KATIBA: ‘Wananchi ndiyo waamuzi wa Katiba’
>Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Martin Shao amesema wananchi ndiyo waamuzi wa mwisho juu ya Katiba itakayopendekezwa bungeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Apr
‘Wanawake pigieni kura ya ndiyo Katiba’
MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake nchini (UWT), Sofia Simba amewataka wanawake nchini, kujitokeza kwa wingi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa wakati ukifika, kwani ni mkombozi kwa mwanamke katika harakati zake za kijamii na kisiasa.
10 years ago
Vijimambo16 Jul
CHAMA CHA WANANCHI CUF CHASISITIZA KUWA KATIKA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI ( UKAWA )
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/146.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/244.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Oct
Chikawe asisitiza kura ya ndiyo Katiba mpya
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe amewataka wananchi wilayani Nachingwea kuipigia kura ya ndiyo Rasimu ya Katiba iliyopendekezwa na Bunge la Katiba.
10 years ago
Habarileo18 Mar
Pigieni kura ya ndiyo Katiba mpya — Salma
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi Mjini, Mama Salma Kikwete amewaomba wananchi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa, kwa kuwa ni bora na imezingatia mahitaji ya makundi yote ya jamii.
10 years ago
GPL03 Dec
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Katiba: Mawaziri Zanzibar wapigia kampeni kura ya ndiyo
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Hii ndiyo timu ya kufuatilia posho za wajumbe wa #Bunge la #Katiba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYhfMRRuuMD5A1TF-5yuWr6JNut25-XUqFmhoh7qmbLza1IF31gi*MJCLg9BtObhe9kaYczzQ3ZhitH9IzbLbGgR/warioba.jpg?width=650)
WALIOTUNGA SHERIA NDIYO WALAUMIWE KWA KUTOPATIKANA KATIBA MPYA
11 years ago
Mwananchi21 May
Paschal Chibala: Uswahiba ndiyo ulioharibu mchakato wa Katiba Mpya Tanzania