Martha Mwaipaja apania kuburudisha tamasha la Krismass.
![](http://1.bp.blogspot.com/-12osNiw7ZqI/VI5j8v2DJ9I/AAAAAAACwcM/HajjStifL2A/s72-c/index.jpg)
“TAMASHA linafanyika siku maalum ambayo Yesu Kristo amezaliwa, nitatoa huduma kwa njia ya uimbaji naomba wakazi wa mikoa yote mitatu wafike kwa wingi wale ambao hawanifahamu pia watanifahamu siku hiyo na wataguswa na kupata ujumbe uliotukuka,” anasema mwimbaji Martha Mwaipaja. Mwimbaji huyo anasema kuwa amejipanga vilivyo ikiwa pamoja na kufanya maandalizi ya hali ya juu huku akisistiza kuwa atafanya makubwa katika tamasha la Krismasi ambalo litakuwa la pili kufanyika. Mwaipaja ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-wpXC52QKRBzHuB38YpuvHKJJSaU9LEyAdHrWhDHXFn41MzViC*3uCDwMC9dj5yXTih39nv6tg85SHk4oxTuXFU/1Martha.jpg?width=650)
MARTHA MWAIPAJA AKITOA BURUDANI
9 years ago
MichuziMartha Mwaipaja, Jesca BM, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo ambalo lina mlengo wa kurudisha Shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzTnDLZihIBwrhUEtsv5eT9CGxflxfRFh40ePjnDsFEBS5rd1ZcfBUpObXrS1k6UpdhRnGrC7CWT8G3a9FjZbRsL/martha.jpg?width=650)
MARTHA MWAIPAJA: TUTAIMBA, KUSIFU NA KUJIFUNZA MENGI LEO!
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Martha Mwaipaja, Jesca, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
NA MWANDISHI WETU
WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili hapa nchini, Martha Mwaipaja, Jesca BM na Christopher Mwahangila, wanatarajia kupanda katika jukwaa la Tamasha la Krismasi linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo, ambalo lina malengo ya
kurudisha shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Mwenyekiti...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Rose Muhando, Martha Mwaipaja, Solomon Mukubwa kuwasha moto
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYfv6Yi4Aq4sE69dtL2zVytzJLn5244ic0E3KV46D8JnQdac*wWovSNVw6Is9yAOfzFNJTKGhjquqvUHhwRsOY6/1.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NKONE, MWAIPAJA, MWASONGWE KUACHA.. HISTORIA TAIFA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GRURBmbcj5E/U8zNlrXP_YI/AAAAAAAF4Sg/MY9BeLH5AWs/s72-c/Unknown.jpeg)
Anne Kansiime kuburudisha Dar August 2.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GRURBmbcj5E/U8zNlrXP_YI/AAAAAAAF4Sg/MY9BeLH5AWs/s1600/Unknown.jpeg)
Akizungumzia tukio hilo Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Radio 5, Robert Francis alisema kuwa wameamua kumualika...
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
HAPA KAZI TU: Kadi za Krismass na Mwaka mpya marufuku kwa gharama za Serikali!
Balozi Ombeni Sefue
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Usije shangaa unapata taarifa kuwa Michango ya Harusi inafutwa na baadala yake watu wafunge ndoa kimya kimya!! aah inawezekana ama isiwezekane ila kwa kuhakikisha kazi zinafanyika na kubana matumizi yasio ya lazima, huko tunakoelekea inatupaswa kufanya hivi ili mipango na fedha nyingi zielekezwa katika huduma za afya, Elimu, Miundombinu na mambo mengine ya Kimaendeleo.
Modewjiblog inapongeza juhudi zote za msingi zinazotolewa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-U6YfGmXUcTg/VZVKTbVvkfI/AAAAAAAAw8A/UhYrsWwreYU/s72-c/DSC_0241-FILEminimizer.jpg)
Makongoro: Lowassa sikumuona Vita ya Kagera, Labda alikuja baada ya vita kuburudisha wanajeshi
![](http://2.bp.blogspot.com/-U6YfGmXUcTg/VZVKTbVvkfI/AAAAAAAAw8A/UhYrsWwreYU/s640/DSC_0241-FILEminimizer.jpg)
CHARLES Makongoro Nyerere (CMN) ni miongoni mwa wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kutaka kuchaguliwa kuwania urais kupitia chama hicho mwaka huu. Raia Mwema lilifanya naye mahojiano wiki hii nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Endelea
-RAIA MWEMA: Kwanini wana CCM wanatakiwa wakuchague wewe uwe mgombea wao na si mwingine miongoni mwa wenzako 41 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo?MAKONGORO: Mimi si...