Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSANII HAFSA KAZINJA SASA ANAITWA CHRISTINA KAZINJA

Msanii wa Bongo Fleva Hasfa Kazinja ameandika kwenye ukurasa wake wa facebook kwamba amebadili dini na sasa anajulikana kama Christina Kazinja, msanii huyo ambaye maarufu kama malikia wa Zouk na aliyetamba na wimbo wake wa pressure aliomshirikisha msanii mwingine wa Bongo Fleva Banana Zorro.
Hapa chini ndicho alichokiandika kwenye ukurasa wake wa facebook.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HAFSA KAZINJA AJUTA KUACHIKA

Stori: Hamida Hassan
STAA aliyewahi kutamba na songi la Presha, Hafsa Kazinja amesema anajuta kuachika kwenye ndoa aliyokuwa ameolewa awali nje ya nchi na iwapo atampata mume mwingine hatafanya makosa tena.
Hafsa alifunguka hayo juzikati alipokuwa kwenye ‘Kitchen party’ ya mdada aliyetambulika kwa jina la Nadhifa Ahmada iliyofanyika Sinza, jijini Dar. Staa wa muziki wa Kibongo, Hafsa Kazinja. “Mwenzenu...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

HAFSA KAZINJA ABADILI DINI, KISA MARUHANI

Stori: Hamida Hassan Mwanamuziki Hafsa Kazinja anayetamba na Wimbo wa Mlala Nje huku video yake ikiwa tayari, ameamua kuikacha dini yake ya Kiislam na kuhamia kwenye Ukristo.Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Hafsa alisema alifikia uamuzi huo baada ya kusumbuliwa na maruhani ambayo yalimfanya arukwe na akili. Mwanamuziki Hafsa Kazinja. “Niliumwa sana hadi ikaonekana nimerukwa na akili, maruhani ndiyo yaliyokuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA DIAMOND ANAITWA TIFFAH AU UKIPENDA LATIFAH

DIAMOND akifurahi na mtoto wake wa kike Tiffah

 

10 years ago

GPL

HAFSA AELEZA ALIVYO-TESWA NA MAUZAUZA

Stori: Mayasa Mariwata/Ijumaa Wikienda
MWANAMUZIKI aliyeamua kumgeukia Mungu na kuokoka, Hafsa Kazinja amefunguka kuwa alikuwa akiteswa na mauzauza ya kishirikina pindi alipokuwa katika majukwaa akiimba Bongo Fleva. Mwanamuziki aliyeamua kumgeukia Mungu na kuokoka, Hafsa Kazinja. Akipiga stori na paparazi wetu, Hafsa alisema alikumbana na mambo mengi sana ya ajabu ikiwemo kuona majoka makubwa jukwaani akiwa anatumbuiza na...

 

11 years ago

Vijimambo

HUYU NDO MSHIRIKI MWINGINE MWANAMKE TOKA TANZANIA ANAYE KWENDA BIG BROTHER AFRIKA ANAITWA LAVEDA

M-Net na wameendelea na utaratibu wa kutangaza washiriki wa shindano hilo kutoka nchi mbalimbali Africa, na katika majina matatu yaliyotajwa yamemjumuisha Mtanzania wa pili atakayewakilisha katika shindano hilo, mrembo Irene Laveda.Irene ataungana na Idrisa kuiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo yatakayochukua siku 63 badala ya siku takribani 90 zilizozoeleka.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Christina Milian — Rebel

Ngoma mpya ya Christina Milian, Rebel.

 

5 years ago

PBS NewsHour

Astronaut Christina Koch on a year without gravity

Astronaut Christina Koch on a year without gravity  PBS NewsHourChina's new crew spacecraft looks like it could dock with the International Space Station  Space.comThis is why Corona Virus won’t affect Astronauts aboard International Space Station  The TeCakeThis Guy Took a Photo of the ISS from His Backyard  FuturismA weird light appeared in the sky at the weekend  MyLondonView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani