Chikawe asisitiza kura ya ndiyo Katiba mpya
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe amewataka wananchi wilayani Nachingwea kuipigia kura ya ndiyo Rasimu ya Katiba iliyopendekezwa na Bunge la Katiba.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Mar
Pigieni kura ya ndiyo Katiba mpya — Salma
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi Mjini, Mama Salma Kikwete amewaomba wananchi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa, kwa kuwa ni bora na imezingatia mahitaji ya makundi yote ya jamii.
10 years ago
Habarileo28 Apr
‘Wanawake pigieni kura ya ndiyo Katiba’
MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake nchini (UWT), Sofia Simba amewataka wanawake nchini, kujitokeza kwa wingi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa wakati ukifika, kwani ni mkombozi kwa mwanamke katika harakati zake za kijamii na kisiasa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uokE5xNBpI4/VEN53ia7UcI/AAAAAAAGr34/QEoVBPhaygs/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAZIRI CHIKAWE AWASHAWISHI WANANCHI NACHINGWEA KUIPIGIA KURA YA NDIO KATIBA ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-uokE5xNBpI4/VEN53ia7UcI/AAAAAAAGr34/QEoVBPhaygs/s1600/PIX%2B1.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Katiba: Mawaziri Zanzibar wapigia kampeni kura ya ndiyo
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GH-B8PadDAA/VONXJNItEII/AAAAAAAHELE/l1XN1g3fi9s/s72-c/salma-pps.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA MKOA WA LINDI KUIPIGIA KURA YA NDIYO KATIBA PENDEKEZWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GH-B8PadDAA/VONXJNItEII/AAAAAAAHELE/l1XN1g3fi9s/s1600/salma-pps.jpg)
Wananchi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuipigia kura ya ndiyo katiba inayopendekezwa kwani ni bora na imegusa maeneo yote kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania.
Rai hiyo imetolewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wananchi waliohudhuria sherehe ya kushangilia ushindi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa katika mtaa wa Ruaha kata ya Mingoyo...
10 years ago
GPL03 Dec
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYhfMRRuuMD5A1TF-5yuWr6JNut25-XUqFmhoh7qmbLza1IF31gi*MJCLg9BtObhe9kaYczzQ3ZhitH9IzbLbGgR/warioba.jpg?width=650)
WALIOTUNGA SHERIA NDIYO WALAUMIWE KWA KUTOPATIKANA KATIBA MPYA
11 years ago
Mwananchi21 May
Paschal Chibala: Uswahiba ndiyo ulioharibu mchakato wa Katiba Mpya Tanzania
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Kura ya siri Katiba Mpya