Martha Mwaipaja, Jesca BM, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili hapa nchini Martha Mwaipaja, Jesca BM na Christopher Mwahangila wanatarajia kupanda katika jukwaa la Tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo ambalo lina mlengo wa kurudisha Shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Martha Mwaipaja, Jesca, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
NA MWANDISHI WETU
WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili hapa nchini, Martha Mwaipaja, Jesca BM na Christopher Mwahangila, wanatarajia kupanda katika jukwaa la Tamasha la Krismasi linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo, ambalo lina malengo ya
kurudisha shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Mwenyekiti...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-wpXC52QKRBzHuB38YpuvHKJJSaU9LEyAdHrWhDHXFn41MzViC*3uCDwMC9dj5yXTih39nv6tg85SHk4oxTuXFU/1Martha.jpg?width=650)
MARTHA MWAIPAJA AKITOA BURUDANI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-12osNiw7ZqI/VI5j8v2DJ9I/AAAAAAACwcM/HajjStifL2A/s72-c/index.jpg)
Martha Mwaipaja apania kuburudisha tamasha la Krismass.
![](http://1.bp.blogspot.com/-12osNiw7ZqI/VI5j8v2DJ9I/AAAAAAACwcM/HajjStifL2A/s1600/index.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzTnDLZihIBwrhUEtsv5eT9CGxflxfRFh40ePjnDsFEBS5rd1ZcfBUpObXrS1k6UpdhRnGrC7CWT8G3a9FjZbRsL/martha.jpg?width=650)
MARTHA MWAIPAJA: TUTAIMBA, KUSIFU NA KUJIFUNZA MENGI LEO!
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Rose Muhando, Martha Mwaipaja, Solomon Mukubwa kuwasha moto
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Cdg_ipWwocw/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xPtyBiBFF3c/VEX3WFmZqZI/AAAAAAACR4w/lTpvgLXu5-E/s72-c/IMG_43399519162233.jpeg)
DIAMOND MATATANI KWA KUPANDA JUKWAA LA FIESTA NA MAVAZI YA JWTZ
![](http://2.bp.blogspot.com/-xPtyBiBFF3c/VEX3WFmZqZI/AAAAAAACR4w/lTpvgLXu5-E/s640/IMG_43399519162233.jpeg)
Katika Onyesho hilo lililofanyika kwenye Viwanja vya Leaders Club Kinondoni, mwishoni mwa wiki iliyopita, pia wasanii kadhaa akiwapo Ney wa Mitego pia walipanda jukwaani na wanenguaji wao wakiwa wametinga mavazi kama hayo aliyotinga Diamond.
Kutokana na tukio hilo, Kamanda wa...
9 years ago
Bongo517 Dec
Linah na Feza Kessy kupanda jukwaa moja na Davido, Iyanya Lagos
![12301250_207304429604231_67909760_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301250_207304429604231_67909760_n-300x194.jpg)
Feza Kessy na Linah watapanda jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015 Ijumaa hii.
Msanii wa Kenya, Victoria Kimani naye atatumbuiza.
“Nigeria I hope your ready cos Ive been so ready. Tanzanian angels about to rock Lagos soon. Ayeee,” ameandika Feza kwenye Instagram.
Shilole pia ameongoza na wasanii hao japo haijulikani kama naye atatumbuiza.
Feza akiwa na meneja wa Panamusiq Doreen Estazia
9 years ago
Bongo528 Sep
Sauti Sol kupanda jukwaa moja na Beyonce, Usher kwenye Global Citizen Festival