Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KATIBA: ‘Wananchi ndiyo waamuzi wa Katiba’

>Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Martin Shao amesema wananchi ndiyo waamuzi wa mwisho juu ya Katiba itakayopendekezwa bungeni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Wanawake pigieni kura ya ndiyo Katiba’

Mwenyekiti wa UWT, Sophia Simba.MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake nchini (UWT), Sofia Simba amewataka wanawake nchini, kujitokeza kwa wingi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa wakati ukifika, kwani ni mkombozi kwa mwanamke katika harakati zake za kijamii na kisiasa.

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WANANCHI CUF CHASISITIZA KUWA KATIKA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI ( UKAWA )

1Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Bara, Magdalena Sakaya, akizungumza na waandishishi wa habari, Dar es Salaam leo kuhusu masuala ya kuwa katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo na kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Habari wa CUF Taifa, Abdul Kambaya.2Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika mkutano huo.

 

10 years ago

Habarileo

Chikawe asisitiza kura ya ndiyo Katiba mpya

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe amewataka wananchi wilayani Nachingwea kuipigia kura ya ndiyo Rasimu ya Katiba iliyopendekezwa na Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Pigieni kura ya ndiyo Katiba mpya — Salma

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi Mjini, Mama Salma Kikwete amewaomba wananchi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa, kwa kuwa ni bora na imezingatia mahitaji ya makundi yote ya jamii.

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba: Mawaziri Zanzibar wapigia kampeni kura ya ndiyo

Mawaziri katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano wameanza kampeni kuwataka wananchi kuunga mkono Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa wakisema imezingatia masilahi ya Zanzibar kiuchumi na kiutawala.

 

11 years ago

Mwananchi

Hii ndiyo timu ya kufuatilia posho za wajumbe wa #Bunge la #Katiba

Timu hiyo inatarajiwa kuyachunguza kwa undani mahitaji ya wajumbe wa Katiba, kisha kuisaidia serikali kutafuta jinsi ya kuongeza posho hizo.

 

10 years ago

GPL

WALIOTUNGA SHERIA NDIYO WALAUMIWE KWA KUTOPATIKANA KATIBA MPYA

Aliyekuwa   mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji Joseph Warioba Nianze kwa kumtukuza Mungu muumba wa vitu vyote, vinavyoonekana na visivyoonekana. Hakika yeye ni mwema, ahimidiwe daima. Baada ya kusema hayo niseme wazi kwamba Watanzania sasa mioyo yao imesinyaa kwa kupoteza matumaini ya kupatikana kwa katiba mpya inayotokana na maoni ya wananchi.
Naamini kwamba kwa baadhi ya wanasiasa, hiyo ni habari njema ya ushindi...

 

11 years ago

Mwananchi

Paschal Chibala: Uswahiba ndiyo ulioharibu mchakato wa Katiba Mpya Tanzania

>Ni mwanasiasa kijana ambaye ndoto yake ni kufikia mafanikio makubwa. Hata hivyo, anaamini safari bado ni ndefu, yenye milima na mabonde.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani