Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAYA NDIYO MAGARI VINARA KWA KUVUNJA SHERIA!

Stori: Mwandishi Wetu
HUKU ajali za barabarani zikizidi kuongezeka kila siku hasa jijini Dar es Salaam, timu ya uchunguzi ya Operesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, hivi karibuni lilifanikiwa kuyanasa baadhi ya magari kadhaa yanayokiuka sheria za usalama barabarani. Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mohamed Mpinga Magari hayo, ambayo yalikuwa kinara wakati wa uchunguzi huo, yakiwemo yenye namba za usajili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo matamanio ya Watanzania kwa Dk Magufuli

Siku moja baada ya Rais Mteule wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk John Magufuli kukabidhiwa cheti chake kuwa ndiye mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, wananchi wakiwamo wa kada mbalimbali wameelezea hisia zao na matanio yao kuona atatekeleza ahadi alizotoa kwenye mikutano yake ya kampeni.

 

9 years ago

Global Publishers

Magari haya yanauzwa kwa bei nafuu

TOYOTA AVENSES (3) TOYOTA AVENSES (2) TOYOTA AVENSES (1)
TOYOTA AVENSIS 1.9 CC

DIESEL ENGINE

MODEL 2005 MANUAL

THE CAR IS IN DAR ES SALAAM JUST IMPORTED FROM U.K LONDON

PRICE T.SH. 7.5 MILLION

CONTACTS:  +255 718 030 320

                          +255 774 659 895

 

LAND ROVER DISCOVERY TD5 (2) LAND ROVER DISCOVERY TD5 (1)

LAND ROVER DISCOVERY TD5

MODEL 2004 PICK UP AUTOMATIC

GEAR BOX DIESEL

PRICE 17 MILLION

THE CAR IS IN ZANZIBAR BUT WE CAN ARRANGE SHIPPING IT TO ANYWHERE

CONTACTS:  +255 718 030 320

                          +255 774 659...

 

9 years ago

Bongo Movies

Haya Ndiyo Maneno ya Diamond kwenda Kwa Dr. Mwaka

Staa wa Bongo Fleva anayetamba hivi sasa na kibao cha Je Utanipenda, Diamond Platinum amemtakia kheri na Baraka mtaalamu wa dawa za tiba mbadala kwa magonjwa ya kinamama, Dr J J Mwaka wa kituo cha Foreplan Herbal Clinic kutokana na mchango wake kwenye kusaidia mziki wa kibongo.

Diamond Akiwa na Dr.Mwaka

Diamond Akiwa na Dr.Mwaka

Mbali na Dokta huyo kukabiliwa na changamoto kubwa kuhusu huduma zake kwa sasa, Diamond ambaye ametumika kwenye matangazo ya Dokta huyo ameandika haya leo mtandaoni mara baada ya kuweka picha...

 

9 years ago

StarTV

Haya ndiyo yaliyojiri kwa Arsenal VS livepool jana

Mlinda mlango wa Arsenal Petr Cech aliokoa mara mbili mipira ya hatari iliyokuwa ikielekea langoni mwake na kuisaidia timu yake kupata alama moja katika mechi ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Liverpool.

Katika mchezo huo mikwaju miwili ya Philippe Coutinho ililenga mwamba huku kiungo wa Arsenal Aaron Ramsey akikataliwa goli alilofunga kipindi cha kwanza kutokana na kuwa katika mstari wa kuotea.

Cech aliokoa kwa mara nyingine mkwaju wa karibu wa Christian Benteke na kuucheza tena kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake ndiyo vinara usafiri wa bodaboda

>Zinaitwa bodaboda, kule Nigeria wanaziita okadas kwa jina jingine ni pikipiki. Hiki ni chombo cha usafiri ambacho katika miaka ya hivi karibuni kimeiteka miji mingi ya Afrika ikiwamo Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

Wanawake ndiyo vinara usafiri wa bodaboda

Mwanamke akiwa amepanda bodaboda huku amembeba mtoto wake.Zinaitwa bodaboda, kule Nigeria wanaziita okadas kwa jina jingine ni pikipiki. Hiki ni chombo cha usafiri ambacho katika miaka ya hivi karibuni kimeiteka miji mingi ya Afrika ikiwamo Tanzania.Licha ya kutumika katika uhalifu, kusababisha vifo kwa kiasi kikubwa, utafiti  uliofanywa na gazeti hili  katika maeneo ya jiji la Dar es Salaam ambako kuna matumizi makubwa ya bodaboda ulibaini kuwa usafiri huu unapendwa zaidi na...

 

10 years ago

GPL

HAYA NDIYO MAAJABU YAKE MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU

Na Haruni Sanchawa
MTOTO Jacqueline Lepenza, aliyenusurika katika ajali mbaya ya basi lililogongana na lori huko Mafinga mkoani Iringa wiki mbili zilizopita, ameripotiwa kuwa na maajabu baada ya baba yake mzazi kujitokeza na kusimulia, Uwazi linakutaarifu. Jacqueline Lepenza, akiwa na baba'ke. Willy Lupenza, baba mzazi wa mtoto huyo mwenye umri wa miaka mitatu na nusu, alisema marehemu mke wake, Anjela Osward (35) (pichani)...

 

10 years ago

GPL

WALIOTUNGA SHERIA NDIYO WALAUMIWE KWA KUTOPATIKANA KATIBA MPYA

Aliyekuwa   mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji Joseph Warioba Nianze kwa kumtukuza Mungu muumba wa vitu vyote, vinavyoonekana na visivyoonekana. Hakika yeye ni mwema, ahimidiwe daima. Baada ya kusema hayo niseme wazi kwamba Watanzania sasa mioyo yao imesinyaa kwa kupoteza matumaini ya kupatikana kwa katiba mpya inayotokana na maoni ya wananchi.
Naamini kwamba kwa baadhi ya wanasiasa, hiyo ni habari njema ya ushindi...

 

9 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo yaliyobamba 2015

Unaweza kuuelezea 2015 kama mwaka wa pilika nyingi kutokana na kuwapo kwa matukio mbalimbali katika nyanja za kijamii, kiuchumi na hata kisiasa. Imeshuhudiwa shughuli kadhaa katika siasa kama vile Uchaguzi Mkuu, lakini kwa upande wa kijamii hususan burudani, yapo mambo mengi yaliyotokea pengine kuweka historia katika tasnia hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani