Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haya ndiyo yaliyojiri kwa Arsenal VS livepool jana

Mlinda mlango wa Arsenal Petr Cech aliokoa mara mbili mipira ya hatari iliyokuwa ikielekea langoni mwake na kuisaidia timu yake kupata alama moja katika mechi ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Liverpool.

Katika mchezo huo mikwaju miwili ya Philippe Coutinho ililenga mwamba huku kiungo wa Arsenal Aaron Ramsey akikataliwa goli alilofunga kipindi cha kwanza kutokana na kuwa katika mstari wa kuotea.

Cech aliokoa kwa mara nyingine mkwaju wa karibu wa Christian Benteke na kuucheza tena kwa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YALIYOJIRI JANA NYUMBANI KWA MAREHEMU MAALIM GURUMO

Picha ya marehemu maalim Gurumo enzi za uhai wake akiwa na mkewe. Ndugu wa marehemu Gurumo wakiwa katika picha ya pamoja, kuanzia kushoto ni mtoto wake Mwalimu Muhidin, Mariamu Muhidin na Omari Muhidin anayefuatia ni kaka wa marehemu bwana Ramadhani Mwishehe.…

 

9 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo matamanio ya Watanzania kwa Dk Magufuli

Siku moja baada ya Rais Mteule wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk John Magufuli kukabidhiwa cheti chake kuwa ndiye mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, wananchi wakiwamo wa kada mbalimbali wameelezea hisia zao na matanio yao kuona atatekeleza ahadi alizotoa kwenye mikutano yake ya kampeni.

 

9 years ago

Bongo Movies

Haya Ndiyo Maneno ya Diamond kwenda Kwa Dr. Mwaka

Staa wa Bongo Fleva anayetamba hivi sasa na kibao cha Je Utanipenda, Diamond Platinum amemtakia kheri na Baraka mtaalamu wa dawa za tiba mbadala kwa magonjwa ya kinamama, Dr J J Mwaka wa kituo cha Foreplan Herbal Clinic kutokana na mchango wake kwenye kusaidia mziki wa kibongo.

Diamond Akiwa na Dr.Mwaka

Diamond Akiwa na Dr.Mwaka

Mbali na Dokta huyo kukabiliwa na changamoto kubwa kuhusu huduma zake kwa sasa, Diamond ambaye ametumika kwenye matangazo ya Dokta huyo ameandika haya leo mtandaoni mara baada ya kuweka picha...

 

11 years ago

GPL

HAYA NDIYO MAGARI VINARA KWA KUVUNJA SHERIA!

Stori: Mwandishi Wetu
HUKU ajali za barabarani zikizidi kuongezeka kila siku hasa jijini Dar es Salaam, timu ya uchunguzi ya Operesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, hivi karibuni lilifanikiwa kuyanasa baadhi ya magari kadhaa yanayokiuka sheria za usalama barabarani. Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mohamed Mpinga Magari hayo, ambayo yalikuwa kinara wakati wa uchunguzi huo, yakiwemo yenye namba za usajili...

 

10 years ago

GPL

HAYA NDIYO MAAJABU YAKE MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU

Na Haruni Sanchawa
MTOTO Jacqueline Lepenza, aliyenusurika katika ajali mbaya ya basi lililogongana na lori huko Mafinga mkoani Iringa wiki mbili zilizopita, ameripotiwa kuwa na maajabu baada ya baba yake mzazi kujitokeza na kusimulia, Uwazi linakutaarifu. Jacqueline Lepenza, akiwa na baba'ke. Willy Lupenza, baba mzazi wa mtoto huyo mwenye umri wa miaka mitatu na nusu, alisema marehemu mke wake, Anjela Osward (35) (pichani)...

 

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI JANA MAISHA BASEMENT EID EL FITRI, DAR

Meneja Mkuu wa Burudani wa Maisha Basement, Hemedi Kavu (HK, wa pili kulia)  akiwa katika pozi na warembo hao.
Warembo wa New Maisha Basement (katikati) wakiwa kwenye picha ya pozi na wamasai
Warembo wakipiga picha za…

 

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI DAR LIVE KATIKA SHEREHE YA WAUZA MAGAZETI JANA

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo, akisalimiana na baadhi ya wauza magazeti  baada ya kuwasili Dar Live Pichani kutoka kulia ni Katibu wa Mawakala na Wauza Magazeti, Msokolo,  wa pili ni mwenyekiti wake, Mzee Deo, katikati ni Eric Shigongo,  akiwa na Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho na Afisa Utawala wa Global Publishers, Soud Kivea… ...

 

11 years ago

GPL

YALIYOJIRI KWENYE MAZISHI YA BABA WA MBUNGE MARTHA MLATA JANA

Mbunge Martha Mlata akifarijiwa na waliohudhuria mazishi ya baba yake mzazi. Kushoto ni Katibu Mwenezi wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania ‘CHAMUITA,’ Stella Joel na mwakilishi wa wasanii wa filamu, Dokii. Baadhi ya wabunge na ndugu wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya kaburi la baba mzazi wa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida ambaye pia… ...

 

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI JANA KATIKA JUBILEE YA MIAKA 50 YA MSONDO NGOMA , TCC CHANG’OMBE

The Grand Utalii Jazz Band, wakiongozwa na Hamza Kalala (kushoto) na Rajabu Zomboko (katikati) wakifanya yao. Mshereheshaji, Masoud Masoud akizinadi CD za albamu mpya ya Msondo Ngoma. Baadhi ya mashabiki wa Msondo wakinunua CD hizo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani