zawadi ya eid toka kwa hafsa kazinja
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-KjBB0AOvraE/VFuqc7dbcwI/AAAAAAAC9Uw/qiQM2w3CHo4/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-11-06%2Bat%2B5.05.26%2BPM.png)
MSANII HAFSA KAZINJA SASA ANAITWA CHRISTINA KAZINJA
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/12/Hafsa1.jpg)
Hapa chini ndicho alichokiandika kwenye ukurasa wake wa facebook.
![](http://3.bp.blogspot.com/-KjBB0AOvraE/VFuqc7dbcwI/AAAAAAAC9Uw/qiQM2w3CHo4/s640/Screen%2BShot%2B2014-11-06%2Bat%2B5.05.26%2BPM.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUS1fS7yK03LizTo0D6OQEK3qF*UNUUVbX8R2GAi1C8SHhmjmkjsAOu*R4eqd9BvG-YkLqeavrV6Ic3Nhq2nmOpo/hafsa.jpg?width=650)
HAFSA KAZINJA AJUTA KUACHIKA
Stori: Hamida Hassan
STAA aliyewahi kutamba na songi la Presha, Hafsa Kazinja amesema anajuta kuachika kwenye ndoa aliyokuwa ameolewa awali nje ya nchi na iwapo atampata mume mwingine hatafanya makosa tena.
Hafsa alifunguka hayo juzikati alipokuwa kwenye ‘Kitchen party’ ya mdada aliyetambulika kwa jina la Nadhifa Ahmada iliyofanyika Sinza, jijini Dar. Staa wa muziki wa Kibongo, Hafsa Kazinja. “Mwenzenu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO53m4KjrwMEWPwpiA0QYGK3piaG5zN8fC-nRlodekeUCYkDu*auBe7Got8GPwGdl2k61uIWS*QOauElKCB9*5ms/hafsa.jpg)
HAFSA KAZINJA ABADILI DINI, KISA MARUHANI
Stori: Hamida Hassan Mwanamuziki Hafsa Kazinja anayetamba na Wimbo wa Mlala Nje huku video yake ikiwa tayari, ameamua kuikacha dini yake ya Kiislam na kuhamia kwenye Ukristo.Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Hafsa alisema alifikia uamuzi huo baada ya kusumbuliwa na maruhani ambayo yalimfanya arukwe na akili. Mwanamuziki Hafsa Kazinja. “Niliumwa sana hadi ikaonekana nimerukwa na akili, maruhani ndiyo yaliyokuwa...
11 years ago
Michuzi28 Jul
Salamu za Eid Toka Kwa ATL Global Solutions (USA)
Pius WaricoyPresidentAllAfrika Travel and Logistics, llc
12925 Kitchen House Way
Germantown MD 20874
Phone: +1-202-386-6122 (Office) +1-240-552-4870 (Mobile)
Email: info@atlglobalsolutions.com
Website: http://atlglobalsolutions.com
Join Us: ...
11 years ago
Michuzi26 Jul
TTCL Yatoa Zawadi ya Eid El Fitr kwa Yatima Dar
KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imetoa msaa wa vyakula kwa vituo vitatu vya kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu vya jijini Dar es Salaam ikiwa ni kuvisaidia viweze kusherehekea vizuri siku kuu ya Eid El Fitr.
Msaada huo wenye jumla ya thamani ya shilingi milioni 3 umekabidhiwa na Meneja wa TTCL, Dar es Salaam Kati, Jane Mwakalebela kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, ambaye alisema utaratibu huo ni wakawaida kwa kampuni yao kusaidia makundi na taasisi na...
Msaada huo wenye jumla ya thamani ya shilingi milioni 3 umekabidhiwa na Meneja wa TTCL, Dar es Salaam Kati, Jane Mwakalebela kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, ambaye alisema utaratibu huo ni wakawaida kwa kampuni yao kusaidia makundi na taasisi na...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0876.jpg?width=650)
KAMPUNI YA TTCL YATOA ZAWADI YA EID EL FITR KWA YATIMA DAR
Wawakilishi wa Kituo cha Watoto Yatima cha Mama Theresa kilichopo Mburahati, wakipokea msaada wao toka kwa Meneja wa TTCL, Dar es Salaam Kati, Jane Mwakalebela kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL.  Kituo cha Watoto Yatima cha Mama Theresa kilichopo Mburahati, Kituo cha Mwandaliwa cha Mbweni na Kituo cha Chakuwama cha Sinza katika picha ya pamoja mara baada ya kupokea zawadi zao jijini Dar es Salaam.… ...
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
TIGO yatoa zawadi ya sikukuu ya Eid kwa wakazi wa Mbagala, yafavya tamasha kubwa
Msanii mpya kwenye Game mwanadada Rapa Chemical, akipiga bonge ya shoo iliyowasisimua mashabiki walikuja kuona tamasha la Tigo viwanja vya zakhem Mbagala.
Msanii wa bongo fleva Amini, akitoa burudani kwenye Tamasha la Tigo la sikukuu ya Eid lililofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jana.
Msanii wa bongo fleva Belle 9, akitoa burudani kwenye Tamasha la Tigo la sikukuu ya Eid lililofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jana.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Cdg_ipWwocw/default.jpg)
10 years ago
MichuziBALOZI KAMALA APOKEA ZAWADI TOKA KWA MWENYEKITI WA JIJI LA Turnhout, Ubelgiji
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania