Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wanawake pigieni kura ya ndiyo Katiba’

Mwenyekiti wa UWT, Sophia Simba.MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake nchini (UWT), Sofia Simba amewataka wanawake nchini, kujitokeza kwa wingi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa wakati ukifika, kwani ni mkombozi kwa mwanamke katika harakati zake za kijamii na kisiasa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Pigieni kura ya ndiyo Katiba mpya — Salma

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi Mjini, Mama Salma Kikwete amewaomba wananchi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa, kwa kuwa ni bora na imezingatia mahitaji ya makundi yote ya jamii.

 

10 years ago

Habarileo

Chikawe asisitiza kura ya ndiyo Katiba mpya

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe amewataka wananchi wilayani Nachingwea kuipigia kura ya ndiyo Rasimu ya Katiba iliyopendekezwa na Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba: Mawaziri Zanzibar wapigia kampeni kura ya ndiyo

Mawaziri katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano wameanza kampeni kuwataka wananchi kuunga mkono Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa wakisema imezingatia masilahi ya Zanzibar kiuchumi na kiutawala.

 

10 years ago

Michuzi

MAMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA MKOA WA LINDI KUIPIGIA KURA YA NDIYO KATIBA PENDEKEZWA

Na Anna Nkinda – aliyekuwa Lindi.
Wananchi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuipigia kura ya ndiyo katiba inayopendekezwa kwani ni bora na imegusa maeneo yote kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania.
Rai hiyo imetolewa na  Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wananchi waliohudhuria sherehe ya kushangilia ushindi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa katika mtaa wa Ruaha kata ya Mingoyo...

 

11 years ago

Mwananchi

KATIBA: ‘Wananchi ndiyo waamuzi wa Katiba’

>Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Martin Shao amesema wananchi ndiyo waamuzi wa mwisho juu ya Katiba itakayopendekezwa bungeni.

 

10 years ago

Habarileo

Utafiti: Kura ya Ndiyo itapita

Marais Dkt. Jakaya Kikwete na Dkt Ali Shein mara baada ya kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa Oktoba mwaka jana.WAKATI siku za kupiga Kura ya Maoni zikikaribia, imebainika kuwa zaidi ya nusu ya Watanzania wataipigia kura ya Ndiyo Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Vijimambo

Wanawake ndiyo vinara usafiri wa bodaboda

Mwanamke akiwa amepanda bodaboda huku amembeba mtoto wake.Zinaitwa bodaboda, kule Nigeria wanaziita okadas kwa jina jingine ni pikipiki. Hiki ni chombo cha usafiri ambacho katika miaka ya hivi karibuni kimeiteka miji mingi ya Afrika ikiwamo Tanzania.Licha ya kutumika katika uhalifu, kusababisha vifo kwa kiasi kikubwa, utafiti  uliofanywa na gazeti hili  katika maeneo ya jiji la Dar es Salaam ambako kuna matumizi makubwa ya bodaboda ulibaini kuwa usafiri huu unapendwa zaidi na...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake ndiyo vinara usafiri wa bodaboda

>Zinaitwa bodaboda, kule Nigeria wanaziita okadas kwa jina jingine ni pikipiki. Hiki ni chombo cha usafiri ambacho katika miaka ya hivi karibuni kimeiteka miji mingi ya Afrika ikiwamo Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

KURA YA NDIYO: Lissu: Arfi ni mpinzani jina

>Mwanasheria  wa Chadema, Tundu Lissu amesema kitendo cha makamu mwenyekiti wa zamani wa chama hicho, Said Arfi kupiga kura ya ‘ndiyo’ kuunga mkono Bajeti ya Serikali kimedhihirisha kuwa mbunge huyo sasa ni mpinzani jina.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani