YALIYOJIRI KWENYE MAZISHI YA BABA WA MBUNGE MARTHA MLATA JANA
![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YhehrH*QP4E7889QRaPoMu2*Up5xm0TzHB02iZZRKtE996otUR3bgYREN94o6Fw2Wy2zYHCo3DzHLNy0hpepa8I/1.jpg?width=650)
Mbunge Martha Mlata akifarijiwa na waliohudhuria mazishi ya baba yake mzazi. Kushoto ni Katibu Mwenezi wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania ‘CHAMUITA,’ Stella Joel na mwakilishi wa wasanii wa filamu, Dokii. Baadhi ya wabunge na ndugu wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya kaburi la baba mzazi wa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida ambaye pia… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 May
Mbunge wa viti maalumu (CCM) mkoa wa Singida, Bi Martha Mlata achangia ujenzi wa vyoo vya shule ya Kilimani
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata (aliyesimama kwenye jukwaa) akiwaongea na wananchi wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi ,Mkoani Singida wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa yenye lengo la kukiimarisha chama.
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata(wa pili kutoka kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu za soka za kata ya Ibaga.
Katibu wa CCM wilaya ya Mkalama,Bwana Amosi Shimba (wa pili kutoka kushoto)...
10 years ago
CloudsFM17 Feb
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s72-c/martha.jpg)
MARTHA MLATA AMWAGA SOLA SEKONDARI YA MKALAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s1600/martha.jpg)
KERO ya maji safi na salama katika Shule ya Sekondari ya Nduguti wilayani Mkalama, imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida, Martha Mlata, kubeba jukumu la kusaidia.
Martha, ambaye amekuwa akishiriki kwenye kusaidia huduma za kijamii kuhususan elimu na afya, ametosa sh. Milioni tatu katika kuhakikisha kero hiyo inapatiwa ufumbuzi.
Awali, wanafunzi walikuwa wakilazimika kukatisha masomo kwa saa 40 kwa mwezi ili kufuata maji umbali mrefu hivyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s72-c/martha.jpg)
Mhe. MARTHA MLATA AMWAGA SOLA SEKONDARI YA MKALAMA, SINGIDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s1600/martha.jpg)
Na mwandishi wetu
KERO ya maji safi na salama katika Shule ya Sekondari ya Nduguti wilayani Mkalama, mkoani Singida, imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa huo Mhe. Martha Mlata, kubeba jukumu la kusaidia.
Mhe Mlata, ambaye amekuwa akishiriki kwenye kusaidia huduma za kijamii kuhususan elimu na afya, ametosa sh. Milioni tatu katika kuhakikisha kero hiyo inapatiwa ufumbuzi.Awali, wanafunzi walikuwa wakilazimika kukatisha masomo kwa saa 40 kwa mwezi ili kufuata maji...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Cdg_ipWwocw/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mh. Martha Mlata akabidhi mashuka 200 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hNASja-In2k/VXM4QqUXjZI/AAAAAAAHcjs/4ULuWbjPkXw/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
DKT. BILAL AONGOZA WANANCHI KWENYE MAZISHI YA MBUNGE WA JIMBO LA UKONGA MAREHEMU EUGENE MWAIPOSA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hNASja-In2k/VXM4QqUXjZI/AAAAAAAHcjs/4ULuWbjPkXw/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ch86ifrPdM8/VXM4Q0qECfI/AAAAAAAHcjw/nxYc-Cyn_qY/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
10 years ago
GPLYALIYOJIRI JANA MAISHA BASEMENT EID EL FITRI, DAR
11 years ago
GPLYALIYOJIRI JANA NYUMBANI KWA MAREHEMU MAALIM GURUMO