Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MARTHA MWAIPAJA AKITOA BURUDANI

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Martha Mwaipaja akitumbuiza katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWAIPAJA AKITOA BURUDANI DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS

Joseph Mwaipaja  akiwapagawisha maelfu ya mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Burudani wa Dar mchana wa leo jijini Dar kwa kuchezea baiskeli. …

 

10 years ago

Michuzi

Martha Mwaipaja apania kuburudisha tamasha la Krismass.


“TAMASHA linafanyika siku maalum ambayo Yesu Kristo amezaliwa, nitatoa huduma kwa njia ya uimbaji naomba wakazi wa mikoa yote mitatu wafike kwa wingi wale ambao hawanifahamu pia watanifahamu siku hiyo na wataguswa na kupata ujumbe uliotukuka,” anasema mwimbaji Martha Mwaipaja. Mwimbaji huyo anasema kuwa amejipanga vilivyo ikiwa pamoja na kufanya maandalizi ya hali ya juu huku akisistiza kuwa atafanya makubwa katika tamasha la Krismasi ambalo litakuwa la pili kufanyika. Mwaipaja ...

 

11 years ago

GPL

MARTHA MWAIPAJA: TUTAIMBA, KUSIFU NA KUJIFUNZA MENGI LEO!

Martha Mwaipaja. MMOJA wa waimbaji wa nyimbo za injili anayetarajiwa kulipamba na kulisindikiza tamasha kubwa na la kihistoria la ujasiriamali linaloendelea jijini hapa kuanzia jana, Martha Mwaipaja amesema leo kutakuwa na burudani ya kipekee ndani ya viwanja vya CCM Kirumba, ambapo watu wote wataimba, kusifu na kujifunza mambo mengi ya kijasiriamali. Akizungumza na mwandishi wetu kwenye moja ya mahojiano maalumu, Martha ambaye...

 

9 years ago

Michuzi

Martha Mwaipaja, Jesca BM, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi

WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili hapa nchini Martha Mwaipaja, Jesca BM na Christopher Mwahangila wanatarajia kupanda katika jukwaa la Tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo ambalo lina mlengo wa kurudisha Shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Martha Mwaipaja, Jesca, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi

marthaNA MWANDISHI WETU

WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili hapa nchini, Martha Mwaipaja, Jesca BM na Christopher Mwahangila, wanatarajia kupanda katika jukwaa la Tamasha la Krismasi linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.

Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo, ambalo lina malengo ya
kurudisha shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Mwenyekiti...

 

10 years ago

Mwananchi

Rose Muhando, Martha Mwaipaja, Solomon Mukubwa kuwasha moto

Waimbaji mahiri wa muziki wa injili, Solomon Mukubwa, Rose Muhando na Martha Mwaipaja wataongoza shamrashamra za Tamasha la Krismasi katika mikoa ya Nyanda za Juu kusini.

 

10 years ago

GPL

VANESSA MDEE AKITOA BURUDANI SERENGETI FIESTA 2014

Msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee akitoa burudani usiku huu katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 viwanja vya Leaders Club jijini Dar. …

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band waleta homa ya burudani ndani ya Jiji la Dar, njoo utibiwe Thai Village Ijumaa hii kwa burudani ya nguvu

DSC_0001

Sam Mapenzi akiamsha amsha Taratibuuuuuuu ndani ya Thai Village.

DSC_0002

Winfrida Richard akiimba kwa sauti nyororooooo kabisaaaa amsha amsha kwa mashabiki ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0003

Sam Mapenzi kushoto akiwa na Winfrida Richard wakitoa vocal za ukweli kuwapa raha mashabiki wao ndani ya Thai Village.

DSC_0004

DSC_0008

Aneth Kushaba AK47  toka kulia akiongoza makamuzi ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0011

Joniko Flower kushoto  akiongoza makamuzi ya sebene kaliii akipewa sapoti na Sony Masamba.

DSC_0014

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani