"USIKU MTAKATIFU" ZAWADI YA KRISMASI TOKA KWA MHE. MARTHA MLATA
![](http://img.youtube.com/vi/Cdg_ipWwocw/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s72-c/martha.jpg)
Mhe. MARTHA MLATA AMWAGA SOLA SEKONDARI YA MKALAMA, SINGIDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s1600/martha.jpg)
Na mwandishi wetu
KERO ya maji safi na salama katika Shule ya Sekondari ya Nduguti wilayani Mkalama, mkoani Singida, imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa huo Mhe. Martha Mlata, kubeba jukumu la kusaidia.
Mhe Mlata, ambaye amekuwa akishiriki kwenye kusaidia huduma za kijamii kuhususan elimu na afya, ametosa sh. Milioni tatu katika kuhakikisha kero hiyo inapatiwa ufumbuzi.Awali, wanafunzi walikuwa wakilazimika kukatisha masomo kwa saa 40 kwa mwezi ili kufuata maji...
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mh. Martha Mlata akabidhi mashuka 200 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s72-c/martha.jpg)
MARTHA MLATA AMWAGA SOLA SEKONDARI YA MKALAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s1600/martha.jpg)
KERO ya maji safi na salama katika Shule ya Sekondari ya Nduguti wilayani Mkalama, imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida, Martha Mlata, kubeba jukumu la kusaidia.
Martha, ambaye amekuwa akishiriki kwenye kusaidia huduma za kijamii kuhususan elimu na afya, ametosa sh. Milioni tatu katika kuhakikisha kero hiyo inapatiwa ufumbuzi.
Awali, wanafunzi walikuwa wakilazimika kukatisha masomo kwa saa 40 kwa mwezi ili kufuata maji umbali mrefu hivyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YhehrH*QP4E7889QRaPoMu2*Up5xm0TzHB02iZZRKtE996otUR3bgYREN94o6Fw2Wy2zYHCo3DzHLNy0hpepa8I/1.jpg?width=650)
YALIYOJIRI KWENYE MAZISHI YA BABA WA MBUNGE MARTHA MLATA JANA
10 years ago
Dewji Blog22 May
Mbunge wa viti maalumu (CCM) mkoa wa Singida, Bi Martha Mlata achangia ujenzi wa vyoo vya shule ya Kilimani
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata (aliyesimama kwenye jukwaa) akiwaongea na wananchi wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi ,Mkoani Singida wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa yenye lengo la kukiimarisha chama.
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata(wa pili kutoka kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu za soka za kata ya Ibaga.
Katibu wa CCM wilaya ya Mkalama,Bwana Amosi Shimba (wa pili kutoka kushoto)...
9 years ago
MichuziMartha Mwaipaja, Jesca BM, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo ambalo lina mlengo wa kurudisha Shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa...
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Martha Mwaipaja, Jesca, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
NA MWANDISHI WETU
WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili hapa nchini, Martha Mwaipaja, Jesca BM na Christopher Mwahangila, wanatarajia kupanda katika jukwaa la Tamasha la Krismasi linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo, ambalo lina malengo ya
kurudisha shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Mwenyekiti...
11 years ago
Michuzi29 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-PksCYJ1tmok/VMDOVbOQI0I/AAAAAAADWSs/sFWMEIbE0T4/s72-c/unnamed.jpg)
MARTHA USO KWA USO NA MHE JOHN BOEHNER
![](http://2.bp.blogspot.com/-PksCYJ1tmok/VMDOVbOQI0I/AAAAAAADWSs/sFWMEIbE0T4/s1600/unnamed.jpg)
Martha Amos Cherehani, akisalimiana na Speaker wa Bunge la Marekani, Mhe. John Boehner, siku ya Jumanne January 20, 2015 siku Rais Barack Obama alipotoa hotuba ya State Of The Union na Martha alikuwa mgeni mwaalikwa, kuwaakilisha wanafunzi wenzake kwenye mkutano huo wa 114 wa bunge la Marekani. Martha ni mtoto wa wanaDiaspora baba na mama Watanzania wanaoishi DMV.