WALIOTUNGA SHERIA NDIYO WALAUMIWE KWA KUTOPATIKANA KATIBA MPYA
![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYhfMRRuuMD5A1TF-5yuWr6JNut25-XUqFmhoh7qmbLza1IF31gi*MJCLg9BtObhe9kaYczzQ3ZhitH9IzbLbGgR/warioba.jpg?width=650)
Aliyekuwa  mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji Joseph Warioba Nianze kwa kumtukuza Mungu muumba wa vitu vyote, vinavyoonekana na visivyoonekana. Hakika yeye ni mwema, ahimidiwe daima. Baada ya kusema hayo niseme wazi kwamba Watanzania sasa mioyo yao imesinyaa kwa kupoteza matumaini ya kupatikana kwa katiba mpya inayotokana na maoni ya wananchi. Naamini kwamba kwa baadhi ya wanasiasa, hiyo ni habari njema ya ushindi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Mar
Pigieni kura ya ndiyo Katiba mpya — Salma
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi Mjini, Mama Salma Kikwete amewaomba wananchi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa, kwa kuwa ni bora na imezingatia mahitaji ya makundi yote ya jamii.
10 years ago
Habarileo20 Oct
Chikawe asisitiza kura ya ndiyo Katiba mpya
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe amewataka wananchi wilayani Nachingwea kuipigia kura ya ndiyo Rasimu ya Katiba iliyopendekezwa na Bunge la Katiba.
10 years ago
Habarileo05 Feb
Sheria mpya Takukuru yasubiri Katiba mpya
UAMUZI wa kutunga sheria kwa ajili ya kuimarisha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwa ajili ya kuipa meno, unasubiri katiba mpya.
10 years ago
GPL03 Dec
11 years ago
Mwananchi21 May
Paschal Chibala: Uswahiba ndiyo ulioharibu mchakato wa Katiba Mpya Tanzania
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbad2VRXD9ZcfmZzhD6vSeXde*vBiNXxqP8JKH89K3nBDxLRHV0tvPlY8wtnGb-xcc0EYIqGEMxntgsOvX3YcZBcS/magari.jpg)
HAYA NDIYO MAGARI VINARA KWA KUVUNJA SHERIA!
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3brXBUnauTg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-G-Vb6_fGPjk/VEdDi-GDOqI/AAAAAAADKV4/lioB36iJPzQ/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Katiba mpya itatowesha madhila ya sheria kandamizi ya ndoa ya mwaka 1971: Dk Chana
![](http://2.bp.blogspot.com/-G-Vb6_fGPjk/VEdDi-GDOqI/AAAAAAADKV4/lioB36iJPzQ/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Juhudi za kutokomezwa kwa ndoa na mimba za utotoni huenda ziakatimia nchini Tanzania baada ya kuingizwa kwa kipengele cha kumtambua mtoto kuwa ni mtu yeyote aliyeko chini ya umri wa miaka 18 katika rasimu ya katiba. Amesema naibu waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Dk Pindi Chana.
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii muda mfupi baada ya kuhutubia baraza kuu la Umoja wa Mataifa, Dk...