Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Martha Mwaipaja apania kuburudisha tamasha la Krismass.


“TAMASHA linafanyika siku maalum ambayo Yesu Kristo amezaliwa, nitatoa huduma kwa njia ya uimbaji naomba wakazi wa mikoa yote mitatu wafike kwa wingi wale ambao hawanifahamu pia watanifahamu siku hiyo na wataguswa na kupata ujumbe uliotukuka,” anasema mwimbaji Martha Mwaipaja. Mwimbaji huyo anasema kuwa amejipanga vilivyo ikiwa pamoja na kufanya maandalizi ya hali ya juu huku akisistiza kuwa atafanya makubwa katika tamasha la Krismasi ambalo litakuwa la pili kufanyika. Mwaipaja ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MARTHA MWAIPAJA AKITOA BURUDANI

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Martha Mwaipaja akitumbuiza katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.…

 

9 years ago

Michuzi

Martha Mwaipaja, Jesca BM, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi

WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili hapa nchini Martha Mwaipaja, Jesca BM na Christopher Mwahangila wanatarajia kupanda katika jukwaa la Tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo ambalo lina mlengo wa kurudisha Shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

GPL

MARTHA MWAIPAJA: TUTAIMBA, KUSIFU NA KUJIFUNZA MENGI LEO!

Martha Mwaipaja. MMOJA wa waimbaji wa nyimbo za injili anayetarajiwa kulipamba na kulisindikiza tamasha kubwa na la kihistoria la ujasiriamali linaloendelea jijini hapa kuanzia jana, Martha Mwaipaja amesema leo kutakuwa na burudani ya kipekee ndani ya viwanja vya CCM Kirumba, ambapo watu wote wataimba, kusifu na kujifunza mambo mengi ya kijasiriamali. Akizungumza na mwandishi wetu kwenye moja ya mahojiano maalumu, Martha ambaye...

 

9 years ago

Mtanzania

Martha Mwaipaja, Jesca, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi

marthaNA MWANDISHI WETU

WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili hapa nchini, Martha Mwaipaja, Jesca BM na Christopher Mwahangila, wanatarajia kupanda katika jukwaa la Tamasha la Krismasi linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.

Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo, ambalo lina malengo ya
kurudisha shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Mwenyekiti...

 

10 years ago

Mwananchi

Rose Muhando, Martha Mwaipaja, Solomon Mukubwa kuwasha moto

Waimbaji mahiri wa muziki wa injili, Solomon Mukubwa, Rose Muhando na Martha Mwaipaja wataongoza shamrashamra za Tamasha la Krismasi katika mikoa ya Nyanda za Juu kusini.

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NKONE, MWAIPAJA, MWASONGWE KUACHA.. HISTORIA TAIFA

Mkali wa muziki wa Injili, Upendo Nkone, Na Nassor Gallu
GUMZO kubwa kwa sasa mjini ni tamasha la Usiku wa Matumaini linalotarajiwa kufanyika Agosti 8, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo burudani kabambe kutoka kwa wakali wa muziki wa Injili, Upendo Nkone, Martha Mwaipaja, Ambwene Mwasongwe, Angel, Paul Clement na wengine kibao watawalisha mashabiki Neno la Mungu. Usiku wa Matumaini ni tamasha kubwa ambalo...

 

11 years ago

Michuzi

Anne Kansiime kuburudisha Dar August 2.

 Mkali wa kuchekesha na sanaa za majukwaani Afrika Mashariki, Anne Kansiime anatarajiwa kutoa burudani kali hapo August 2, katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dar es Salaam.                      Tukio hilo linaloandaliwa na kituo cha Radio 5 litaambatana na burudani ya muziki kutoka ODAMA Band, pamoja na mchekeshaji Fredi Omondi kutoka Kenya na Pilipili wa Tanzania.
Akizungumzia tukio hilo Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Radio 5, Robert Francis alisema kuwa wameamua kumualika...

 

9 years ago

Dewji Blog

HAPA KAZI TU: Kadi za Krismass na Mwaka mpya marufuku kwa gharama za Serikali!

sefue

Balozi Ombeni Sefue

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[DAR ES SALAAM] Usije shangaa unapata taarifa kuwa Michango ya Harusi inafutwa na baadala yake watu wafunge ndoa kimya kimya!! aah inawezekana ama isiwezekane ila kwa kuhakikisha kazi zinafanyika na kubana matumizi yasio ya lazima, huko tunakoelekea inatupaswa kufanya hivi ili mipango na fedha nyingi zielekezwa katika huduma za afya, Elimu, Miundombinu na mambo mengine ya Kimaendeleo.

Modewjiblog inapongeza juhudi zote za msingi zinazotolewa...

 

10 years ago

Vijimambo

Makongoro: Lowassa sikumuona Vita ya Kagera, Labda alikuja baada ya vita kuburudisha wanajeshi

MAKONGORO: Tupimwe afya kwani tunataka kwenda kuchezea Real Madrid au Manchester United? 
CHARLES Makongoro Nyerere (CMN) ni miongoni mwa wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kutaka kuchaguliwa kuwania urais kupitia chama hicho mwaka huu. Raia Mwema lilifanya naye mahojiano wiki hii nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Endelea
-RAIA MWEMA: Kwanini wana CCM wanatakiwa wakuchague wewe uwe mgombea wao na si mwingine miongoni mwa wenzako 41 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo?MAKONGORO: Mimi si...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani