaze baraza la mawaziri na kuanza, kwa siku 13 toka Nape Nnauye apata dhamana ya kuwa waziri wa michezo sanaa na utamaduni amemaliza mgogoro ambao huenda ungeiua Stand United na fedha za udhamini kupotea […]
The post Kasi ya Rais Magufuli ikahamia kwa waziri wa michezo Nape kafanya maamuzi haya kwa Stand United (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Haya ndiyo yaliyobamba 2015