MARTHA MWAIPAJA: TUTAIMBA, KUSIFU NA KUJIFUNZA MENGI LEO!

Martha Mwaipaja. MMOJA wa waimbaji wa nyimbo za injili anayetarajiwa kulipamba na kulisindikiza tamasha kubwa na la kihistoria la ujasiriamali linaloendelea jijini hapa kuanzia jana, Martha Mwaipaja amesema leo kutakuwa na burudani ya kipekee ndani ya viwanja vya CCM Kirumba, ambapo watu wote wataimba, kusifu na kujifunza mambo mengi ya kijasiriamali. Akizungumza na mwandishi wetu kwenye moja ya mahojiano maalumu, Martha ambaye...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MARTHA MWAIPAJA AKITOA BURUDANI
10 years ago
Michuzi
Martha Mwaipaja apania kuburudisha tamasha la Krismass.

9 years ago
MichuziMartha Mwaipaja, Jesca BM, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo ambalo lina mlengo wa kurudisha Shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa...
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Martha Mwaipaja, Jesca, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
NA MWANDISHI WETU
WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili hapa nchini, Martha Mwaipaja, Jesca BM na Christopher Mwahangila, wanatarajia kupanda katika jukwaa la Tamasha la Krismasi linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo, ambalo lina malengo ya
kurudisha shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Mwenyekiti...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Rose Muhando, Martha Mwaipaja, Solomon Mukubwa kuwasha moto
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Kuna mengi ya kujifunza uchaguzi Zambia
10 years ago
Mwananchi30 Apr
TRL ina mengi ya kujifunza, haipaswi kurudia kosa - (2)
11 years ago
Dewji Blog10 May
Kinana : Viongozi wana mengi ya kujifunza kutoka Kwa Wananchi

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Igunga kwenye viwanja vya Sokoine na kutaka Viongozi wajifunze kutoka kwa wananchi ili waendane na kasi ya mabadiliko.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Igunga waliojitokeza kwa wingi kwenye viwanja vya mikutano vya Sokoine na kuwaambia wanasiasa waache kuwababaisha watu na suala la muundo wa serikali badala yake waje na hoja zinazogusa maisha ya kila siku mfano changamoto la mbegu za Pamba...
11 years ago
Michuzi
PROGRAMU MPYA YA KUJIFUNZA SOMO LA HISABATI KWA KUTUMIA SIMU ZA MIKONONI YAZINDULIWA JIJINI DAR LEO


Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10