Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAFSA KAZINJA ABADILI DINI, KISA MARUHANI

Stori: Hamida Hassan Mwanamuziki Hafsa Kazinja anayetamba na Wimbo wa Mlala Nje huku video yake ikiwa tayari, ameamua kuikacha dini yake ya Kiislam na kuhamia kwenye Ukristo.Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Hafsa alisema alifikia uamuzi huo baada ya kusumbuliwa na maruhani ambayo yalimfanya arukwe na akili. Mwanamuziki Hafsa Kazinja. “Niliumwa sana hadi ikaonekana nimerukwa na akili, maruhani ndiyo yaliyokuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MSANII HAFSA KAZINJA SASA ANAITWA CHRISTINA KAZINJA

Msanii wa Bongo Fleva Hasfa Kazinja ameandika kwenye ukurasa wake wa facebook kwamba amebadili dini na sasa anajulikana kama Christina Kazinja, msanii huyo ambaye maarufu kama malikia wa Zouk na aliyetamba na wimbo wake wa pressure aliomshirikisha msanii mwingine wa Bongo Fleva Banana Zorro.
Hapa chini ndicho alichokiandika kwenye ukurasa wake wa facebook.

 

11 years ago

GPL

HAFSA KAZINJA AJUTA KUACHIKA

Stori: Hamida Hassan
STAA aliyewahi kutamba na songi la Presha, Hafsa Kazinja amesema anajuta kuachika kwenye ndoa aliyokuwa ameolewa awali nje ya nchi na iwapo atampata mume mwingine hatafanya makosa tena.
Hafsa alifunguka hayo juzikati alipokuwa kwenye ‘Kitchen party’ ya mdada aliyetambulika kwa jina la Nadhifa Ahmada iliyofanyika Sinza, jijini Dar. Staa wa muziki wa Kibongo, Hafsa Kazinja. “Mwenzenu...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

TIKO: TUSIBADILI DINI KISA MKWANJA

Stori: Mayasa Mariwata
MSANII wa flamu za Kibongo, Tiko Kulungu amewaasa wenzake kuwa waepuke tabia ya kubadili dini kwa kufuata maslahi ya kifedha. Msanii wa filamu za kibongo Tiko Hassan. Akizungumza na Bongowood pasipo kuwataja majina, Tiko alisema tabia hiyo imekithiri.
“Wasibadili tu dini kwa kufuata pesa, kama umeamua kufanya hivyo basi uwe na mapenzi ya dhati kwa mhusika,” alisema… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maruhani yamtesa Batuli

NYOTA wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’, amesema kila aingiapo kwenye kazi ya kurekodi filamu, anapatwa na tatizo la kupandisha maruhani (mashetani), jambo ambalo linamkosesha raha. Akizungumza jijini Dar es...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiembesamaki na kura za maruhani

>Uchaguzi mdogo katika Jimbo la Kiembesamaki, Zanzibar umeacha maswali kadhaa, ikiwamo imekuwaje idadi ya wapigakura imepungua zaidi ya nusu ya walioandikishwa katika Uchaguzi Mkuu 2010?

 

9 years ago

Michuzi

SIKU YA MARUHANI ("Halloween") DUNIANI

Na Swahilivilla blog.  Washington D.CJana ililkuwa ni "Siku ya Maruhani" nchini Marekani. Siku hii ijulikanayo kama "Halloween" husherehekewa kila tarehe 31 Oktoba, na ina historia ndefu.Siku ya Maruhani ilianzia huko barani Ulaya kiasi miaka 2,000 iliyopita ikifungamana na imani za kishirikina. Wazungu walipoyavamia mabara ya Amerika walihamia pia na utamaduni mila, desturi, dini, na silka zao - na sema upendavyo. Miongoni mwa hayo ilikuwa ndiyo hii siku ya Maruhani ambayo jina lake la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Fahamu chimbuko la siku ya Maruhani “Halloween”

Na Swahilivilla blog. Washington D.C   Jana ililkuwa ni “Siku ya Maruhani” nchini Marekani. Siku hii ijulikanayo kama “Halloween” husherehekewa kila tarehe 31 Oktoba, na ina historia ndefu.   Siku ya Maruhani ilianzia huko barani Ulaya kiasi miaka 2,000 iliyopita ikifungamana na imani za kishirikina. Wazung walipoyavamia mabara ya Amerika walihamia pia na utamaduni mila, desturi, dini, na silka zao – na sema upendavyo. Miongoni mwa hayo ilikuwa ndiyo hii siku ya Maruhani ambayo jina lake la...

 

10 years ago

GPL

HAFSA AELEZA ALIVYO-TESWA NA MAUZAUZA

Stori: Mayasa Mariwata/Ijumaa Wikienda
MWANAMUZIKI aliyeamua kumgeukia Mungu na kuokoka, Hafsa Kazinja amefunguka kuwa alikuwa akiteswa na mauzauza ya kishirikina pindi alipokuwa katika majukwaa akiimba Bongo Fleva. Mwanamuziki aliyeamua kumgeukia Mungu na kuokoka, Hafsa Kazinja. Akipiga stori na paparazi wetu, Hafsa alisema alikumbana na mambo mengi sana ya ajabu ikiwemo kuona majoka makubwa jukwaani akiwa anatumbuiza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani